Call / WhatsApp +255673378129

Showing posts with label azam tv channels. Show all posts
Showing posts with label azam tv channels. Show all posts

Aug 26, 2017

KWANINI USILIPIE MAPEMA | KING'AMUZI CHAKO!?


Nimejaribu kufatilia kwa ukaribu sana utaratibu wa kufanya malipo ya king'amuzi kati ya watumiaji wageni nikimaanisha wenzetu rangi nyeupe na sisi ngozi nyeusi ijapokuwa si wote isipokuwa wengi wetu tuna utaratibu mmbovu sana wa kufanya malipo ya ving'amuzi tunavyotumia...!!
Mfano ukute mzungu/ama muhindi utaratibu wake wa kulipia, mfano amelipia king'amuzi anachotumia tarehe 10 mwezi wa 11, atalipia tena siku mbili ama tatu nyuma kwa mwezi unaofata, anaweza akalipia terehe 7 ama 8 ama 9 mwezi wa 12 ambapo hukuti anapata usumbufu kuhusu malipo na uzuri zaidi ving'amuzi karibu vyote vina utaratibu wa kukutumia ujumbe tena kwenye king'amuzi chako ya kwamba kifurushi chako karibu kinaisha hivyo ufanye malipo mapema!
Wengi wetu sie kina ngozi nyeusi kama nimelipia tarehe 10 mwezi wa 11, sitafanya malipo mpaka kifurushi kitakapokata kabisa matokeo yake unatokea usumbufu wa hali ya juu.. wakati mwengine inaweza ikawa kipato hilo ni sawa siwezi lipinga ila hupaswi kungoja mpaka siku ya mpira ndipo ufanye malipo kwa maana mara zote siku za mipira sio Azam sio DStv huwa system zao zina elemewa na matokeo yake unapata maudhi usiyoyategema ambapo ungelipia siku moja ama mbili kabla ya mpira unaotaka kuangalia usingepata usumbufu hata kidogo!
Tujitahidi kubadilika wadau wa ulimwengu huu wa Digital tv... Kwa hili naomba niwe mkweli  ikiwa utalipia siku ya mpira na ukatafuta msaada umekosa hata mimi na managment yangu hatutakuwa na msaada ila kama utalipia siku 2 ama 1 kabla ya mpira msaada utaupata toka kwetu kwa king'amuzi chochote kile.
Kwa maelezo zaidi.....
 +255789476655 
Whatsapp+255784378129
Share:

May 11, 2015

VING'AMUZI VINAVYOCHUANA | AZAM TV & DSTV | KIPI NI ZAIDI!?


Dstv ni wakongwe hii haina ubishi,ila ukongwe wa dstv haina maana kuwa hakuna king'amuzi ambacho kinaweza kuja na kufanya vizuri zaidi yake,hii inatokana na kwanza kujua mahitaji ya watazamaji kwa ujumla na kuwatimizia kile wanachokihitaji,unafuu wa bei ukizingatiwa.
Azam tv ni king'amuzi kipya kati ya vyote unavyoviona ila ndio king'amuzi kinachokimbizana na wakongwe,kwanini? kwasababu wameangalia watazamaji wanataka nini na kwa unafuu pia..Ingawaje Azam tv haijakidhi mahitaji wa wadau kwa 100% lakini alau wameweza kwa ukubwa.
Wadau wengi ni wapenzi wa mpira hivyo Azam tv wamefanikiwa kwa mpira wa Tanzania na Dstv bado anang'ang'ania ukongwe wake kwa mpira wa nje.
Ving'amuzi hivi vina mapungufu yake na kinachowakera wengi ni haya hapa:-

MAPUNGUFU YA DSTV
-Kubwa linalolalamikiwa na watanzania wengi ni bei kuwa juu,nikimaanisha malipo ya mwezi na hii inachangia na mtindo unaotumika wa kutumia $ badala ya Tsh.
Madhara ya kuwa bei juu kumefanya wadau watafute kila aina ya njia kuona wanapata uhondo wa dstv ila kwa njia isiyo rasmi,na hii inapelekea kupunguza walipaji halali wa malipo ya mwezi.
-Wana local channel,lakini malipo ya mwezi yanapokata hawaziachi zikawa bure.
Hayo ni mapungufu makubwa kwa Dstv.

MAPUNGUFU YA AZAM TV
-System wanayotumia kushindwa kutambua malipo ya mwezi wanayolipia wateja na kufunguka badala yake ukilipia kifurushi ukipendacho mpaka upige simu,hii imekuwa kero kwa wateja wengi wa azam tv,mteja anakaa mpaka wiki mbili na ikitokea hapigi simu unapita mwezi pasi kuona kile kifurushi alicholipia.
-Mawakala na wauzaji wengine wasio mawakala kuuza bei tofauti na bei sahihi.Hii sio tu mikoani ijapokuwa mikoani lawama hizi ni kubwa lakini hata hapa Dar es salaam wapo wanaouza bei juu tofauti na matangazo yalivyo.
-Picha kupotea kipindi cha mvua,king'amuzi ambacho kinaongoza kwa kupotea signal wakati wa mvua ndogo tu,hii ni kero nyengine kubwa kwa wateja wa Azam tv,kitaalamu hii inatokana na signal kuwa chini hivyo ni jukumu la Azam tv kuongeza signal badala ya 60 zifike alau 80 lakini kinachotakiwa mfikishe 100.
Hayo ni mapungufu makubwa kwa Azam tv.
TOFAUTI KUBWA KATI YA DSTV & AZAM TV
Dstv ana huduma zaidi ya moja kama:-
Extra view-Inakuwezesha kuona channel mbili tofauti kwa tv mbili tofauti kwa a/c moja.
Explora-Inakupa fulsa ya kurecodi saa 150 na mengineyo.
Umiliki na utofauti wa channel.
Dstv inaonyesha mpira wa nje na Azam tv mpira wa ndani.

MUSTAPHA MADISH | +255789476655 | mustaphamadish@gmail.com
Share:

Mar 27, 2015

VIFURUSHI VYA AZAM TV | AZAM TV PACKAGES


Awali hakukuwa na mfumo huu wa vifurushi ila kutokana na uendeshaji na kutafuta maboresho imepelekea kuanza mfumo huu wa vifurushi,katika kumbukumbu za wengi ndicho king'amuzi kilichokuwa quality,channels nyingi ila malipo ya mwezi ni madogo!
Hivi ndivyo vifurushi vya azam tv,idadi ya channel na bei:-

1.AZAM LITE PACKAGE
Ina channel 40+ bora
Malipo ni Tsh 10,000/= kwa mwezi
Malipo ni Tsh 3,000/= kwa wiki
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

2.AZAM PURE PACKAGE
Ina channel 60+ bora
Malipo ni Tsh 18,000/=
Malipo ni Tsh 7,000/= kwa wiki
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

3.AZAM PLUS PACKAGE
Ina channel 90+
Malipo ni Tsh 23,000/=
Bofya Hapa kujua channel zilizopo katika kifurushi hiki!

4.AZAM PLAY PACKAGE
Ina channel 105+
Malipo ni Tsh 28,000/=

MSAADA - KIUFUNDI | KUNUNUA | CHOCHOTE KUHUSU AZAM TV | 
+255 789 476 655
Share:

Mar 1, 2015

BEI MPYA YA AZAM TV TSH 135,000/=


Hii ni kwa wateja wapya ambao wanataka kujiunga na azam tv,bei ya vifaa ni tsh 135,000/= hii namaanisha bila ufundi wala kifurushi!
Ili kufurahia huduma za azam tv inakupasa kufata utaratibu huu:-
VIFAA tsh 135,000/=
Inajumuisha Dish ikiwa na LNB,,Decoder ikiwa na smart card,cable mt20.
VIFURUSHI-
Azam pure tsh 12,000/= ch 25+
Azam plus tsh 20,000/= ch 50+
Azam play tsh 25,000/= zaidi ya ch 80
UFUNDI-
Ili ufungiwe inakupasa kulipa tsh 30,000/=
Hapa ndipo pana mvutano kidogo hapa,wateja wengi wanaona tsh 30,000/= ni nyingi na matokeo yake wengiwao wanaikwepa hii kwa kutafuta mafundi wao na kuwalipa chini ya 30,000 ama wanajikuta wanataka kufunga wenyewe matokeo yake wanaishia njiani kisha wanarudi tena kwetu!
Vipo vitu vya kujaribu lakini kitu kama ukijui tuachie tunaokijua,hii ina maanisha mgawanyiko wa kazi,madhara ya kuleta ufundi kufunga dish ikiwa hujui unaweza ukaua LNB ama ukaua Decoder.
1.Faida za kulipa tsh 30,000/= tukufungie sisi-
2.Ikiharibika ndani ya miezi mitatu repair bure.
Chochote kikitokea tunakusaidia kwa 100% kwa wakati.

Ukitaka kujua channels zilizopo kwenye kila kifurushi Bofya Hapa 

HUDUMA ZA AZAM TV | MSAADA KIUFUNDI | +255789476655
Share:

Feb 3, 2015

KIFURUSHI CHA AZAM PURE | AZAM PURE PACKAGE | TSH 18,000


Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha azam pure:-
Kuna zaidi ya channel 60
  • Kwa wiki Tsh 7,000/=
  • Kwa mwezi Tsh 18,000/= 


Universal TV
BBS TV
Clouds TV Rwanda
Salam TV
Magic One
Channel 44
ASTV (Africa Swahili TV)
Boing
Africa News
Spark TV
TV - E
Salt TV
Baby First TV
Zodiak TV
Times TV
KASS TV
Jeem TV
MBC Plus Power
RAI Italia
Malawi National TV
KBC
Capital TV
Star TV
Azam Two
Azam One
KTN
K24
Bukedde TV 2
Rwanda TV
TV West
WBS
NBS TV
Urban TV
UBC
Citizen TV
EATV
ZBC 2
African Movie Channel
MBC 3
Liverpool TV
Manchester United TV
Real Madrid TV
Al Jazeera English
Fix & Foxi
Colors
MBC Bollywood
MTV India
ITV
Clouds TV
ZBC
Chanel 10
TBC1
Sinema Zetu
JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI Bofya Hapa


KWA HUDUMA | USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU AZAM TV | +255 789 476 655
Share:

Jan 9, 2015

KIFURUSHI CHA AZAM PLAY | AZAM PLAY PACKAGE | TSH 28,000


Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha azam play:-
Kuna zaidi ya channel105


  • Sony Max UK
  • Sony Channel UK
  • Universal TV
  • BBS TV
  • Clouds Plus
  • Royal TV Rwanda
  • BET
  • MSNBC
  • National Geographic Wild
  • Baby TV
  • Fox News
  • Clouds TV Rwanda
  • Salam TV
  • Magic One
  • Channel 44
  • ASTV (Africa Swahili TV)
  • Boing
  • Africa News
  • Spark TV
  • TV - E
  • Salt TV
  • AMC Series
  • Romanza Africa
  • Baby First TV
  • Zodiak TV
  • Times TV
  • Travelxp
  • KASS TV
  • Fox Sports 2
  • Bloomberg
  • ABS TV
  • wanasah
  • Jeem TV
  • MBC Plus Power
  • MBC 1
  • Rishtey Asia
  • RAI Italia
  • MBC Max
  • Malawi National TV
  • KBC
  • Capital TV
  • Star TV
  • NINA TV
  • Star Bharat
  • AsiaNet Middle East
  • Azam Two
  • Azam Sports HD
  • Azam One
  • KTN
  • K24
  • Bukedde TV 2
  • Rwanda TV
  • TV West
  • WBS
  • KTN News
  • NBS TV
  • Urban TV
  • UBC
  • Citizen TV
  • EATV
  • ZBC 2
  • BOX Africa
  • MTV Base
  • African Movie Channel
  • Fox Life
  • FOX Entertainment
  • MBC Action
  • MBC 2
  • ETV Africa
  • MBC 3
  • Landscape
  • MCS International
  • Liverpool TV
  • Manchester United TV
  • Real Madrid TV
  • National Geographic
  • Discovery Investigation
  • Fine Living
  • VIASAT Nature/ History
  • Al Jazeera English
  • Times Now
  • France 24 English 
  • NHK World
  • Fix & Foxi
  • MBC 4
  • MBC Drama 
  • Al Jazeera News Arabic
  • Isai Aruvi
  • Puthiya Thalamurai 
  • Mazhavil Manorama
  • ETV Telugu
  • Studio One
  • ABN Andhra Jyothi
  • Colors
  • Zoom
  • Sony SAB
  • UTV Movies
  • MBC Bollywood
  • Star Gold International
  • MTV India
  • Discovery Science
  • Star Plus
  • Kombat Sport 
  • Sony Max 
  • Nickelodeon 
  • BBC World News 
  • FOX Sports 
  • ITV 
  • Clouds TV 
  • ZBC 
  • Chanel 10
  • TBC1
  • Sinema Zetu
JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI Bofya Hapa

KWA HUDUMA | USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU AZAM TV | +255789476655
Share:

Jan 4, 2015

KIFURUSHI CHA AZAM PLUS | AZAM PLUS PACKAGE | TSH 23,000


Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha azam plus:-
Kuna zaidi ya channel 54


Universal TV
BBS TV
Royal TV Rwanda
BET
National Geographic Wild
Baby TV
Clouds TV Rwanda
Salam TV
Magic One
Channel 44
ASTV (Africa Swahili TV)
Boing
Africa News
Spark TV
TV - E
Salt TV
AMC Series
Romanza Africa
Baby First TV
Zodiak TV
Times TV
Travelxp
KASS TV
Fox Sports 2
Bloomberg
ABS TV
wanasah
Jeem TV
MBC Plus Power
MBC 1
RAI Italia
MBC Max
Malawi National TV
KBC
Capital TV
Star TV
NINA TV
Azam Two
Azam Sports HD
Azam One
KTN
K24
Bukedde TV 2
Rwanda TV
TV West
WBS
NBS TV
Urban TV
UBC
Citizen TV
EATV
ZBC 2
BOX Africa
MTV Base
African Movie Channel
MBC Action
MBC 2
ETV Africa
MBC 3
Landscape
MCS International
Liverpool TV
Manchester United TV
Real Madrid TV
National Geographic
Discovery Investigation
Fine Living
Al Jazeera English
Times Now
France 24 English
NHK World
Fix & Foxi
MBC 4
MBC Drama
Al Jazeera News Arabic
Colors
Zoom
Star Gold International
Zing
MTV India
Discovery Science
Star Plus
Kombat Sport
Sony Max
Nickelodeon
BBC World News
FOX Sports
ITV
Clouds TV
ZBC
JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI Bofya Hapa

KWA HUDUMA | USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU AZAM TV | +255789476655
Share:

Nov 26, 2014

MIEZI MITATU BURE | TOKA KWANGU | KUJA KWAKO


Cha kwanza unachojiuliza ni miezi mitatu ya bure toka kwangu kuja kwako ni ya nini!?....
Nagawa ving'amuzi....?
Nawalipia Malipo ya mwezi.......??
Nafunga ving'amuzi bure.......??
Jibu lake ni rahisi sana....!!


1.Chukua simu yako bofya no.+255789476655
2.Chagua king'amuzi ukipendacho
au sema channel upendazo ili upate ushauri king'amuzi gani sahihi kwako.
3.Tayari una king'amuzi ila una tatizo la signal,picha inakatakata.
4.Unataka kuhama na king'amuzi chako?
5.Umenunua king'amuzi chochote popote na unahitaji kufungiwa?

MIEZI MITATU
Ikiwa tutakufungia king'amuzi chochote..
Iwe kipya,umenunua kwetu ama laa!
Iwe cha zamani ila tumekuja kukurekebishia!
Iwe tumekuhamisha toka sehemu moja kwenda nyengine!
Utapata huduma bure ndani ya miezi mitatu baada ya kukufungia/kukurekebishia kwa mara ya kwanza.
Hii ni kwa wateja wote kuanzia tarehe 01/12/2014
Hii inatokana na kujua ambacho nakifanya na kuwa na uhakika nacho ijapokuwa hata makampuni mengine ya ving'amuzi wanatoa miezi mitatu baada ya hapo unalipa pesa kila fundi anapokuja..
Kwanini ulipe mara kwa mara kwa fundi wako?
Lipa mara moja pata huduma miezi mitatu bure!
Ila hii ni kwa ving'amuzi vyote vinavyotumia Dish!
Iwe DSTV,ZUKU TV,AZAM TV,STARTIMES,CONTINENTAL
Ntabaki kuwa mbora na wengine watafata daima milele!
Ulipo nipo nawe piga sasa +255789476655
mustaphamadish@gmail.com
Share:

Nov 14, 2014

AZAM TV | UBUNGO FLAT

Hapa bada niwe tu mkweli,awali nilikuja kufunga Continental ya Dish ila mteja wangu huyu alinunua mwenyewe Decoder ambapo dish alikuwa nayo nilichofanya ni kufanya yangu ili Channel za Continental ziweze kumwagika bila chenga!
Yap nikafanya ya kufanya zikajaa ambapo idadi ikafika kama 90 hivi zote zikiwa buree!!
Ila kilichotokea ndicho kilichopelkekea huyu mteja kuuliza king'amuzi kingine na ndipo akaangukia kwenye hii Azam tv....!!

Mashine ikipambana na zege..

Nguvu kidogo...

Hapa mteja atanisahau!

Sababu ya kuwa tofauti na wengine..

...............!!



Baada ya hapo unadhani ntamalizaje kama si kama hivi:-
KUPATA AZAM TV | PIGA +255789476655 | TUNAKULETEA ULIPO.
Share:

Oct 26, 2014

UNATAKA AZAM TV? | TUNAKUFATA | UNALIPIA | UNAFUNGIWA PAPO HAPO!

Hapa tunazungumzia malipo ya mwezi ni Tsh 12500/=
Unapata jumla ya channel 60.
Ukitaka kuzijua bofya hapa
Huduma hii inaweza kukufata popote ulipo ndani ya dar es salaam na malipo ukafanyia nyumbani ama mahali ulipo kabla ya kufungiwa king'amuzi chako.
Hii itakurahisishia wewe kutokusumbuka!
Hii yote ni katika kuboresha huduma zetu na kukuweka karibu yetu.
Kazi hii ni moja kati ya waliolipia nyumbani!




Unataka tukufate ulipo,ama tatizo lolote kuhusu azam tv?
+255789476655 Mustapha.
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita