Call / WhatsApp +255673378129

Showing posts with label CCTV Cameras Installation. Show all posts
Showing posts with label CCTV Cameras Installation. Show all posts

Aug 19, 2017

TUPE RUKSA YA KUZILINDA MALI ZAKO!

Moja kati ya Hiden Camera ambazo hazionekani, hii ni kwenye Office.
Tuna njia mbili za kuomba ruksa yako tuzilinde ama tuzifanye mali zako kuwa salama muda wote, ama kukufanya kana kwamba upo eneo la tukio hali ya kuwa pengine upo ne ya nchi lakini bado ukiendelea kuona kila kinachoendelea iwe nyumbani, Ofisini, ama eneo lako lolote ambalo ungependa tukusaidie kulipa ulinzi..
Tuna njia ya kwanza ya CCTV CAMERAS SYSTEM INSTALLATION.
  • CCTV Cameras system installation inakupa uwezo wa kushuhudia kwa macho pasi kuambiwa na mtu kile kinachoendelea pale ambapo unahitaji kufungiwa hizo camera! Camera zipo zenye kuonekana ili anayetaka kufanya tukio aone kabisa anachotaka kukifanya kinaonekana ama pia zipo ambazo hazionekani kwa maana hizi ni ngumu kwa mtu kuona kama eneo hilo kuna camera zinazomuona! Pia zipo camera zenye uwezo wa kuchua na sauti na zipo zisizo na uwezo huo na la kuongezea zaidi kuna zile HD ambazo mtu ama kitu unakiona katika muonekano wa HD..
  • ELECTRIC FENCE INSTALLATION hii ni njia nyengine nzuri kwa kukomesha wezi! Mara nyingi inakuwa tunafanya kwenye uzio, yaweza kuwa wa nyumbani, yard, hotel, n.k

Tunapatikana Dar es salaam, ingawaje ulipo wewe Tanzania ukituhitaji kukufikia ndio wajibu wetu na zisikutishe gharama unafuu wa gharama zetu ni moja kati ya huduma zetu bora kwako ambazo haitatokea wa kuzishindwa ikiwa tu upo tayari kupata huduma zetu!  
Kwa maelezo zaidi chukua simu yako kisha tupigie!
+255789476655
Whatsapp+255784378129
Share:

Aug 1, 2017

GHARAMA ZA KUFUNGA CCTV CAMERAS | CCTV CAMERAS INSTALLATION COSTS


Watanzania wengi wanadhani ya kuwa kufunga moja ya mfumo wa ulinzi nyumbani/ofisini ama popote ambapo ungehitaji ni gharama kuubwa na wale kina wenzangu na mie hawawezi kumudu.. hii sio kweli kabisa.. Kila kitu kipo cha bei ya juu na bei ya chini pia huku ubora ukawa unatofautiana kidogo na vyote ni OG.. mfano Camera HD bei ni tofauti na Camera ya kwaida, Hiden Camera pia ni bei tofauti ingawaje zote unaweza kumuona mtu atakayepita mbele ya Camera hiyo vizuri.. DVR pia zipo HD na ambazo sio HD, zipo zenye uwezo wa kuunganisha kwenye simu ya mkononi na ambazo hazina uwezo huo, hii ni kama kwenye Camera bei huwa tofauti, ila hapa kwenye DVR bei hupungua ama huzidi kutokana na je unahitaji zenye kubeba Camera ngapi!? ila kwa nyumba ama ofisi ndogo ya njia nne inatosha kabisa kwakuwa utaweka sehemu muhimu..
Unahitaji Kununua | Kufungiwa | Ushauri
Yote kuhusu CCTV Cameras
+255789476655
Whatsapp +255784378129
madishtechnologytz@gmail.com
Share:

Jun 4, 2017

HIDEN CAMERA

Hapa tunazungumzia ule mfumo wa CCTV CAMERAS ni katika kuhakikisha ulinzi wa mali yako ama eneo unalomiliki lipo salama kama si chini ya uangalizi wako muda wote,pasi kudanganywa wala kupitwa!
HIDEN CAMERA ni camera ambayo mara nyingi inakuwa ni ndogo na hata ukaaji wake ni wa kujificha ni ngumu kuiona..


Zipo Hiden Camera zinachukua picha na sauti.

MIRROR HIDEN CAMERA
Unaweza ukadhani ni kioo tu,kwakuwa muonekano wake upo hivyo lakini ni camera!

Hiden Camera unaweza ukachanganya na Camera za kawaida katika DVR moja,mfano DVR inapokea camera 4 unaweza ukafunga camera 3 za kawaida na 1 ni Hiden.



Kwa Mahitaji ya CCTV CAMERAS INSTALLATION | MAFUNDI | VIFAA | USHAURI
                                         Tupigie MaDish Technology +255789476655 
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita