Call / WhatsApp +255673378129

Jan 21, 2018

STARTIMES KUWEKA CHANNEL ZA DSTV NA AZAM TV


Niliwahi kupata swali kama hili na nilishawahi kuona matangazo sehemu kadhaa mitandaoni ya kuwa kama unatumia king'amuzi cha Startimes tunaingiza channel za Azam tv na DStv na tangazo lengine kama unatumia king'amuzi cha azam tv unaingiziwa channel za DStv na Startimes pia....
Matangazo ni ya wengine lakini huwa nafatwa mimi ili kuthibitisha hili kwakuwa najua uthibitisho wangu ni msaada wa watanzania na wasio watanzania wengi sana..
Licha ya kuwa matangazo wanatoa wengine na namba zao ni nyengine tofauti na namba zangu, wanaotaka kuwahudumia wakiwabana zaidi kwa maswali ama ikitokea tofauti yeyote wanawaelekeza wapitie blog hii kwakuwa ndiye muhusika huyo huyo..
Huko nyuma niliwahi kulalamikiwa hili kwa wahusika kunihusisha na jambo hili ila kuna issue ilikuwa imenibana sana hivyo nikakosa muda wa kuandaa post na mwishowe nikawa kama nimekaa kimya ila nashukuru hivi karibuni kuna jamaa mmoja ambaye ni Fundi MaDish yeye anapatikana kawe, mambo ya ufundi kuzidiana ni jambo la kawaida sana na yeye alijua amezidiwa hivyo akataka kupata kitu ambacho yeye hakifahamu lakini katika kumbana bana ndipo jamaa akamuelekeza apitia kwenye blog hii ili apate ufafanuzi zaidi kwakuwa ndiye yeye maana yake ndiye mimi...
Kwa bahati baada ya kupitia humu akaona kuna utofauti mmoja wapo ni namba ya simu ndipo alipoona bora kunipigia kuendeleza yale maongezi lakini ikawa kama tunaanza upya hivi... ndipo akanieleza yoote..
UKWELI NI:-  Sihusiki na chochote kuhusu huduma hii ya kuingiza channel za Azam tv na DStv kwenye king'amuzi cha Startimes wala kuingiza channel za king'amuzi DStv kwenye Azam tv..
Hakuna huduma hii kama ambavyo wanatoa matangazo wahusika, asilimia 100 unaibiwa, ukituma pesa UMEIBIWA.
Wizi - Ikitokea imegundulika na DStv, Azam tv ama StarTimes unakamatwa wewe uliyewekewa ama unataka kuwekewa na yule muwekaji wa hizo channel. Wahusika wanaojitangaza wanatoa huduma hizi wanajua na ndo maana hawasemi wanapatikana wapi badala yake wanajifanya kumaliza kila kitu kwenye simu..



+255789476655
Insta @mustaphamadish
Share:

1 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Hii I m Smith Mia, If you need guidance for and Roku issues then we are here to
serve best and optima lsolution to solve your issues.

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita