Call / WhatsApp +255673378129

Showing posts with label Digitek Decoder. Show all posts
Showing posts with label Digitek Decoder. Show all posts

Dec 2, 2017

KING'AMUZI KISICHO NA MALIPO YA MWEZI


Awali tulikuwa na ving'amuzi viwili ambavyo havikuwa na malipo ya mwezi, kulikuwa na Digitek na Continental, baadae Continental wakaanza mfumo wa kulipia na kuwa na Vifurushi pia kutaka kujua zaidi kuhusu Continental decoder bofya hapa, tukabaki na Digitek ambapo ni king'amuzi pekee ambacho hakina malipo ya mwezi. Kwa kutokuwa na malipo ya mwezi kwenye king'amuzi cha Digitek kumefanya kwenye zile Tv ambazo zinauwezo wa kupokea matangazo ya Digital pasi kutumia king'amuzi kuwezesha kupata channels za Tanzania bila malipo yeyote na bila kutumia king'amuzi cha nje kwakuwa ndani ya tv kwa lugha nyepesi tunasema ina king'amuzi.

Kwa maelezo zaidi +255789476655
Share:

Jan 6, 2013

CHANNEL ZA DIGITEK

Hii ni orodha ya baadhi ya channel zilizopo kwenye king'amuzi cha Digitek, ambacho hakina malipo ya mwezi unafurahia tu hizi channels:-

Always Connected
Kwa Maelezo zaidi
PIGA +255789476655
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita