Call / WhatsApp +255673378129

Jan 1, 2018

JE KOPO LINASAIDIA KIPINDI CHA MVUA!?

"Kwenye Kisimbuzi ( King'amuzi ) kinachotumia Dish kufunika lnb kwa KOPO hakusaidii chochote katika kufanya Kisimbuzi chako kisisumbue wakati wa MVUA..."
Tukirejea nyuma kidogo hata waliotengeneza SET ya dish waliangalia kama maisha ya dish ni ya kukutana na mvua na jua,hivyo wakatengeneza katika kuhimili hali zote mbili bila kushauri ama kuengeneza makopo ili yaweze kufunika lnb..
Binafsi lawama zangu kwa mafundi, kwa kuacha kutumia plastic cover ya lnb ambayo inasaidia kufunika coaxial cable inapofungwa kwenye lnb ili maji yasiweze kuingia kwenye lnb/cable na kusababisha short n.k. 

Kupata ushauri na mambo yote yanayohusu Visimbuzi tukutane Insta
@mustaphamadish Kupata MAFUNDI WA KUFUNGA VISIMBUZI/MADISH aina zote kwenye GUEST, LODGE, HOTEL, APARTMENT, OFFICE na MAJUMBANI kwa usafi na ubunifu wa hali ya juu, wasiliana nasi!
BAADHI YA SEHEMU TULIZOFUNGA NI:-

  • KING D HOTEL
  • TRANSIT MOTEL
  • JB BELMONT HOTEL
  • BONDENI HOTEL
  • TUCTA HQ
  • PSPF HQ
  • IKULU - OFFICE YA WAZIRI MKUU
  • JAMII FORUM OFFICE - Ilipokuwa sinza
  • CRDB BANK - mlimani city, Lumumba, Mikocheni n.k
  • DTB BANK - HQ n Magomeni branch
Uzoefu wa kazi ni zaidi ya miaka 10, tukisimamia kazi safi, 
bei nafuu na ubora ni zaidi ya wengine.
 
MAWASILIANO:-
Call/ Text 0789476655
Whatsapp +255784378129
Instagram @mustaphamadish
Share:

7 Unasemaje..??:

Anonymous said...

What i don't realize is in reality hoow you are not actually much more smartly-preferred than you may be now.
You're veey intelligent. You already know therefore considerably in terms of this subject, made me
personally believe itt from a lot of various angles.
Itts like men and wmen aren't involved until it is something to ccomplish with Girl gaga!
Your individual stuffs excellent. All the time take care of it up!

Anonymous said...

I would like to thank you for the efforts you'veput in writing this
website. I rezlly hope to chgeck out tthe same high-grade content frkm you in the future as well.
In truth, your creative writing abilities has mtivated me to
get my own site now ;)

Anonymous said...

Asking questions are truly good thing iif you are not understaning spmething entirely, but this paragraph presents fastidious understanding yet.

Anonymous said...

My fawmily all the time say that Iam wasting my time here
at net, however I know I am getting knowledge every day byy reading thes
pleasant articles or reviews.

Anonymous said...

Aw, this was a really nice post. Spending some time and actual effort
to produce a superb article… but what can I say…
I put tnings off a lot and don't seem tto get anything
done.

Anonymous said...

Write more, thats alll I have to say. Literally, it seems as though you relied oon the video
to make your point. You definitely know what youre talking about, why throw away
your intelligence on just pposting videos to your blog when you could be giving us something enlightening to read?

Anonymous said...

I do trust all the concepts you have introduced on your post.
They are very convincing and will definitely work. Nonetheless,
the posts are too quick for newbies. Could you please prolong them
a bit from next time? Thank you for the post.

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita