Call / WhatsApp +255673378129

Aug 29, 2017

DSTV YASHUSHA BEI ZAIDI | VIFURUSHI 2018


Habari njema kwa wadau wa kabumbu na wateja wote wa DStv kiujumla! Hii ni bei ilianza tarehe 1 mwezi wa 9 mwaka 2017 bei ambayo ni kama ifatavyo kwa Vifurushi vyote vya DStv:-
1.Premium kutoka 184000 mpaka 169000/= tu!
2.Compact Plus kutoka 122500/= mpaka 109000/= tu!
3.Compact kutoka 82,500/= mpaka 69,000/= tu!
4. Family kutoka 42,900/= mpaka 39,000/= tu!
5.Bomba kutoka 19,975/= mpaka 19,000/= tu!
Kwa Maelezo zaidi +255789476655
Whatsapp +255784378129
Share:

UZIO WA UMEME KWA ULINZI


Tukikuhudumia unapata faida gani!?
  • Jengo na mali zako kiujumla kuwa salama
  • Bei nafuu ambayo mtanzania ni rahisi kuimudu
  • Tunakupa ushauri kabla ya kukuuzia huduma 
  • Tunafanya kazi ndani ya muda
  • Miezi 12 ( mwaka mmoja ) unapata repairing bure
  • Tunapita kufanya check up kila baada ya miezi mitatu
  • Tupo karibu na wewe saa 24.
  • Ni rahisi kutufikia
Tupigie kwa namba +255789476655 ama Whatsapp+255784378129
Tupo Dar es salaam
Popote Tanzania tunafika!
Share:

Aug 26, 2017

KWANINI USILIPIE MAPEMA | KING'AMUZI CHAKO!?


Nimejaribu kufatilia kwa ukaribu sana utaratibu wa kufanya malipo ya king'amuzi kati ya watumiaji wageni nikimaanisha wenzetu rangi nyeupe na sisi ngozi nyeusi ijapokuwa si wote isipokuwa wengi wetu tuna utaratibu mmbovu sana wa kufanya malipo ya ving'amuzi tunavyotumia...!!
Mfano ukute mzungu/ama muhindi utaratibu wake wa kulipia, mfano amelipia king'amuzi anachotumia tarehe 10 mwezi wa 11, atalipia tena siku mbili ama tatu nyuma kwa mwezi unaofata, anaweza akalipia terehe 7 ama 8 ama 9 mwezi wa 12 ambapo hukuti anapata usumbufu kuhusu malipo na uzuri zaidi ving'amuzi karibu vyote vina utaratibu wa kukutumia ujumbe tena kwenye king'amuzi chako ya kwamba kifurushi chako karibu kinaisha hivyo ufanye malipo mapema!
Wengi wetu sie kina ngozi nyeusi kama nimelipia tarehe 10 mwezi wa 11, sitafanya malipo mpaka kifurushi kitakapokata kabisa matokeo yake unatokea usumbufu wa hali ya juu.. wakati mwengine inaweza ikawa kipato hilo ni sawa siwezi lipinga ila hupaswi kungoja mpaka siku ya mpira ndipo ufanye malipo kwa maana mara zote siku za mipira sio Azam sio DStv huwa system zao zina elemewa na matokeo yake unapata maudhi usiyoyategema ambapo ungelipia siku moja ama mbili kabla ya mpira unaotaka kuangalia usingepata usumbufu hata kidogo!
Tujitahidi kubadilika wadau wa ulimwengu huu wa Digital tv... Kwa hili naomba niwe mkweli  ikiwa utalipia siku ya mpira na ukatafuta msaada umekosa hata mimi na managment yangu hatutakuwa na msaada ila kama utalipia siku 2 ama 1 kabla ya mpira msaada utaupata toka kwetu kwa king'amuzi chochote kile.
Kwa maelezo zaidi.....
 +255789476655 
Whatsapp+255784378129
Share:

Aug 25, 2017

KIFURUSHI CHA AZAM LITE | AZAM LITE PACKAGE | TSH 10,000

Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha azam lite:-
Kuna zaidi ya channel 55
 Kwa wiki ni Tsh 3,000/= na kwa mwezi ni Tsh 10,000/=

  • Universal TV
  • BBS TV
  • Royal TV Rwanda
  • Clouds TV Rwanda
  • Salam TV
  • Magic One
  • Channel 44
  • ASTV (Africa Swahili TV)
  • Boing
  • Africa News
  • Spark TV
  • TV - E
  • Salt TV
  • AMC Series
  • Romanza Africa
  • Zodiak TV
  • Times TV
  • KASS TV
  • ABS TV
  • DELTA TV
  • Jeem TV
  • MBC Plus Power
  • RAI Italia
  • Malawi National TV
  • KBC
  • Star TV
  • Azam Two
  • Azam One
  • KTN
  • K24
  • Bukedde TV 2
  • TV West
  • NBS TV
  • Urban TV
  • UBC
  • Citizen TV
  • EATV
  • ZBC 2
  • African Movie Channel
  • MBC 3
  • Manchester United TV
  • Real Madrid TV
  • Al Jazeera English
  • Fix & Foxi
  • Colors
  • MBC Bollywood
  • MTV India
  • ITV
  • Clouds TV
  • ZBC
  • Chanel 10
  • TBC1
  • Sinema Zetu

JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI Bofya Hapa
KWA HUDUMA | USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU AZAM TV | +255 789 476 655 Whatsapp+255784378129
Share:

Aug 19, 2017

TUPE RUKSA YA KUZILINDA MALI ZAKO!

Moja kati ya Hiden Camera ambazo hazionekani, hii ni kwenye Office.
Tuna njia mbili za kuomba ruksa yako tuzilinde ama tuzifanye mali zako kuwa salama muda wote, ama kukufanya kana kwamba upo eneo la tukio hali ya kuwa pengine upo ne ya nchi lakini bado ukiendelea kuona kila kinachoendelea iwe nyumbani, Ofisini, ama eneo lako lolote ambalo ungependa tukusaidie kulipa ulinzi..
Tuna njia ya kwanza ya CCTV CAMERAS SYSTEM INSTALLATION.
  • CCTV Cameras system installation inakupa uwezo wa kushuhudia kwa macho pasi kuambiwa na mtu kile kinachoendelea pale ambapo unahitaji kufungiwa hizo camera! Camera zipo zenye kuonekana ili anayetaka kufanya tukio aone kabisa anachotaka kukifanya kinaonekana ama pia zipo ambazo hazionekani kwa maana hizi ni ngumu kwa mtu kuona kama eneo hilo kuna camera zinazomuona! Pia zipo camera zenye uwezo wa kuchua na sauti na zipo zisizo na uwezo huo na la kuongezea zaidi kuna zile HD ambazo mtu ama kitu unakiona katika muonekano wa HD..
  • ELECTRIC FENCE INSTALLATION hii ni njia nyengine nzuri kwa kukomesha wezi! Mara nyingi inakuwa tunafanya kwenye uzio, yaweza kuwa wa nyumbani, yard, hotel, n.k

Tunapatikana Dar es salaam, ingawaje ulipo wewe Tanzania ukituhitaji kukufikia ndio wajibu wetu na zisikutishe gharama unafuu wa gharama zetu ni moja kati ya huduma zetu bora kwako ambazo haitatokea wa kuzishindwa ikiwa tu upo tayari kupata huduma zetu!  
Kwa maelezo zaidi chukua simu yako kisha tupigie!
+255789476655
Whatsapp+255784378129
Share:

Aug 9, 2017

KUPATA CHANNELS ZA BURE KWENYE HOTEL/LODGE

 Ili uweze kupata channels za Local ( Tanzania ) kwa kupata habari na vipindi vya nyumbani bila kufanya malipo ya mwezi,hapo hapo kila tv ikijitegemea yenyewe bila kuingiliana na nyengine kwa kila chumba,huku idadi ikiwa kuanzia channel sita ( 6 ) na kuendelea,unapaswa kufanya yafatayo:-


Unapaswa upate vifaa
  • Dish kubwa ya c band
  • LNB ya single solution
  • Receiver kwa idadi ya channels utakazo
  • Cable
  • F connectors
  • Multiswitch
  • Televes
  • Splitter
  • RF connector
  • N.k
 Upate Mafundi wanaojua kazi. #FundiMakini.

Mfumo huu utakuwezesha kuona Channel bila kufanya malipo ya kila mwezi,gharama yako ni mara moja tu kwenye Installation!
Moja ya kazi zetu safi 'King D Hotel'


Kwa maelezo zaidi na kupata mafundi,ushauri na vifaa
Whatsapp+255784378129
Piga +255789476655
Insta @mustaphamadish


Share:

Aug 1, 2017

GHARAMA ZA KUFUNGA CCTV CAMERAS | CCTV CAMERAS INSTALLATION COSTS


Watanzania wengi wanadhani ya kuwa kufunga moja ya mfumo wa ulinzi nyumbani/ofisini ama popote ambapo ungehitaji ni gharama kuubwa na wale kina wenzangu na mie hawawezi kumudu.. hii sio kweli kabisa.. Kila kitu kipo cha bei ya juu na bei ya chini pia huku ubora ukawa unatofautiana kidogo na vyote ni OG.. mfano Camera HD bei ni tofauti na Camera ya kwaida, Hiden Camera pia ni bei tofauti ingawaje zote unaweza kumuona mtu atakayepita mbele ya Camera hiyo vizuri.. DVR pia zipo HD na ambazo sio HD, zipo zenye uwezo wa kuunganisha kwenye simu ya mkononi na ambazo hazina uwezo huo, hii ni kama kwenye Camera bei huwa tofauti, ila hapa kwenye DVR bei hupungua ama huzidi kutokana na je unahitaji zenye kubeba Camera ngapi!? ila kwa nyumba ama ofisi ndogo ya njia nne inatosha kabisa kwakuwa utaweka sehemu muhimu..
Unahitaji Kununua | Kufungiwa | Ushauri
Yote kuhusu CCTV Cameras
+255789476655
Whatsapp +255784378129
madishtechnologytz@gmail.com
Share:

Jul 26, 2017

STARTIMES INSTALLATION IN TANZANIA

StarTimes full Installation wherever you're in Tanzania call us +255789476655
  • Installation in Hotel
  • Installation in Office
  • Installation in Apartment
  • Installation wherever you want
  • Technical Issue
  • Months Payments
  • All about StarTimes services in general
Whatsapp+255784378129

Share:

ZUKU TV INSTALLATION IN TANZANIA


Zuku tv full Installation wherever you're in Tanzania call us +255789476655
  • Installation in Hotel
  • Installation in Office
  • Installation in Apartment
  • Installation wherever you want
  • Technical Issue
  • Months Payments
  • All about Zuku tv services in general  Whatsapp+255784378129
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita