"Kwenye Kisimbuzi ( King'amuzi ) kinachotumia Dish kufunika lnb kwa
KOPO hakusaidii chochote katika kufanya Kisimbuzi chako kisisumbue
wakati wa MVUA..."
Tukirejea nyuma kidogo hata waliotengeneza SET ya dish waliangalia kama maisha ya dish ni ya kukutana na mvua na jua,hivyo wakatengeneza katika kuhimili hali zote mbili bila kushauri ama kuengeneza makopo ili yaweze kufunika lnb..
Tukirejea nyuma kidogo hata waliotengeneza SET ya dish waliangalia kama maisha ya dish ni ya kukutana na mvua na jua,hivyo wakatengeneza katika kuhimili hali zote mbili bila kushauri ama kuengeneza makopo ili yaweze kufunika lnb..
Binafsi lawama zangu kwa mafundi, kwa kuacha kutumia plastic cover ya lnb ambayo inasaidia kufunika coaxial cable inapofungwa kwenye lnb ili maji yasiweze kuingia kwenye lnb/cable na kusababisha short n.k.
Kupata ushauri na mambo yote yanayohusu Visimbuzi tukutane Insta
@mustaphamadish Kupata MAFUNDI WA KUFUNGA VISIMBUZI/MADISH aina zote kwenye GUEST, LODGE, HOTEL, APARTMENT, OFFICE na MAJUMBANI kwa usafi na ubunifu wa hali ya juu, wasiliana nasi!
BAADHI YA SEHEMU TULIZOFUNGA NI:-
@mustaphamadish Kupata MAFUNDI WA KUFUNGA VISIMBUZI/MADISH aina zote kwenye GUEST, LODGE, HOTEL, APARTMENT, OFFICE na MAJUMBANI kwa usafi na ubunifu wa hali ya juu, wasiliana nasi!
BAADHI YA SEHEMU TULIZOFUNGA NI:-
- KING D HOTEL
- TRANSIT MOTEL
- JB BELMONT HOTEL
- BONDENI HOTEL
- TUCTA HQ
- PSPF HQ
- IKULU - OFFICE YA WAZIRI MKUU
- JAMII FORUM OFFICE - Ilipokuwa sinza
- CRDB BANK - mlimani city, Lumumba, Mikocheni n.k
- DTB BANK - HQ n Magomeni branch
bei nafuu na ubora ni zaidi ya wengine.
MAWASILIANO:-
Call/ Text 0789476655
Whatsapp +255784378129
Call/ Text 0789476655
Whatsapp +255784378129
Instagram @mustaphamadish