Call / WhatsApp +255673378129

Showing posts with label Mafundi Dish. Show all posts
Showing posts with label Mafundi Dish. Show all posts

Jul 30, 2016

BEI MPYA YA VIFURUSHI VYA ZUKU TV TANZANIA 2016





Kifurushi cha Smart Plus kimeongezeka huku beo zikiwa pungufu kwa baadhi ya vifurushi pia,mabadiliko hayo ni kama ifatavyo:-

1-ZUKU SMART PACK
Ina channel 30 tv safi.
Channel 18 radio.
+ Channel za Tanzana.
Malipo Tsh 8,999 kwa mwezi.
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

2-SMART PLUS
Ina channel 40 tv safi.
Channel 18 radio.
+ Channel za Tanzana.
Malipo Tsh 13,000 kwa mwezi.
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

3-ZUKU CLASSIC 
Ina channel 69 tv safi.
Channel 55 radio.
+ Channel za Tanzana.
Malipo Tsh 18,000 kwa mwezi.
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

4-ZUKU PREMIUM 
Ina channel 98 tv safi.
Channel 55 radio.
+ Channel za Tanzana.
Malipo Tsh 25,000 kwa mwezi.
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

5-ZUKU ASIA PACKAGE
Ina channel 26 safi.
Malipo ni Tsh 24,000 kwa mwezi.
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

Kununua Zuku tv  Tsh 88,000 bila ufundi!
Ufundi ni Tsh 30,000!
Piga +255 789 476 655


Share:

Dec 1, 2014

ZUKU PACKAGES | VIFURUSHI VYA ZUKU


Lengo la kuwa na vifurushi tofauti ni kutoa fulsa kwa kila mdau kuweza kununua na kufanya malipo ya mwezi kutokana na uwezo wake.
Hivi ndivyo vifurushi vya Zuku,idadi ya channel na bei kwa ujumla:-

KUPATA BEI NA VIFURUSHI VIPYA VYA ZUKU TV BOFYA HAPA
1-ZUKU SMART PACKAGE
Ina channel 30 safi.
Malipo Tsh 10,000
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

2-ZUKU CLASSIC PACKAGE
Ina channel 69 safi.
Malipo ni Tsh 18,000
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

3-ZUKU PREMIUM PACKAGE
Ina channel 100 safi.
Malipo ni Tsh 25,000
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

4-ZUKU ASIA PACKAGE
Ina channel 27 safi.
Malipo ni Tsh 24,000
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

RADIO
Ina channel 50 safi.
Bofya Hapa kujua Radio zilizopo!

+255 789 476 655
Share:

Nov 8, 2014

WEWE NI FUNDI MADISH | HII INAKUHUSU SANA


Hapa nazungumzia wale ambao wapo kitambo na ambao wamejiunga hivi karibuni ama hata kama unataka kuingia ukanda huu kwa mikono miwili nakukaribisha na hii post inakuhusu sana zaidi ya yote ukiyachukua yangu na kuyafanyia kazi majibu utanirejeshea!
Ufungaji wa Dish ya Azam tv..
Hivi karibuni nilikuwa pale Tandika Flat,katika ile huduma piga simu tunakufata ulipo..
Ilihitajika Azam tv nasi tukatekeleza,tulipofika kazi ikaanza kwa kuangalia pa kufungia Dish kwanza haikuwa tabu kwakuwa tayari dish nyengine tena zikiwemo Azam tv zimeshafungwa, na ndipo nikapata hii post..






Hii ni kazi ya Fundi ambaye anapewa dhamana kama ambavyo napewa mimi na wateja ila matokeo yake kinachofanyika ni kulipua kama hivi ili tu picha ipatikane ndani biashara imeisha!
Nikaona nifunge hapo hapo ili hata kama naye ni mpitiaji humu aone alichofanya alau nafsi itamsuta na kuona alivyoitendea taaluma ndivyo sivyo na mteja wake pia huku wengine mkijifunza msije kuwa kama mafundi hawa!

Ona kazi ya Mustapha MaDish...


 Tofauti hata kwa macho inaonekana!

 Ugumu upo wapi kufanya hivi..

 Angalia na uyafanyie kazi..

 Tofauti ya kazi zangu na wengine..

 Sababu ya kuitwa Mustapha MaDish..


 Setting zikiendelea..





Baada ya kudrill..

Nikiwa nimeachana na hiyo issue ya Azam tv,nikakumbuka kituko kingine nilikutana nacho Kimara,nikiwa katika huduma yangu ile ile ya PIGA SIMU TUKUFATE ULIPO..
Safari hii sio Azam tv tena...
Ufungaji wa Dish ya DStv...
Kwakweli hii ni kituko,hivi nawe mteja kabisa unakubali kazi ya fundi wako hivi!!??








Ambacho kilichofanya mpaka nianze kumshangaa mteja kwakuwa ndipo mlango wake ulipo maana yake ili aingia nyumbani kwake lazima apitie lilipo hilo dish,jibu lake ameridhika ama!?
Kiukweli kama ningemkuta wala nisingevumilia ningeongea nae mawili matatu kuhusu hilo dish...

Ona kazi ya Mustapha MaDish..






Ustadh nae...

Wale mafundi nonihino wado waliendelea kunishangaza...
Ufungaji wa Dish ya Zuku...
Palee Flat za Ubungo ndipo nilipokutana na ufundi huu..
ukipiga upepo kweli jamani hii Dish haiondoki kweli!!??
Bahati mbaya ama bahati nzuri ukifanyakazi katika hizi flat mara nyingi unapewa mwenyeji wa kuwa nae unapokuwa juu,swali je mwenyeji wa huyu fundi aliifurahia hii kazi!!??

KAZI SAFI | MAFUNDI WAZOEFU | DISH AINA ZOTE | PIGA 0789476655
Share:

Nov 3, 2014

USISUMBUKE | PIGA +255658046655 | TUNAKUFATA ULIPO

Nilichogundua ni kwamba nina wadau wengi sana ambao haipiti siku bila kutembelea haka kablog chetu na kupata mawili matatu kuhusu ukanda huu..
Wengi mnataka kujua habari za ving'amuzi na huduma kwa ujumla..
Ufumbuzi wa ving'amuzi vyote upo kwenye haka kablog,maana yake ukishindwa kuelewa simu inahusika,ukipiga tu jua shida yako imeisha!


KWA KUWAJALI WATU WANGU...
Nimeanzisha huduma ambayo haikupi usumbufu na ni rahisi kwako!
Natekeleza maana ya huduma mtandaoni,kama tujuavyo huu ni wakati wa Digital hivyo lazima twende kidigital zaidi...
Swali unapenda/unataka king'amuzi gani kati ya hivi:-
DStv/Azam tv/Digitek/Continental/Zuku tv/Star times.
Piga simu sema unataka kipi,tunakupa ushauri na kisha utaletewa mpaka ulipo
Tukifika unalipia na kufungiwa papo hapo!
Ila hii ni kwa wakazi wa Dar es salaam tu!
Piga sasa +255784378129
TUMEBOBEA KUFUNGA KWENYE:-
HOTEL/APARTMENT/MAOFISINI NA MAJUMBANI.
BAADHI YA WALIONUFAIKA NA HUDUMA ZA MUSTAPHA MADISH:-
TRANSIT MOTEL/JB BELMONT/GERRAFE VIEW HOTEL/IKULU-OFFICE YA WAZIRI MKUU/PSPF/BAHARI BEACH LODGE/N.K.
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita