Call / WhatsApp +255673378129

Jun 25, 2017

OFFER YA DSTV MSIMU WA SABASABA



PATA OFA YA SABA SABA NA DStv !
Msimu wa maonyesho ya Biashara ya SabaSaba umewadia rasmi ambapo DStv wanapatikana pale kwenye viwanja vya SABA SABA wakiwa na OFA za kipekee kwenye Msimu huu.
Ni Ofa Kabambe,
Ofa ya Kujiunga na DStv kwenye Banda lao la SABASABA ni
• Kwa sh. 69, 000 Utaunganishwa na DStv, kifurushi cha DStv Bomba mwezi mmoja BUREE na Ufundi BUREE!
• Kwa sh.100, 000 utaunganishwa na DStv na kupewa kifurushi cha Bomba miezi miwili BUREE pamoja na ufundi BUREE!
• Kwa sh. 300,000 utaunganishwa na DStv na kupewa kifurushi cha Bomba mwaka Mzima BUREE na ufundi BUREE!

Pia kuna OFA ya Dekoda zenye uwezo wa kurekodi vipindi, ‘kurewind’ na ‘kufoward’ – Explora PVR Decoder
• Kwa sh.185, 000 utapata Explora Dekoda na kifurushi cha Compact mwezi 1 BUREE!
• Kwa sh. 270,000 utapata Explora Dekoda, Smart LNB na kifurushi cha Compact mwezi 1 BUREE!
• Kwa sh. 321, 000 utapata Explora Decoder, Smart LNB, Dish na Kifurushi cha Compact mwezi 1 BUREEE pamoja na kuungashiwa BUREE!
Ufanye Msimu huu wa SABA SABA kuwa wenye maajabu kwa Familia yako kupitia vipindi vya kipee na vya kusisimua kwenye DStv! Fika sasa kwenye Banda la DStv SABA SABA uwahi OFA Hizi!

Kwa maelezo zaidi
+255789476655
Share:

Jun 24, 2017

OFFER YA STARTIMES MSIMU WA SABA SABA


Wapo ambao walikuwa wanautamani msimu huu wa maonyesho ya saba saba ufike ili waweze kununua mahitaji yao kwa punguzo la bei! Sasa StarTime Tanzania wanakuletea OFFER hii hapa
Katika msimu huu wa Sabasaba pata punguzo la bei la kufa mtu toka StarTimes  (8% discount) katika kila bidhaa zetu... Fika katika Duka letu mkabara na Tbc Offer kedekede zipo kwa ajili yako mteja wetu mpendwa... Karibu sana!
Kwa maelezo zaidi
+255789476655
Share:

Jun 23, 2017

OFFER YA AZAM TV MSIMU WA SABA SABA


SABA SABA OFA!!!!!
Kwa sasa tunachoangalia ni maonyesho ya saba saba.. kila mtu anataka kujua ni nini kimepunguzwa ili aweze kununua.. King'amuzi cha Azam tv kimekuletea Offer hii hapa!
Nunua kinga'muzi kwa shilingi 140,000 nasi tunakuzawadia kifurushi kikubwa cha 28,000 kwa miezi miwili bureeeee

Fika kwenye Banda letu la Azam TV sabasaba na ofa hii ni yako.
Ofa hii ni kwa kipindi chote cha sabasaba kuanzia sasa!!!
Vigezo na Masharti kuzingatiwa


Kwa maelezo zaidi
+255789476655
Share:

Jun 22, 2017

TUNAWATAKIA SIKUKUU NJEMA NDUGU ZETU !!


Waislamu tupo ukingoni katika kukamilisha moja ya nguzo muhimu katika dini yetu kama ambavyo tumeongozwa kutekeleza..
Leo ni chungu cha 28,bado siku moja ama mbili ili tumalize mfungo na tuingie kwenye Sikukuu ya Idd...
Nichukue nafasi hii kuwatakia kila la heri katika kumalizia mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhan na kusherehekea vema sikukuu..
 Na salamu hizi zinatolewa na MADISH TECHNOLOGY kwa ujumla!
Pamoja na salamu hizi pia tunawashukuru kuendelea kuwa pamoja nasi..
Tunathamini uwepo wetu na tunafanya kila njia kukidhi matakwa yenu bila ninyi wala tusingefika hapa..Tusherehekea sikukuu kwa amani na utulivu..!!
Share:

Jun 21, 2017

NINI KIBORESHWE KWENYE KING'AMUZI UNACHOTUMIA?


Hii ni fulsa pekee kwa watumiaji wa Ving'amuzi Tanzania lengo likiwa ni moja tu wote kuwafanya muweze kuhufurahia ulimwengu wa Digital tv!
SWALI: Ni nini kinachokuudhi kuhusu king'amuzi unachotumia? Ili yaweze kufanyika maboresho na uweze kufurahia matangazo kama ambavyo ulitarajia!
Hii ni kwa Ving'amuzi vyote iwe:-
  • Azam tv
  • Continental
  • Digitek
  • DStv
  • Startimes
  • Ting
  • Zuku tv
KWA MAELEZO ZAIDI +255789476655
Share:

Jun 7, 2017

MKOA ULIOPO TUPO NA WEWE!

Siku zote tunasisitiza huduma bora bila kubagua uwezo wa wadau wetu ama sehemu uliyokuwepo ingawaje lawama zilikuwa nyingi kwa kuwapa ugumu wadau wetu ambao mlikuwa mnatuhitaji mliopo nje ya Dar es salaam
Kwa sasa ni rahisi sana kupata huduma zetu ukiwa mkoa wowote Tanzania kwa kufata utaraibu huu:-

  • Angalia katika orodha huduma uitakayo ipo?
> CCTV Cameras Installation
> TV System Installation
> TV System Repairing
> Azam Tv Installation/Repairing
> DStv Installation/Repairing
> StarTimes Installation/Repairing
> Zuku Tv Installation/Repairing
> Continental Installation/Repairing
> Flat screen & Projector Installation
  •  Wapi tusababishe ama una Tv ngapi?
> Upande wa Tv system Installation ni kwenye:Apartment | Office | Hotel | Au Installation ya Tv 4 na kuendelea.
> Upande wa CCTV Cameras Installation hata camera 1 tunakuja kufunga.

  • Unahofia gharama zetu?
Huwa wanasema rahisi ni ghali.. ni kweli ila hii haina maana kwamba we're very expensive.. isipokuwa huduma zetu ni high quality hatuangalii umetulipa kiasi gani,tunachozingatia ni LEVEL yetu kamwe hatukubali kujishusha ama mtu kutushusha kutokana na kipato chake ama mazingira huwa tunafanya bora popote tunapofanya kazi.. Kazi yetu ya kwanza ni kukushauri kutokana na matakwa yako,eneo lako na kipato chako kisha tunafanyakazi.. Malipo yetu huwa awamu mbili ama tatu inategemea na ukubwa wa kazi!

  • Uzoefu wetu upoje?
> Zaidi ya miaka 8 tunafanya hizi kazi
> Uzoefu umetufanya tuwe wabunifu mara dufu
> Tunavielewa vema Ving'amuzi vyote vilivyopo Tanzania na nje ya Tanzania
> Tunazielewa vema Camera na kila updates
> Tumefanya/Tumewafanyia kazi watu/sehemu Expensive.Mf:Ikulu-Prime Minister Office | JB belmonte Hotel | Nyumbani kwa Mkurugenzi wa IPP Media Bw.R.Mengi.
> Tume na tunaendelea kuwasaidia mafundi wanapokwama na kuwapa training wasiojua na matokeo kuwa mafundi wazuri


  • Vifaa tunavyotumia kukufungia
> Kuonyesha tunakufungia kitu OG huwa tunakupa miezi 12 kama ikitokea kimeungua huwa tunakubadilishia bila gharama yeyote ya ziada.

  • Tunafanyakazi kihalali ama tunanjunga?
 Tupo Officially kabisa tukifahamika kama MADISH TECHNOLOGY chini ya Mustapha MaDish.Office yetu ipo Dar es salaam,Magomeni Mapipa karibu na Morogoro rd,mt Idrisa #110.Tuna vifaa vyote vya kazi ikiwemo team ya vijana wenye mshawasha wa kufanyakazi.
  • Kwanini usituite mkoani kwako tuwe mfano?
>  Njoo tukuonyeshe OG ili usijepokea FAKE milele.
> Tupigie +255789476655 ama email yetu ni:mustaphamadish@gmail.com
Share:

Jun 4, 2017

CHANGAMKIA NAFASI ZA KAZI MKOANI KWAKO


MADISH TECHNOLOGY INAHITAJI VIJANA ( sales ) WACHAPA KAZI WAPATAO 16 KWA MIKOA IFATAYO:-
  • Arusha
  • Dar es salaam
  • Dodoma 
  • Mbeya
  • Morogoro
  • Mwanza
  • Tanga
  • Zanzibar
Wenye sifa zifatazo:-
  1. Uwe mtanzania
  2. Uwe na umri 23 - 30
  3. Uweze kuandika na kuongea vizuri kiswahili na English
  4. Uwe na Elimu kuanzia Diploma na Computer
  5. Uwe mwenyeji wa mkoa uliopo
  6. Uwe tayari kusafiri inapohitajika
  7. Uwe mchapakazi mwenye kuweza kufanyakazi bila kusimamiwa
  8. Uwe na wadhamini wawili
Tuma CV kwenye email: mustaphamadish@gmail.com
NB:Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 25/06/2017

Kwa maelezo zaidi piga +255789476655
Share:

HIDEN CAMERA

Hapa tunazungumzia ule mfumo wa CCTV CAMERAS ni katika kuhakikisha ulinzi wa mali yako ama eneo unalomiliki lipo salama kama si chini ya uangalizi wako muda wote,pasi kudanganywa wala kupitwa!
HIDEN CAMERA ni camera ambayo mara nyingi inakuwa ni ndogo na hata ukaaji wake ni wa kujificha ni ngumu kuiona..


Zipo Hiden Camera zinachukua picha na sauti.

MIRROR HIDEN CAMERA
Unaweza ukadhani ni kioo tu,kwakuwa muonekano wake upo hivyo lakini ni camera!

Hiden Camera unaweza ukachanganya na Camera za kawaida katika DVR moja,mfano DVR inapokea camera 4 unaweza ukafunga camera 3 za kawaida na 1 ni Hiden.



Kwa Mahitaji ya CCTV CAMERAS INSTALLATION | MAFUNDI | VIFAA | USHAURI
                                         Tupigie MaDish Technology +255789476655 
Share:

May 31, 2017

UFUNDI UNAHITAJI UMAKINI

Kwanza ukishakuwa Fundi moja kwa moja unaaminika kwa taaluma uliyonayo hivyo mteja ama jamii kwa ujumla wanajikuta wanaona unachofanya ama kusema ndicho sahihi kutokana na wadhifa wako hata kama ni cha uongo… Binafsi niwape angalizo wateja na mafundi kiujumla kwanza nianze na Wateja

Wateja – Nichukue nafasi hii kuwapongeza na kuwashukuru wale wote wanaoheshimu na kuthamini uwepo wa Mafundi . Pia nichukue nafasi hii kuwapa angalizo wale wateja wote wenye Dharau kwa kuona Mafundi si chochote ama kudharau kile tufanyacho,Mfano mteja anahitaji fundi mnazungumza habari za gharama na mnakubaliana,fundi anafika kwako na anafanyakazi yake kwa muda mchache anamaliza kutengeneza..Mteja kwenye malipo unataka upunguziwe kwakuwa kazi yenyewe ndogo tu ,hii ndo dharau nisiyoipenda hata kuisikia.. sasa kama kazi ni ndogo tu kwanini hukufanya mwenyewe!? Hivi hujui kwanini imekuwa kazi ndogo tu!? Kwakuwa ni Fundi ( Ufundi ni taaluma ) si kila mtu ana taaluma na ndo maana ukahitaji Fundi.. Hivyo tumia lugha nyengine katika kutafuta unafuu wa malipo lakini si kudharau kazi za watu. Mpe uhuru fundi afanye kazi yake si kumbana hata anakosa kuwa comfortable maana fundi akiamua kukufanyia uhuni hata ukienda nae mguu kwa mguu ana nafasi 99% ya kukufanyia uhuni.

Mafundi – Lazima ujielewe kama si kuelewa thamani yako,ujue uwezo wako pia maana kuwa Fundi si kigezo cha kujua kila kitu ingawaje wapo mafundi kwa taaluma yake anajua kila kinachomuhusu.. hii maana yake kama umekutana na Technical issue ambayo kwako ni ngeni omba msaada kwa mafundi waliokuzidi ama ukikosa msaada mwambie mteja wako ukweli kwamba hilo tatizo huwezi kulisolve.. Kamwe usiseme uongo ili tu upate pesa.. Hakikisha unakuwa makini katika kazi yako,akili yako uiweke kwenye kazi uifanyayo wakati wa kazi ili isitokee ukafanya usahaulifu wowote maana utakuwa ni uzembe na matokeo yake itakucost ila zaidi itamcost mteja wako… mfano hii picha hapa chini


Kosa dogo alilofanya limesababisha huu mkono wa dish la DStv kuliwa na kutu kwakuwa hakuweka kifuniko ambacho kinazuia maji kuingia ndani ya mkono huu wa kushika Lnb..

 hili ni kosa dogo kimtazamo ila kiufundi ni kosa kubwa sana linaweza likawa limefanywa na fundi kwa bahati mbaya ama kwa makusudi kwa kudharau vile vifuniko vya kufunikia hii mikono.. Amedril vizuri na amefunga cable vizuri lakini kilichomshusha vyeo kuonekana ni fundi kalipua ni kosa moja tu…


Tuna Mafundi wataalamu wa kufunga

  •   Azam TV
  •   DStv
  •   Zuku Tv
  •   StarTimes
  •   Continental
  •   Ting
  •   Flat Screen
  •   Projector
  •   CCTV Cameras

Waliobobea kufunga kwenye:


  •       Hotel
  •       Apartment
  •       Bar
  •       Restaurant
  •       Office
  •     Majumbani

 Tunapatikana Dar es salaam, Magomeni Mapipa.. isipokuwa mkoa wowote Tanzania tunakuja.. inategemea unataka huduma gani toka kwetu!


Piga +255678476655
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita