Call / WhatsApp +255673378129

Showing posts with label jinsi ya kuhama kifurushi. Show all posts
Showing posts with label jinsi ya kuhama kifurushi. Show all posts

Nov 1, 2015

VIFURUSHI NA CHANEL ZA STARTIMES



Ni moja kati ya makampuni ambayo yanamiliki ving'amuzi aina mbili tofauti kimasafa,nikiwa na maana ya kuwa kuna aina mbili ya Decoder za startimes:
  • StarTimes ya Antenna
  • StarTime ya Dish
Kwa kukurahisishia startimes wakati wanaanza hapa nchini walianza na mfumo wa kutumia Antenna tu,mfumo huu ukawa na lawama nyingi sana katika swala zima la kukatakata kwa picha wakaja kuboresha kwa kuleta na mfumo wa Dish ingawaje hata ule mfumo wa Antenna nao kwa sasa upo vizuri umeboreshwa!

Hivi ndivyo vifurushi vya StarTime:-

KWA KING'AMUZI CHA DISH

1- KIFURUSHI CHA NYOTA
Ina channels 30+ bora!
Bei yake ni Tsh 11,000 Kwa mwezi
Tsh 4,000 Kwa wiki
Tsh 1,100 Kwa siku
Bofya hapa kujua channels zilizopo kwenye kifurushi hiki!

2- KIFURUSHI CHA SMART
Ina channels 60+ bora!
Bei yake ni Tsh 21,000 Kwa mwezi
Tsh 8,000 Kwa wiki
Tsh 2,100 Kwa siku
Bofya hapa kujua channels zilizopo kwenye kifurushi hiki!

3-STARTIMES SPORT PLUS ( Cha ziada )
Ina channels 4+ bora!
Bei yake ni Tsh 14,000
Bofya hapa kujua channels zilizopo kwenye kifurushi hiki!

4- KIFURUSHI CHA SUPER
Ina channels 100+ bora!
Bei yake ni Tsh 36,000 Kwa mwezi
Tsh 12,000 Kwa wiki
Tsh 3,600 Kwa siku
Bofya hapa kujua channels zilizopo kwenye kifurushi hiki!

5- STARTIMES CHINESE PACKAGE
Inajumuisha kifurushi cha Smart
Ina channels 84+ bora!
Bei ni Tsh 43000
Bofya hapa kujua channels zilizopo katika kifurushi hiki!

6-STARTIMES INDIAN PACKAGE 
Sasa inapatikana kama kifurushi cha ziada
Ina channels 8+ bora!
Bei ni Tsh 18000
Bofya hapa kujua channels zilizopo kwenye kifurushi hiki!

KWA KING'AMUZI CHA ANTENNA

1-  KIFURUSHI CHA NYOTA
Ina channels 30+ bora!
Bei yake ni Tsh 9,000 Kwa mwezi
Tsh 3,000 Kwa wiki
Tsh 900 Kwa wiki
Bofya hapa kujua channels zilizopo kwenye kifurushi hiki!

2-  KIFURUSHI CHA MAMBO
Ina channels 60+ bora!
Bei yake ni Tsh 14,000 Kwa mwezi
Tsh 6,000 Kwa wiki
Tsh 1,500 Kwa siku
Bofya hapa kujua channels zilizopo kwenye kifurushi hiki!

3-  KIFURUSHI CHA UHURU
Ina channels 80+ bora!
Bei yake ni Tsh 20,000 Kwa mwezi
Tsh 7,000 Kwa wiki
Tsh 2,500 Kwa siku
Bofya hapa kujua channels zilizopo kwenye kifurushi hiki!




Kwa Maelezo zaidi
Instagram @mustaphamadish
Call / Whatsapp / Text 
+255 658 046 655
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita