Call / WhatsApp +255673378129

Showing posts with label azam tv packages. Show all posts
Showing posts with label azam tv packages. Show all posts

Aug 25, 2017

KIFURUSHI CHA AZAM LITE | AZAM LITE PACKAGE | TSH 10,000

Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha azam lite:-
Kuna zaidi ya channel 55
 Kwa wiki ni Tsh 3,000/= na kwa mwezi ni Tsh 10,000/=

  • Universal TV
  • BBS TV
  • Royal TV Rwanda
  • Clouds TV Rwanda
  • Salam TV
  • Magic One
  • Channel 44
  • ASTV (Africa Swahili TV)
  • Boing
  • Africa News
  • Spark TV
  • TV - E
  • Salt TV
  • AMC Series
  • Romanza Africa
  • Zodiak TV
  • Times TV
  • KASS TV
  • ABS TV
  • DELTA TV
  • Jeem TV
  • MBC Plus Power
  • RAI Italia
  • Malawi National TV
  • KBC
  • Star TV
  • Azam Two
  • Azam One
  • KTN
  • K24
  • Bukedde TV 2
  • TV West
  • NBS TV
  • Urban TV
  • UBC
  • Citizen TV
  • EATV
  • ZBC 2
  • African Movie Channel
  • MBC 3
  • Manchester United TV
  • Real Madrid TV
  • Al Jazeera English
  • Fix & Foxi
  • Colors
  • MBC Bollywood
  • MTV India
  • ITV
  • Clouds TV
  • ZBC
  • Chanel 10
  • TBC1
  • Sinema Zetu

JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI Bofya Hapa
KWA HUDUMA | USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU AZAM TV | +255 789 476 655 Whatsapp+255784378129
Share:

May 1, 2017

OFFER YA AZAM TV 2018


Azam tv inaendeleza kufanya vizuri na sasa ina Offer kwenye malipo ya mwezi!
Bei ya kununua King'amuzi ni Tsh 135,000/= bila Ufundi wala Kifurushi
Ufundi ni Tsh 30,000/=
Vifurushi Bofya Hapa
Offer unayopata ni:
  • Kifurushi cha Tsh 15,000/= ambacho sasa kimekuwa Tsh 10,000/= AZAM LITE
  • Kwa wiki ilikuwa Tsh 5,000/= ambapo kwa sasa ni Tsh 3,000/=
Kwa maelezo zaidi piga +255789476655
Share:

Sep 25, 2016

OFFER YA AZAM TV 2016

Lipia kifurushi cha Azam Play Tsh 28,000/= kwa miezi 12 ( Mwaka mmoja ) ambapo ni Tsh , utapata Vifaa na Kufungiwa bureee!!!
Hii itakufanya uokoe Tsh 165,000/=
Offer hii iawahusu wateja wapya tu!
Kujua vifurushi na channels zilizopo kwenye Azam Tv Bofya Hapa
Kupata mafundi wa Azam TV Bofya Hapa 
Kununua King'amuzi cha Azam Tv Bofya Hapa
Kwa maelezo zaidi +255789476655
Share:

Apr 12, 2016

KOPO HALISAIDII CHOCHOTE KWENYE DISH


Leo nimeonelea niongelee hili jambo kwakuwa ukiachilia kuliona sehemu mbali mbali pia nimekuwa nikulizwa kama kuna umuhimu wa wenye ving'amuzi vya madish kuweka makopo?
 Jambo la awali la kuzingatia king'amuzi kiwe cha Dish ama Antenna kina namna ya ufungaji wake kwa kutumia vifaa vyote vilivyomo kwenye set ya king'amuzi hicho,ikitokea kimojawapo umekiacha ndipo unajikuta nafasi ya kile ulichokiacha inachukuliwa na KOPO!
Kutumia KOPO kunatokana na sababu hizi:-
  • Tuanze kiufundi
- Fundi hupaswi kuacha kutumia kitu chochote kati ya ulivyovikuta kwenye set ya Dish kwakuwa vyote vina kazi yake na ni muhimu sana.

Hapa unamshawishi mteja atafute kopo lilipo ili aweze kufunika akiamini atasaidia angalau kuepusha gharama za kuita ita fundi.

Ukifunga hivi ni kipi ambacho kitamshawishi mteja aongezee ufundi wake wa kuweka kopo?
Fikra za watanzania wengi wanaamini wakifunika na kopo husaidia:-
  • Huzuia kunguru kufanya uharibifu
  • Husaidia picha kutokupotea wakati wa mvua
Niseme tu ukweli KOPO halisaidii chochoteikiwa fundi amefanyakazi safi.
Kupotea kwa Picha kwa dish ndogo kipindi cha mvua ni kawaida kutokana na uwezo mdogo ili kuepuka hili inakulazimu kutumia Dish kubwa ama lnb maalum na kuhusu kunguru fundi akifanyakazi yake vema kunguru hata abembee vipi hawezi kufanya uharibifu!
mustaphamadish@gmail.com
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita