Call / WhatsApp +255673378129

Showing posts with label azam media. Show all posts
Showing posts with label azam media. Show all posts

Jan 3, 2018

UNAZIJUA BEI NA OFFER ZA VING'AMUZI 2018!?


Biashara ushindani hivyo kuna maboresho kila kukicha kwenye swala la kukidhi haja za wateja na leo nakuletea list ya bei za ving'amuzi kwa mwaka 2017 na jinsi ya kununua kwa bei hii:-
  • Azam tv inauzwa Tsh 135,000/= Hii bila kifurushi wala Ufundi! Ila ina Offer katika malipo! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa
  • Digitek inauzwa Tsh .......
  • DStv inauzwa Tsh 79,000/=  Hii bila Ufundi ila ina Offer ya vifurushi vya miezi miwili! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa
  • Continental inauzwa Tsh .... ya Dish na Tsh 40,000/= ya Antenna. Hii bila ufundi ina Offer ya kifurushi cha miezi..! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa
  • StarTimes inauzwa ya Dish Tsh 78,000/= na ya Antenna Tsh 34,000/= Hii bila ya Ufundi ina Offer ya kifurushi cha miezi...! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa
  • Ting HD inauzwa ya Dish Tsh 100,000/= na ya Antenna Tsh 35,000 ina Offer ya kifurushi cha miezi..! Hii bila Ufundi Bofya Hapa
  • Zuku tv   inauzwa Tsh 88,000/= Hii bila Ufundi ila ina Offer ya kifurushi cha miezi...! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa 
  • NB: Bei zote zina mabadiliko kujua bei mpya check Whatsapp+255784378129
Zijue bei za vifurushi kwenye ving'amuzi kwa mwaka 2018 
Jinsi ya kuhama kifurushi
Kuepuka Dish lako kupata kutu
Kupata Mafundi Professional
Share:

Dec 14, 2017

UTAJUAJE KAMA TV YAKO INA KING'AMUZI NDANI?


Swali la wengi kwasasa ni hili kutokana na ukweli kwamba uondoshwaji wa local channels kwa baadhi ya Visimbuzi imekuwa kama janga hivi.. Sasa niwape namna ya kujua jinsi gani ya kupata local channels kupitia tv ikiwa ina kisimbuzi ndani, inaweza ukatumia Antenna ama Dish inategemea na uwezo wa tv:-
Utajuaje kama tv yako ina kisimbuzi ndani?
  • Ingia kwenye INPUTs inategemea na brand, zipo ambazo zinatumia SOURCE, INPUT n.k unabonyeza na itakuletea orodha ya input zote mfano:-
AV
HDMI1
VGA
USB
ATV
DTV
Ukiona ina DTV ujue ina kisimbuzi.
  • Njia nyengine unachukua remote yako unabonyesha kwenye SETTING unaenda kwenye SEARCH hii nayo inategemea na tv, tv nyengine hutumia tune n.k hapa unaweza ukaweka AUTO SEARCH itakuletea Analogue tv na Digital tv ikikuletea hizo chaguo ujue tv yako ina kisimbuzi ila kama itakuletea Analogue tv pekee ujue haina kisimuzi..
 Ikiwa tv yako ina DTV maana yake inapokea matangazo ya Digital hivyo unapaswa kutafuta Antenna na kuchomeka muelekea wa Startimes/Ting ama Continental na kufanya search kama kila kitu kikiwa sawa channels zitaingia..
Kuna DVB T1/ T2 hii ni kwa ajili ya antenna.
Kuna DVB S1/ S2 hii kwa ajili ya dish.

Insta @mustaphamadish
Whatsapp+255784378129

Share:

Jul 26, 2017

AZAM TV INSTALLATION IN TANZANIA


Azam tv full Installation wherever you're in Tanzania call us +255789476655
  • Installation in Hotel
  • Installation in Office
  • Installation in Apartment
  • Installation wherever you want
  • Technical Issue
  • Months Payments
  • All about Azam tv services in general  
 Whatsapp+255784378129
Share:

Apr 2, 2017

KUTUMIA KING'AMUZI CHA AZAM TV KWA TV ZAIDI YA 1

Azam tv, decoder yake yenyewe kama yenyewe haina uwezo wa kugawa kwa tv nyengine kwa kutumia RF Cable kama ilivyo king'amuzi cha DStv, hii imepelekea watumiaji wengi wa Azam tv kushindwa kugawa kwenye tv nyengine ila hii inatokana na uelewa mdogo wa fundi husika, sasa leo tutapeana faida jinsi ya kugawa picha kutoka kwenye king'amuzi cha azam na kwenda kwenye tv nyengine kwa idadi utakayo!

Hii ni AV Cable ambayo itatoa picha toka kwenye king'muzi cha Azam tv na kupeleka moja kwa moja mpaka kwenye RF Modulator ambayo itageuza AV kuwa RF. Kutoka kwenye king'amuzi kwenda kwenye Modulator zitaingia cable 3, zenya rangi 3 na inapotoka kwenye Modulator inatoka cable 1 yenye rangi moja ambayo inajulikana kama Coaxial cable ( RF Cable )

Decoder ya Azam tv

RF Modulator



Post hii inaendelea.....!!



KWA MAELEZO ZAIDI PIGA
 +255789476655
2:00 asubuhi - saa 2:00 usiku
Share:

Jun 16, 2016

UNAANGALIAJE MPIRA BILA KULIPIA/MALIPO NAFUU!


Wadau/Wateja wa ving'amuzi wakubwa ni wapenzi wa mpira hii ilikuwa hata kabla Tanzania haijaingia katika makubaliano ya kati ya zile nchi zilizoachana na mfumo wa Analogue tv na kuingia katika mfumo wa Digital tv..Hii inatokana na wapenzi wa mpira kutaka kupata mpira kwa njia yeyote ile,hivyo imekuwa kama ndo biashara ikiwa ni mdau wa ving'amuzi ili ufanye mauzo mazuri ni lazima ujue namna ya kupata kuonyesha mpira hii imepelekea kina sisi kuchangamkia fulsa kwanza kutafuta njia za kupatikana kwa channels zinazoonyesha mpira bure/kwa bei nafuu kwa udi na uvumba ili kuweza kuuza kwa wahitaji ukiachilia kampuni iliyo na idhini ya kuonyesha mpira Multichoice ( DStv ) ambayo hakuna mdau yeyote wa mpira ambaye halalamikii bei za DStv hususani Packeges za Sports,hii inapelekea kila kukicha kubuniwa njia za kuibia channels za DStv!
Post hii itakamilika hivi karibuni karibu....
Share:

Aug 9, 2015

EPUKA USUMBUFU | ILI USIJUTE KIFURUSHI ULICHOLIPIA


KUTOKA KWANGU KUJA KWENU:
Imezoeleka hii tabia hasa kwa wateja wa DStv na Azam tv wale ambao wenzangu na mie yaani wachumi sanaa! Ambao sijajua vizuri kuwa wanajua sana thamani ya pesa zao ama ni nini!?
Ila hii nadhani uswahili pia unahusika katika hili!
WATEJA WA AZAM TV:
                         Utakuta kama hakuna mpira mtu haangaiki kulipia king'amuzi chake anangoja inapofikia either kuna mechi kubwa ama ligi inaanza ndipo anataka kulipia hii siwezi kusema si sahihi kwakuwa pengine mapenzi ya mteja ni mpira tuu na ndo maana hakuna malipo ya ziada hata kama hujalipia miezi mingapi ila wanachoanguka wengi ni kushindwa kujua wanapaswa kulipia wakati gani!?
Kama ligi ama mechi unayotaka kuangalia inaanza leo inakupasa ulipia alau siku mbili kabla ya leo ili kuondoa usumbufu kama haitakuwa imefunguka katika kufatilia ili ufunguliwe lakini wengi wenu mnachofanya kama ni mechi leo saa 8 mchana wenyewe mnalipia leo hii hii tena saa 6 mchana kwa kutegemea saa 8 mchana itakuwa imeshafunguka,matokeo yake hakuna ambacho utapata zaidi ya karaha na kujikuta unazungumza maneno yote unamaliza na kuponda huduma za azam tv kwa nguvu zote kumbe uzembe ni wako mwenyewe.
Pengine uliwahi kulipia kwa mtindo huo na ikafunguka si wakati wote itafunguka wakati mwengine system inashindwa kufanya kazi ipasavyo na muda huo simu zote zinakuwa zipo bize kutokana na idadi ya wateja wengi wanafanya ambacho wewe umefanya.
WATEJA WA DSTV:
                         Mfano wa jana tu,simu zangu zote zilikuwa bize kwakuombwa kutoa msaada wa kuwafungulia wateja wa dstv ambao wamelipia lakini hakuna wanachoona,wengine walitoa ya moyoni kuwa tayari wameshajaza wateja kwenye sehemu zao wanazoonyesha mpira lakini bado hakuna kinachoonekana matokeo yake wanalalama watapigwa watu wameshatoa pesa zao!
Hivi kama wewe ni mfanyabiashara wa kuonyesha mpira kwanini usilipie kabla ya siku ya mpira ili kuondoa usumbufu!? Hivi unajua ukiwa mbabaishaji unapoteza hao wateja wako?
Pia kama unahama kifurushi ni lazima ulipia kifurushi unachotaka then unapiga simu ili ubadilishwe hicho kifurushi unachokitaka lakini nawe unangoja siku ya mpira ndo ufanye hivyo!
ANGALIZO:
                Hakuna siku ambayo kampuni za ving'amuzi si DStv si Azam zinakuwa bize kama siku za kuanza kwa mpira,hii si kwenye simu zao hata kwenye ofisi zao na wakati mwengine hata system inaelemewa.
USHAURI WANGU KWAKO:
                                   Lipia king'amuzi chako siku mbili kabla ya mechi ama tukio unalokusudia kuangalia hii itapelekea kuondokana na usumbufu,bila kufanya hivyo utaona huduma za king'amuzi husika hazifai kumbe wewe ndiye hufai.
WhatsApp+255658046655|+255784378129

Share:

May 11, 2015

VING'AMUZI VINAVYOCHUANA | AZAM TV & DSTV | KIPI NI ZAIDI!?


Dstv ni wakongwe hii haina ubishi,ila ukongwe wa dstv haina maana kuwa hakuna king'amuzi ambacho kinaweza kuja na kufanya vizuri zaidi yake,hii inatokana na kwanza kujua mahitaji ya watazamaji kwa ujumla na kuwatimizia kile wanachokihitaji,unafuu wa bei ukizingatiwa.
Azam tv ni king'amuzi kipya kati ya vyote unavyoviona ila ndio king'amuzi kinachokimbizana na wakongwe,kwanini? kwasababu wameangalia watazamaji wanataka nini na kwa unafuu pia..Ingawaje Azam tv haijakidhi mahitaji wa wadau kwa 100% lakini alau wameweza kwa ukubwa.
Wadau wengi ni wapenzi wa mpira hivyo Azam tv wamefanikiwa kwa mpira wa Tanzania na Dstv bado anang'ang'ania ukongwe wake kwa mpira wa nje.
Ving'amuzi hivi vina mapungufu yake na kinachowakera wengi ni haya hapa:-

MAPUNGUFU YA DSTV
-Kubwa linalolalamikiwa na watanzania wengi ni bei kuwa juu,nikimaanisha malipo ya mwezi na hii inachangia na mtindo unaotumika wa kutumia $ badala ya Tsh.
Madhara ya kuwa bei juu kumefanya wadau watafute kila aina ya njia kuona wanapata uhondo wa dstv ila kwa njia isiyo rasmi,na hii inapelekea kupunguza walipaji halali wa malipo ya mwezi.
-Wana local channel,lakini malipo ya mwezi yanapokata hawaziachi zikawa bure.
Hayo ni mapungufu makubwa kwa Dstv.

MAPUNGUFU YA AZAM TV
-System wanayotumia kushindwa kutambua malipo ya mwezi wanayolipia wateja na kufunguka badala yake ukilipia kifurushi ukipendacho mpaka upige simu,hii imekuwa kero kwa wateja wengi wa azam tv,mteja anakaa mpaka wiki mbili na ikitokea hapigi simu unapita mwezi pasi kuona kile kifurushi alicholipia.
-Mawakala na wauzaji wengine wasio mawakala kuuza bei tofauti na bei sahihi.Hii sio tu mikoani ijapokuwa mikoani lawama hizi ni kubwa lakini hata hapa Dar es salaam wapo wanaouza bei juu tofauti na matangazo yalivyo.
-Picha kupotea kipindi cha mvua,king'amuzi ambacho kinaongoza kwa kupotea signal wakati wa mvua ndogo tu,hii ni kero nyengine kubwa kwa wateja wa Azam tv,kitaalamu hii inatokana na signal kuwa chini hivyo ni jukumu la Azam tv kuongeza signal badala ya 60 zifike alau 80 lakini kinachotakiwa mfikishe 100.
Hayo ni mapungufu makubwa kwa Azam tv.
TOFAUTI KUBWA KATI YA DSTV & AZAM TV
Dstv ana huduma zaidi ya moja kama:-
Extra view-Inakuwezesha kuona channel mbili tofauti kwa tv mbili tofauti kwa a/c moja.
Explora-Inakupa fulsa ya kurecodi saa 150 na mengineyo.
Umiliki na utofauti wa channel.
Dstv inaonyesha mpira wa nje na Azam tv mpira wa ndani.

MUSTAPHA MADISH | +255789476655 | mustaphamadish@gmail.com
Share:

Mar 27, 2015

VIFURUSHI VYA AZAM TV | AZAM TV PACKAGES


Awali hakukuwa na mfumo huu wa vifurushi ila kutokana na uendeshaji na kutafuta maboresho imepelekea kuanza mfumo huu wa vifurushi,katika kumbukumbu za wengi ndicho king'amuzi kilichokuwa quality,channels nyingi ila malipo ya mwezi ni madogo!
Hivi ndivyo vifurushi vya azam tv,idadi ya channel na bei:-

1.AZAM LITE PACKAGE
Ina channel 40+ bora
Malipo ni Tsh 10,000/= kwa mwezi
Malipo ni Tsh 3,000/= kwa wiki
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

2.AZAM PURE PACKAGE
Ina channel 60+ bora
Malipo ni Tsh 18,000/=
Malipo ni Tsh 7,000/= kwa wiki
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

3.AZAM PLUS PACKAGE
Ina channel 90+
Malipo ni Tsh 23,000/=
Bofya Hapa kujua channel zilizopo katika kifurushi hiki!

4.AZAM PLAY PACKAGE
Ina channel 105+
Malipo ni Tsh 28,000/=

MSAADA - KIUFUNDI | KUNUNUA | CHOCHOTE KUHUSU AZAM TV | 
+255 789 476 655
Share:

Mar 1, 2015

BEI MPYA YA AZAM TV TSH 135,000/=


Hii ni kwa wateja wapya ambao wanataka kujiunga na azam tv,bei ya vifaa ni tsh 135,000/= hii namaanisha bila ufundi wala kifurushi!
Ili kufurahia huduma za azam tv inakupasa kufata utaratibu huu:-
VIFAA tsh 135,000/=
Inajumuisha Dish ikiwa na LNB,,Decoder ikiwa na smart card,cable mt20.
VIFURUSHI-
Azam pure tsh 12,000/= ch 25+
Azam plus tsh 20,000/= ch 50+
Azam play tsh 25,000/= zaidi ya ch 80
UFUNDI-
Ili ufungiwe inakupasa kulipa tsh 30,000/=
Hapa ndipo pana mvutano kidogo hapa,wateja wengi wanaona tsh 30,000/= ni nyingi na matokeo yake wengiwao wanaikwepa hii kwa kutafuta mafundi wao na kuwalipa chini ya 30,000 ama wanajikuta wanataka kufunga wenyewe matokeo yake wanaishia njiani kisha wanarudi tena kwetu!
Vipo vitu vya kujaribu lakini kitu kama ukijui tuachie tunaokijua,hii ina maanisha mgawanyiko wa kazi,madhara ya kuleta ufundi kufunga dish ikiwa hujui unaweza ukaua LNB ama ukaua Decoder.
1.Faida za kulipa tsh 30,000/= tukufungie sisi-
2.Ikiharibika ndani ya miezi mitatu repair bure.
Chochote kikitokea tunakusaidia kwa 100% kwa wakati.

Ukitaka kujua channels zilizopo kwenye kila kifurushi Bofya Hapa 

HUDUMA ZA AZAM TV | MSAADA KIUFUNDI | +255789476655
Share:

Feb 3, 2015

KIFURUSHI CHA AZAM PURE | AZAM PURE PACKAGE | TSH 18,000


Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha azam pure:-
Kuna zaidi ya channel 60
  • Kwa wiki Tsh 7,000/=
  • Kwa mwezi Tsh 18,000/= 


Universal TV
BBS TV
Clouds TV Rwanda
Salam TV
Magic One
Channel 44
ASTV (Africa Swahili TV)
Boing
Africa News
Spark TV
TV - E
Salt TV
Baby First TV
Zodiak TV
Times TV
KASS TV
Jeem TV
MBC Plus Power
RAI Italia
Malawi National TV
KBC
Capital TV
Star TV
Azam Two
Azam One
KTN
K24
Bukedde TV 2
Rwanda TV
TV West
WBS
NBS TV
Urban TV
UBC
Citizen TV
EATV
ZBC 2
African Movie Channel
MBC 3
Liverpool TV
Manchester United TV
Real Madrid TV
Al Jazeera English
Fix & Foxi
Colors
MBC Bollywood
MTV India
ITV
Clouds TV
ZBC
Chanel 10
TBC1
Sinema Zetu
JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI Bofya Hapa


KWA HUDUMA | USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU AZAM TV | +255 789 476 655
Share:

Jan 9, 2015

KIFURUSHI CHA AZAM PLAY | AZAM PLAY PACKAGE | TSH 28,000


Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha azam play:-
Kuna zaidi ya channel105


  • Sony Max UK
  • Sony Channel UK
  • Universal TV
  • BBS TV
  • Clouds Plus
  • Royal TV Rwanda
  • BET
  • MSNBC
  • National Geographic Wild
  • Baby TV
  • Fox News
  • Clouds TV Rwanda
  • Salam TV
  • Magic One
  • Channel 44
  • ASTV (Africa Swahili TV)
  • Boing
  • Africa News
  • Spark TV
  • TV - E
  • Salt TV
  • AMC Series
  • Romanza Africa
  • Baby First TV
  • Zodiak TV
  • Times TV
  • Travelxp
  • KASS TV
  • Fox Sports 2
  • Bloomberg
  • ABS TV
  • wanasah
  • Jeem TV
  • MBC Plus Power
  • MBC 1
  • Rishtey Asia
  • RAI Italia
  • MBC Max
  • Malawi National TV
  • KBC
  • Capital TV
  • Star TV
  • NINA TV
  • Star Bharat
  • AsiaNet Middle East
  • Azam Two
  • Azam Sports HD
  • Azam One
  • KTN
  • K24
  • Bukedde TV 2
  • Rwanda TV
  • TV West
  • WBS
  • KTN News
  • NBS TV
  • Urban TV
  • UBC
  • Citizen TV
  • EATV
  • ZBC 2
  • BOX Africa
  • MTV Base
  • African Movie Channel
  • Fox Life
  • FOX Entertainment
  • MBC Action
  • MBC 2
  • ETV Africa
  • MBC 3
  • Landscape
  • MCS International
  • Liverpool TV
  • Manchester United TV
  • Real Madrid TV
  • National Geographic
  • Discovery Investigation
  • Fine Living
  • VIASAT Nature/ History
  • Al Jazeera English
  • Times Now
  • France 24 English 
  • NHK World
  • Fix & Foxi
  • MBC 4
  • MBC Drama 
  • Al Jazeera News Arabic
  • Isai Aruvi
  • Puthiya Thalamurai 
  • Mazhavil Manorama
  • ETV Telugu
  • Studio One
  • ABN Andhra Jyothi
  • Colors
  • Zoom
  • Sony SAB
  • UTV Movies
  • MBC Bollywood
  • Star Gold International
  • MTV India
  • Discovery Science
  • Star Plus
  • Kombat Sport 
  • Sony Max 
  • Nickelodeon 
  • BBC World News 
  • FOX Sports 
  • ITV 
  • Clouds TV 
  • ZBC 
  • Chanel 10
  • TBC1
  • Sinema Zetu
JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI Bofya Hapa

KWA HUDUMA | USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU AZAM TV | +255789476655
Share:

Jan 4, 2015

KIFURUSHI CHA AZAM PLUS | AZAM PLUS PACKAGE | TSH 23,000


Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha azam plus:-
Kuna zaidi ya channel 54


Universal TV
BBS TV
Royal TV Rwanda
BET
National Geographic Wild
Baby TV
Clouds TV Rwanda
Salam TV
Magic One
Channel 44
ASTV (Africa Swahili TV)
Boing
Africa News
Spark TV
TV - E
Salt TV
AMC Series
Romanza Africa
Baby First TV
Zodiak TV
Times TV
Travelxp
KASS TV
Fox Sports 2
Bloomberg
ABS TV
wanasah
Jeem TV
MBC Plus Power
MBC 1
RAI Italia
MBC Max
Malawi National TV
KBC
Capital TV
Star TV
NINA TV
Azam Two
Azam Sports HD
Azam One
KTN
K24
Bukedde TV 2
Rwanda TV
TV West
WBS
NBS TV
Urban TV
UBC
Citizen TV
EATV
ZBC 2
BOX Africa
MTV Base
African Movie Channel
MBC Action
MBC 2
ETV Africa
MBC 3
Landscape
MCS International
Liverpool TV
Manchester United TV
Real Madrid TV
National Geographic
Discovery Investigation
Fine Living
Al Jazeera English
Times Now
France 24 English
NHK World
Fix & Foxi
MBC 4
MBC Drama
Al Jazeera News Arabic
Colors
Zoom
Star Gold International
Zing
MTV India
Discovery Science
Star Plus
Kombat Sport
Sony Max
Nickelodeon
BBC World News
FOX Sports
ITV
Clouds TV
ZBC
JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI Bofya Hapa

KWA HUDUMA | USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU AZAM TV | +255789476655
Share:

Nov 26, 2014

MIEZI MITATU BURE | TOKA KWANGU | KUJA KWAKO


Cha kwanza unachojiuliza ni miezi mitatu ya bure toka kwangu kuja kwako ni ya nini!?....
Nagawa ving'amuzi....?
Nawalipia Malipo ya mwezi.......??
Nafunga ving'amuzi bure.......??
Jibu lake ni rahisi sana....!!


1.Chukua simu yako bofya no.+255789476655
2.Chagua king'amuzi ukipendacho
au sema channel upendazo ili upate ushauri king'amuzi gani sahihi kwako.
3.Tayari una king'amuzi ila una tatizo la signal,picha inakatakata.
4.Unataka kuhama na king'amuzi chako?
5.Umenunua king'amuzi chochote popote na unahitaji kufungiwa?

MIEZI MITATU
Ikiwa tutakufungia king'amuzi chochote..
Iwe kipya,umenunua kwetu ama laa!
Iwe cha zamani ila tumekuja kukurekebishia!
Iwe tumekuhamisha toka sehemu moja kwenda nyengine!
Utapata huduma bure ndani ya miezi mitatu baada ya kukufungia/kukurekebishia kwa mara ya kwanza.
Hii ni kwa wateja wote kuanzia tarehe 01/12/2014
Hii inatokana na kujua ambacho nakifanya na kuwa na uhakika nacho ijapokuwa hata makampuni mengine ya ving'amuzi wanatoa miezi mitatu baada ya hapo unalipa pesa kila fundi anapokuja..
Kwanini ulipe mara kwa mara kwa fundi wako?
Lipa mara moja pata huduma miezi mitatu bure!
Ila hii ni kwa ving'amuzi vyote vinavyotumia Dish!
Iwe DSTV,ZUKU TV,AZAM TV,STARTIMES,CONTINENTAL
Ntabaki kuwa mbora na wengine watafata daima milele!
Ulipo nipo nawe piga sasa +255789476655
mustaphamadish@gmail.com
Share:

Nov 14, 2014

AZAM TV | UBUNGO FLAT

Hapa bada niwe tu mkweli,awali nilikuja kufunga Continental ya Dish ila mteja wangu huyu alinunua mwenyewe Decoder ambapo dish alikuwa nayo nilichofanya ni kufanya yangu ili Channel za Continental ziweze kumwagika bila chenga!
Yap nikafanya ya kufanya zikajaa ambapo idadi ikafika kama 90 hivi zote zikiwa buree!!
Ila kilichotokea ndicho kilichopelkekea huyu mteja kuuliza king'amuzi kingine na ndipo akaangukia kwenye hii Azam tv....!!

Mashine ikipambana na zege..

Nguvu kidogo...

Hapa mteja atanisahau!

Sababu ya kuwa tofauti na wengine..

...............!!



Baada ya hapo unadhani ntamalizaje kama si kama hivi:-
KUPATA AZAM TV | PIGA +255789476655 | TUNAKULETEA ULIPO.
Share:

Oct 26, 2014

UNATAKA AZAM TV? | TUNAKUFATA | UNALIPIA | UNAFUNGIWA PAPO HAPO!

Hapa tunazungumzia malipo ya mwezi ni Tsh 12500/=
Unapata jumla ya channel 60.
Ukitaka kuzijua bofya hapa
Huduma hii inaweza kukufata popote ulipo ndani ya dar es salaam na malipo ukafanyia nyumbani ama mahali ulipo kabla ya kufungiwa king'amuzi chako.
Hii itakurahisishia wewe kutokusumbuka!
Hii yote ni katika kuboresha huduma zetu na kukuweka karibu yetu.
Kazi hii ni moja kati ya waliolipia nyumbani!




Unataka tukufate ulipo,ama tatizo lolote kuhusu azam tv?
+255789476655 Mustapha.
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita