Call / WhatsApp +255673378129

Showing posts with label DStv Packages. Show all posts
Showing posts with label DStv Packages. Show all posts

Jul 20, 2017

BreakingNews toka DStv!!


Wale wapenzi wa mieleka hii imekaaje kwenu!!!!??
Supersport imeingia mkataba mpya na WWE wa kuonyesha michuano yake yote LIVE bila kukosa. Supersport itarusha WWE Flagship shows ikiwemo Raw na Smackdown, WWE specials ikiwemo WrestleMania na SummerSlam.
Msimu huu utakaonza rasmi tar 28 Agasti, mambo ni moto!
  Michuano hii itaonekana kuanzia SuperSport channels S3, S4, S9 na SS10. Ikiimaanisha kuanzia kifurushi Bomba cha sh.19,975 tu!
Kwa maelezo zaidi
+255789476655
Share:

Sep 28, 2016

DSTV YASHUSHA BEI ZA VIFURUSHI 1 Nov 2016!!


Hii itakuwa ni habari nzuri kwa wateja wa DStv wapya na wale wa zamani Kwa kampuni ya Multichoice Tanzania kulifanya hili lililokuwa linawaumiza wengi kama sio kuwakimbiza!
Kuanzia terhe 1/11/2016 bei ya Vifurushi vya DStv itashuka na kuwa kama ifatavyo:-
DStv Premium Package Ni Tsh 219,000
Bei mpya itakuwa ni Tsh 184,000
Bofya Hapa Kujua channel zilizopo na bei mpya 2017

DStv Compact Plus Package Ni Tsh 147,000
Bei mpya itakuwa ni Tsh 122,500 
Bofya Hapa Kujua channel zilizopo na bei mpya 2017

DStv Compact Package Ni Tsh 84,500
Bei mpya itakuwa ni Tsh 82,250
Bofya Hapa Kujua channel zilizopo na bei mpya 2017

DStv Family Package Ni Tsh 51,000
Bei mpya itakuwa ni Tsh 42,900
Bofya Hapa Kujua channel zilizopo na bei mpya 2017

DStv Bomba Package Ni Tsh 23,500
Bei mpya itakuwa ni Tsh 19,950
Bofya Hapa Kujua channel zilizopo na bei mpya 2017

Kupata msaada kiufundi na Mafundi wa DStv Bofya Hapa
Kujua OFFER ya DStv Bofya Hapa
Kununua DStv Bofya Hapa
Jinsi ya kuhama Kifurushi Bofya Hapa
Kwa Maelezo zaidi
+255789476655
 
Share:

Apr 12, 2016

KOPO HALISAIDII CHOCHOTE KWENYE DISH


Leo nimeonelea niongelee hili jambo kwakuwa ukiachilia kuliona sehemu mbali mbali pia nimekuwa nikulizwa kama kuna umuhimu wa wenye ving'amuzi vya madish kuweka makopo?
 Jambo la awali la kuzingatia king'amuzi kiwe cha Dish ama Antenna kina namna ya ufungaji wake kwa kutumia vifaa vyote vilivyomo kwenye set ya king'amuzi hicho,ikitokea kimojawapo umekiacha ndipo unajikuta nafasi ya kile ulichokiacha inachukuliwa na KOPO!
Kutumia KOPO kunatokana na sababu hizi:-
  • Tuanze kiufundi
- Fundi hupaswi kuacha kutumia kitu chochote kati ya ulivyovikuta kwenye set ya Dish kwakuwa vyote vina kazi yake na ni muhimu sana.

Hapa unamshawishi mteja atafute kopo lilipo ili aweze kufunika akiamini atasaidia angalau kuepusha gharama za kuita ita fundi.

Ukifunga hivi ni kipi ambacho kitamshawishi mteja aongezee ufundi wake wa kuweka kopo?
Fikra za watanzania wengi wanaamini wakifunika na kopo husaidia:-
  • Huzuia kunguru kufanya uharibifu
  • Husaidia picha kutokupotea wakati wa mvua
Niseme tu ukweli KOPO halisaidii chochoteikiwa fundi amefanyakazi safi.
Kupotea kwa Picha kwa dish ndogo kipindi cha mvua ni kawaida kutokana na uwezo mdogo ili kuepuka hili inakulazimu kutumia Dish kubwa ama lnb maalum na kuhusu kunguru fundi akifanyakazi yake vema kunguru hata abembee vipi hawezi kufanya uharibifu!
mustaphamadish@gmail.com
Share:

Nov 16, 2015

DSTV HUDUMA KWA WATEJA NA KUPATA MAFUNDI WA DSTV


Je unatumia DStv? ama unahitaji kujiunga na DSTV? 
Karibu kwa kufata utaratibu huu:-

IKIWA UNATUMIA DSTV:
  • Umelipia na bado hupati channel?
  • Picha inakatakata ama haionyeshi kabisa
  • Unataka kuhama toka nyumba moja kwenda nyengine
  • Unahitaji kuongeza Decoder nyengine ama kubadili
  • Unahitaji ufafanuzi zaidi kuhusu bei mpya za vifurushi
  • Unahitaji kujua chochote kuhusu huduma za DStv
  • Unahitaji Fundi 
  • Msaada wowote wa kiufundi
Dish ya DStv ikiwa kwenye setting!

Fundi akifanya ufundi wake!

Piga simu namba +255658046655 Kwa msaada zaidi! 

UNAHITAJI KUJIUNGA NA DSTV
  • Kujua Bidhaa zote za DStv
  • Kujua bei halisi/Offer ya kununua king'amuzi
  • Kujua bei halisi ya vifurushi Bofya Hapa
  • Kujua bei ya Ufundi
  • Kujua namna ya kuweza kuunganishwa
  • Kupata huduma ya kuletewa ulipo na kulipia baada ya kuletewa
  • Ikiwa umenunua na hujafungiwa ili upate fundi popote ulipo Tanzania
  • Yote yanayohusu DStv

Piga simu namba +255658046655 Kwa msaada zaidi!


Share:

Aug 9, 2015

EPUKA USUMBUFU | ILI USIJUTE KIFURUSHI ULICHOLIPIA


KUTOKA KWANGU KUJA KWENU:
Imezoeleka hii tabia hasa kwa wateja wa DStv na Azam tv wale ambao wenzangu na mie yaani wachumi sanaa! Ambao sijajua vizuri kuwa wanajua sana thamani ya pesa zao ama ni nini!?
Ila hii nadhani uswahili pia unahusika katika hili!
WATEJA WA AZAM TV:
                         Utakuta kama hakuna mpira mtu haangaiki kulipia king'amuzi chake anangoja inapofikia either kuna mechi kubwa ama ligi inaanza ndipo anataka kulipia hii siwezi kusema si sahihi kwakuwa pengine mapenzi ya mteja ni mpira tuu na ndo maana hakuna malipo ya ziada hata kama hujalipia miezi mingapi ila wanachoanguka wengi ni kushindwa kujua wanapaswa kulipia wakati gani!?
Kama ligi ama mechi unayotaka kuangalia inaanza leo inakupasa ulipia alau siku mbili kabla ya leo ili kuondoa usumbufu kama haitakuwa imefunguka katika kufatilia ili ufunguliwe lakini wengi wenu mnachofanya kama ni mechi leo saa 8 mchana wenyewe mnalipia leo hii hii tena saa 6 mchana kwa kutegemea saa 8 mchana itakuwa imeshafunguka,matokeo yake hakuna ambacho utapata zaidi ya karaha na kujikuta unazungumza maneno yote unamaliza na kuponda huduma za azam tv kwa nguvu zote kumbe uzembe ni wako mwenyewe.
Pengine uliwahi kulipia kwa mtindo huo na ikafunguka si wakati wote itafunguka wakati mwengine system inashindwa kufanya kazi ipasavyo na muda huo simu zote zinakuwa zipo bize kutokana na idadi ya wateja wengi wanafanya ambacho wewe umefanya.
WATEJA WA DSTV:
                         Mfano wa jana tu,simu zangu zote zilikuwa bize kwakuombwa kutoa msaada wa kuwafungulia wateja wa dstv ambao wamelipia lakini hakuna wanachoona,wengine walitoa ya moyoni kuwa tayari wameshajaza wateja kwenye sehemu zao wanazoonyesha mpira lakini bado hakuna kinachoonekana matokeo yake wanalalama watapigwa watu wameshatoa pesa zao!
Hivi kama wewe ni mfanyabiashara wa kuonyesha mpira kwanini usilipie kabla ya siku ya mpira ili kuondoa usumbufu!? Hivi unajua ukiwa mbabaishaji unapoteza hao wateja wako?
Pia kama unahama kifurushi ni lazima ulipia kifurushi unachotaka then unapiga simu ili ubadilishwe hicho kifurushi unachokitaka lakini nawe unangoja siku ya mpira ndo ufanye hivyo!
ANGALIZO:
                Hakuna siku ambayo kampuni za ving'amuzi si DStv si Azam zinakuwa bize kama siku za kuanza kwa mpira,hii si kwenye simu zao hata kwenye ofisi zao na wakati mwengine hata system inaelemewa.
USHAURI WANGU KWAKO:
                                   Lipia king'amuzi chako siku mbili kabla ya mechi ama tukio unalokusudia kuangalia hii itapelekea kuondokana na usumbufu,bila kufanya hivyo utaona huduma za king'amuzi husika hazifai kumbe wewe ndiye hufai.
WhatsApp+255658046655|+255784378129

Share:

Apr 9, 2015

BEI MPYA ZA MALIPO YA MWEZI DSTV

Ikiwa wadau wapo katika kulala na kuomba angalau gharama za malipo ya mwezi zipungua,hali imekuwa tofauti kutokana na gharama za uendeshaji ambapo imepelekea kupanda kwa bei za malipo ya mwezi kwa vifushi vyote vya Dstv kama ifuatavyo:-

BOMBA PACKAGE 
Awali ilkuwa tsh 18,500
Ikabadilika na kuwa tsh 23,500
Ikabadilika tena na kuwa tsh 19,975
Ambapo sasa hii 2017 ni  Tsh 19,000
ukitaka kujua idadi na channel zilizopo Bofya Hapa

FAMILY PACKAGE
Awali ilkuwa tsh 40,000
Ikabadilika na kuwa  ths 51,000
Ikabadilika tena na kuwa tsh 42,900
Ambapo sasa hii 2017 ni  Tsh 39,000
ukitaka kujua idadi na channel zilizopo Bofya Hapa

COMPACT PACKAGE
 Awali ilkuwa tsh 66,000
Ikabadilika na kuwa  ths 84,500
Ikabadilika tena na kuwa tsh 82,250
Ambapo sasa hii 2017 ni  Tsh 69,000
kitaka kujua idadi na channel zilizopo Bofya Hapa

COMPACT PLUS PACKAGE
Awali ilkuwa tsh 113,000
Ikabadilika na kuwa  ths 147,000
Ikabadilika tena na kuwa tsh 122,500
Ambapo sasa hii 2017 ni  Tsh 109,000
ukitaka kujua idadi na channel zilizopo Bofya Hapa

PREMIUM PACKAGE
Awali ilkuwa tsh 199,000
Ikabadilika na kuwa  ths 219,000
Ikabadilika tena na kuwa tsh 184,000
Ambapo sasa hii 2017 ni  Tsh 169,000
ukitaka kujua idadi na channel zilizopo Bofya Hapa


HUDUMA ZA DSTV | MSAADA KIUFUNDI | +255789476655

Share:

Dec 1, 2014

ITV KWENYE DSTV

Ni mapenzi ya wateja wengi wa DStv pindi watakapoona ITV ikiwa inapatikana kwenye king'amuzi hicho na hii pia itapelekea kuwashawishi wengine ili waweze kujiunga na familia ya DStv!
ITV ni miongoni mwa channel za Tanzania zinazopendwa sana licha ya vipindi vyake na kwa habari pia,hii ndo sababu iliyopelekea kuwa na wapenzi wengi sana ndani na nje ya Tanzania.
IMESHAINGIA BOFYA NO.293!
Ili uweze kuona ni rahisi sana kama tayari umeshakuwa mteja wa DStv bofya no.293 ila kama bado hujawa mwana familia wa DStv hujachelewa piga no.+255789476655 ili upate njia rahisi ya kuwa mwanafamilia wa DStv ukiwa hapo hapo ulipo tunakufata!
Kwa mujibu wa wadau wangu DStv itakuwa imebakisha channel moja tu muhimu ambayo ni Clouds tv,hivyo kama nayo itapatikana kiu ya wadau itakuwa imekata!


HUDUMA ZOTE ZA DSTV | TUNAKUFATA ULIPO TUNAKUUNGANISHA | 0789476655
Share:

Nov 12, 2014

OFFER YA DSTV BADO INAENDELEA | TSH 99,000/=

 Setting zikiendelea..
Hapa ni mbezi,unaingilia maramba mawili ila huko mbele nimesahau panaitwa Mbezi gani,kwakuwa kile cha umuhimu kutakiwa kufanya nimefanya kwa usahihi kabisa hivyo tukishare picha sio mbaya!




KUUNGANISHWA NA DSTV | MAFUNDI WA DSTV | PIGA +255789476655
Share:

Oct 29, 2014

DSTV PACKAGES | VIFURUSHI VYA DSTV


Lengo la kuwa na vifurushi tofauti ni kutoa fulsa kwa kila mdau kuweza kununua na kufanya malipo ya mwezi kutokana na uwezo wake.
Hivi ndivyo vifurushi vya DStv,idadi ya channel na bei kwa ujumla:-

1-DSTV BOMBA PACKAGE
Ina channel 65+ bora
Bei mpya ni Tsh 19,000
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

2-DSTV FAMILY PACKAGE
Ina channel 70+ bora
Bei mpya ni Tsh 39,000
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

3-DSTV COMPACT PACKAGE
Ina channel 85+ bora
Bei mpya ni Tsh 69,000
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

4-DSTV COMPACT PLUS PACKAGE
Ina channel 90+ bora
Bei mpya ni Tsh 109,000
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

5-DSTV PREMIUM PACKAGE
Ina channel 120+ bora
Bei mpya ni Tsh 169,000
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

CHANNEL MAALUM | BEI ZAKE

DStv French Touch
Ina channel 7 bora
Malipo ni Tsh 15,600
kujua channel zilizopo!


DStv Indian
Ina channel 4 bora
Malipo ni Tsh 71,500
kujua channel zilizopo!


DStv French Plus
Ina channel 15 bora
Malipo ni Tsh 88,000
kujua channel zilizopo!


DStv Great Wall China
Ina channel 10 bora
Malipo ni Tsh 16,500
kujua channel zilizopo



JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI Bofya Hapa


  Mafundi wa DStv | Chochote kuhusu DStv | +255 789 476 655
Share:

Jun 30, 2014

DSTV FAMILY PACKAGE | CHANNELS 70+ | TSH 39,000


Zijue Channel zilizo kwenye kifurushi cha DStv Family
FTA

KBC
CITIZEN
TBC
STAR TV
CHANNEL 10
ITV
Clouds Tv
KTN News
K24
Bukedde Tv
WBS
NBS Tv
e Tv Africa
Dish



MICHEZO


SuperSport Blitz
SuperSport Select1
SuperSport 2Select
SuperSport 9
SuperSport 9 East


SINEMA

Movie Zone
Africa Magic Epic Movies
Africa Magic Hausa
Africa Magic Yoruba
Africa Magic Lgbo
Africa Magic East
Maisha Magic BONGO
M-Net Family
M-Net Movie Action
Africa Magic Family
 


BURUDANI

Telemundo
E!
CBS Reality
CBS Action
CBS Drama
AMC
Vox Africa
TVC E
Sony Entertainment
Sony Max


HABARI NA MAELEZO

BBC World
Al Jazeera
CNBC Africa
Bloomberg Tv
CNC World
SABC News
CCTV News


 MAKALA

National Geo Wild
DiscoveryFamily
ED
Spice Tv
National Geo


MAISHA

Fashion TV


DINI

One Gospel
TBN
Daystar
Islamic channel
EWTN
Inspration TV
Kingdom Africa
Dove Tv
Emanuel Tv
FAITH


MUZIKI

Hip Tv
Sound city
AFRO Music English

WATOTO

Nickelodeon
Disney Junior
JimJam
Mindset Learn
Boomerang

KIMATAIFA

Zee World
NDTV 24*7
RAI International
TV5 Monde Afrique
 CCTV 4
CCTV Documentary
CCTV French
CCTV Entertainment
China Movie Channel
Shanghai Dragon Tv
Hunan Tv
Jiantsu Channel
Phoenix News Ent
RTPI
TV Mundal

RADIO

Over 40 Channels

JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI Bofya Hapa
KUPATA MAFUNDI WA DSTV Bofya Hapa
VIFURUSHI VYA DSTV Bofya Hapa  
KUJUA BEI NA KUNUNUA DSTV Bofya Hapa

Kwa Maelezo zaidi  Piga +255789476655

Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita