Ni mapenzi ya wateja wengi wa DStv pindi watakapoona ITV ikiwa inapatikana kwenye king'amuzi hicho na hii pia itapelekea kuwashawishi wengine ili waweze kujiunga na familia ya DStv!
ITV ni miongoni mwa channel za Tanzania zinazopendwa sana licha ya vipindi vyake na kwa habari pia,hii ndo sababu iliyopelekea kuwa na wapenzi wengi sana ndani na nje ya Tanzania.
IMESHAINGIA BOFYA NO.293!
Ili uweze kuona ni rahisi sana kama tayari umeshakuwa mteja wa DStv bofya no.293 ila kama bado hujawa mwana familia wa DStv hujachelewa piga no.+255789476655 ili upate njia rahisi ya kuwa mwanafamilia wa DStv ukiwa hapo hapo ulipo tunakufata!
Kwa mujibu wa wadau wangu DStv itakuwa imebakisha channel moja tu muhimu ambayo ni Clouds tv,hivyo kama nayo itapatikana kiu ya wadau itakuwa imekata!
HUDUMA ZOTE ZA DSTV | TUNAKUFATA ULIPO TUNAKUUNGANISHA | 0789476655
Kwa mujibu wa wadau wangu DStv itakuwa imebakisha channel moja tu muhimu ambayo ni Clouds tv,hivyo kama nayo itapatikana kiu ya wadau itakuwa imekata!
HUDUMA ZOTE ZA DSTV | TUNAKUFATA ULIPO TUNAKUUNGANISHA | 0789476655