Call / WhatsApp +255673378129

Showing posts with label Airtel India. Show all posts
Showing posts with label Airtel India. Show all posts

Dec 6, 2014

AIRTEL DIGITAL TV | KING'AMUZI CHA AIRTEL


La kwanza ambalo utajiuliza  mitandao ya simu nayo inachangamkia fursa!?
Ikumbukwe ya kuwa mwaka ndio mwaka wa mwisho kutumia Analogue,ifikapo tarehe 31 mwezi huu,saa 23:59 tunachotakiwa labda kuizungumzia Analogue tu lakini si kudeal nayo...
Lakini ambapo tunaelekea kuisahau kabisa Analogue leo hii mtu ukimuuliza ni nini maana ya Digital hajui na mwengine anajua ni King'amuzi tu kamaliza...
Kuingia mfumo wa Digital pekee bila kuhusisha Analogue ndipo imetulazimu kutumia Ving'amuzi na sababu hii ndio iliyopelekea kukawa na ving'amuzi kibao vipya achilia mbali vile vikongwe..
Airtel Digital Tv..
Hiki nacho ni king'amuzi kama ilivyo ving'amuzi vyengine vya kulipia..
Inatumia Satellite ya SES-7  Nyuzi 108.2E
Ina channels 383 ambapo za HD ni 25
Decoder yake inauwezo wa kurekodi masaa 150
Ijapokuwa mtandao wa Airtel upo hapa kwetu Tanzania lakini king'amuzi hiki kinatumia India tu kwa sasa,sina lolote la kuzungumza kama je na Tanzania kitakuja king'amuzi hiki..
Kwa maelezo zaidi kuhusu king'amuzi hiki Bofya Hapa


+255789476655 | MUSTAPHA MADISH
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita