Call / WhatsApp +255673378129

Showing posts with label ITV. Show all posts
Showing posts with label ITV. Show all posts

Aug 9, 2017

KUPATA CHANNELS ZA BURE KWENYE HOTEL/LODGE

 Ili uweze kupata channels za Local ( Tanzania ) kwa kupata habari na vipindi vya nyumbani bila kufanya malipo ya mwezi,hapo hapo kila tv ikijitegemea yenyewe bila kuingiliana na nyengine kwa kila chumba,huku idadi ikiwa kuanzia channel sita ( 6 ) na kuendelea,unapaswa kufanya yafatayo:-


Unapaswa upate vifaa
  • Dish kubwa ya c band
  • LNB ya single solution
  • Receiver kwa idadi ya channels utakazo
  • Cable
  • F connectors
  • Multiswitch
  • Televes
  • Splitter
  • RF connector
  • N.k
 Upate Mafundi wanaojua kazi. #FundiMakini.

Mfumo huu utakuwezesha kuona Channel bila kufanya malipo ya kila mwezi,gharama yako ni mara moja tu kwenye Installation!
Moja ya kazi zetu safi 'King D Hotel'


Kwa maelezo zaidi na kupata mafundi,ushauri na vifaa
Whatsapp+255784378129
Piga +255789476655
Insta @mustaphamadish


Share:

Sep 29, 2015

CHANNEL ZA LOCAL BURE | VING'AMUZI VYOTE







Utatumia king'amuzi gani!!?? Swali la kwanza ambalo naweza kukuuliza..
Najua kwa mapenzi ya king'amuzi ulichokichagua na kukinunua ukiachilia mapenzi yako ila umehitaji kuona na Local Channel maana yake uone mambo yanayoendelea nyumbani kwako ikiwemo taarifa ya habari.
Hivi unajua kama channel hizo zinatakiwa kuwa bure hata kama hujalipia malipo ya mwezi?
Pengine huzijui channel ninazozizungumzia hapa baadhi ni hizi :-
  • ITV
  • TBC
  • CLOUDS TV
  • CHANNEL 10
  • STAR TV
  • TV 1 
Je king'amuzi unachotumia salio likiisha zinabaki channel hizo!!??

Share:

Nov 29, 2013

TATIZO LAKO NI NINI ILI UPATE CHANNEL UTAKAZO!!??

Kwa Office nikikungoja wewe!
Kuhusu visimbuzi vyote kama:-
DStv, Azam tv, Startimes na Zuku.
Pengine toka ilipotulazimu tuingia kwenye Digital,ndugu yangu wewe bado hukuwa tayari,ama hujui ni King'amuzi gani bora cha kununua na ukapata kile ulichokuwa unakihitaji!
Una Dish linasumbua hujui mafundi wa uhakika utapata wapi!?
Unahitaji kununua Dish na hujui lipi ambalo utapata kile upendacho!
Umejenga ama unajenga Hotel,Lodge,Guest House na hujui wapi uatapata mtaalamu wa kuwezesha kufanya tv zako zote zilizomo kuonyesha channel uzitakazo na zinazopendwa na wengi bila chenga!?
Office yako nadhifu,unataka kufunga flat screen ili uone channel pendwa huji mtaalamu pa kumpata!?
Hujui wapi utapata vifaa vyote vinavyohusiana na Madish!?
Majibu ya Maswali yote hayo ni moja tu!
Mimi Mustapha MaDish Technician!
Si kwa maneno bali kwa taaluma yangu nauzoefu nilionao!
Nimeshafunga Ikulu ofisi ya waziri mkuu
Paradise ambayo sasa JB Belmont
CRDB Bank Azikiwe,Mikocheni,Mlimani city.
Geraffe View Hotel
Bahari Lodge
Dotto-Diwani wa kigamboni
Masaburi-Meya ya D'salaam
Mengi-M'Mtendaji IPP Media
Richmond tower
Flat za BOT
na sehemu nyengine nyingi zisizo na idadi!
Tunauza na kufunga Dish Antenna Aina zote.
Kwa Office,Hotel,Apartment n Majumbani.
Call +255784378129
WhatsApp +255658046655
mustaphamadish@gmail.com
Karibu!
Share:

May 28, 2011

BAHARI LODGE nimesababisha..!!



Ilikuwa Alihamisi na Ijumaa nilikuwa pale maeneo ya Bahari beach,wenyewe wanapaita njia panda ya kwenda bahari beach hotel dar es salaam,hapa kuna lodge moja ya kisasa safi sana inaitwa BAHARI LODGE..!!
Issue ilikuwa Local hazionyeshi kwa TV zote nami nilihitajika kusababisha hilo ili mmiliki na wateja waendelee kula bata kwa furaha kwa kupata walichokihitaji..!!

 Hii ni mojawapo ya room za hapa Bahari Lodge..!!
Ikawa zinapatikana Local channels zifuatazo:-
ITV
EATV
CAPITAL
TBC
TV TUMAINI
AGAPE
STAR TV
CHANNEL TEN
C2C.
Pia na DSTV kama ambavyo niliikuta,nami nikachukua kila kilicho changu na kushaa...!!


Share:

Nov 21, 2010

C Band Single Solution Cable!!


 Hii ni kwa wale wanaokaa sehemu zenye shida kupatikana Signal,kama mabondeni,karibu na minara ama wamezungukwa na mitambo mitambo!!
C band hii hutumika kwenye Dish ya C band tu ijapokuwa kuna KU ambazo zinahimili interference pia kama ilivyo hii isipokuwa mara nyingi KU hata kwenye interference inakama Signal vizuri!!
Tazama tofauti yake kimuonekano:

Hii ni C Band Single Solution Cable

Hii ni C Band ya kawaida
Pia katika uingizaji wa freeguency kuna tofauti kati ya c band ya kawaida na c band single solution!!
Ambapo kwa single solution unatoa 600 za upande mmoja.
Mf: frequency ya ITV,EATV,CAPITAL-F3642 S8545V (F3042 S8545V),hivyo za V zote unatoa 600 isipokuwa za H hutoi!!!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita