Call / WhatsApp +255673378129

Dec 5, 2012

FLAT SCREEN INAZIDI FANYA VIZURI!

 NISHAFANYA YANGU
Kiukweli ntaona ajabu sana kama unataka kununua TV na ukaenda kununua zile analogue badala ya flat screen kitu cha bapa!
Naanza kuzisahau TV za chogo maana kile niendapo nakutana na flat,jambo zuri na kupendeza maana hata ufungaji wake tv inakuwa self.
Ilikuwa ni kwenye Office moja hivi,nilifunga dish ya DSTV then nikafunga flat zipatazo mbili baada ya hapo wapi kilicho changu na kuchapa mwendo nikiwaacha watu wakicheka cheka tuu na office yao!!

YA KUPENDEZA
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita