Call / WhatsApp +255673378129

Dec 26, 2016

TUNAAGA 2016 | KWA KUJITUMA ZAIDI


Mafanikio hayana njia ya mkato,ukipata kauli za wengi wa liofanikiwa watakwambia njia walipitia na kamwe hakuna njia ya mkato.. nimejifunza kutokutamani mafanikio ya mtu bila kuwa tayari kupitia hatua za kufikia mafaniko..
Mafanikio yanahitaji:-
  • Kupenda unachofanya
  • Kukijua ama jifunze zaidi ili ukijue
  • Kuheshimu na kukitetea unachofanya
  • Kujitoa
  • Kujituma
  • Juhudi binafsi
  • Kujiongeza ( kuwa mbunifu )
  • Kuwa na heshima na Pesa
  • Kutokuwa mnyimi  ama mbinafsi 
  • Na mengineyo...
Nipo kwenye ukanda huu yapata mwaka wa nane sasa nina uzoefu wa kutosha kuhusu makampuni yote ya ving'amuzi Tanzania na watumiaji wake pia ile kiundani zaidi..
Najua nimesaidia wengi ndani na nje ya Tanzania,nimetengeneza BASE kubwa mno mpaka binafsi kama siamini hivii ila hii yote kutokana na Kupenda nilichamua kufanya n nashukuru Alhamdullah!
Mwaka unaishi na tunategemea kuingia mwaka mpya 2017
mimi na team yangu ile mikono salama #FundiMakini tunakuletea kitu kizuri sana kwenye ulimwengu wa Digital Tv... Kubwa tunashukuru kwa uwepo wenu na kutupa moyo zaidi ya yote tunawaahidi kuwaletea vitu vizuri zaidi ili kila mmoja wenu ahufurahie ulimwengu wa Digita Tv!
+255 789476655
Share:

Dec 2, 2016

TV E TANZANIA | KWENYE KING'AMUZI CHAKO



Siku zote ili ufanye vizuri ni lazima upate mpinzani na ndicho kinachotokea hapa..
Historia inaonyesha Clouds Fm ilifanikiwa kuzipoteza radio ambazo alizikuta katika swala la burudani na kupelekea kuunyanyua kwa kiasi kikubwa music wa Bongo Flavour,mpaka ikafikia hatua hata kwa wasanii wa music huo ukienda kinyume na matakwa ya uongozi wa radio hiyo kinachotokea ni kupotea katika game ya Bongo Flavour hapo hapo bado kuna malalamiko mengi ya kwamba kuna unyonyaji!
E - Fm radio,ndio radio pekee inayoonekana imekuja kuleta upinzania mkubwa kwa radio Clouds Fm katika swala zima la burudani.. E - Fm radio wamefanikiwa kuufanya music wa Singeli kuwa biashara.. ukiacha hilo kwa mtazamo wa haraka haraka tu ni kwamba mmiliki wa E - Fm anakijua sana anachokifanya kwakuwa yupo kwenye ukanda huo muda mrefu hivyo alichoangalia udhaifu wa wengine nae akaongeza ubunifu na ndicho kinachompa na kitakachompa mafaniko zaidi..
E - Fm imepelekea kuzalisha TvE - Tanzania ni hatua nzuri sana na ya kupongeza mno..
TvE - Tanzania inapatikana kwenye ving'amuzi vifatavyo kwa sasa:-
  • Azam Tv - channel namba 115
  • DStv - channel namba 295
  • StarTimes channel namba 115
Binafsi nawatakia kila la heri katika kuboresha ili kutuongezea machaguo wapi tuangalie ama kusikiza
+255789476655
Share:

Dec 1, 2016

KING'AMUZI NI NINI..??

Swali ambalo pengine hata wewe unajiuliza!
King'amuzi ni nini!?
- King;amuzi ni kifaa kinachotumika kupokea matangazo yanayorushwa kwa mfumo wa Digital ili yaonekane na kusikika hata kwenye tv za Analogue

Zingatia:Kuna king'amuzi kinachotumia Antenna na King'amuzi kinachotumia Dish.
*Kuna aina mbili za Ving'amuzi
> King'amuzi cha kulipia ( Decoder )
> King'amuzi cha bure ( Receiver )
  1- King'amuzi cha kulipia ni vile ving'amuzi ambavyo ili uweze kuona channel ni lazima ufanye malizo kwa lugha nyepesi ni vile ving'amuzi vyote ambavyo vinamilikiwa na kampuni maalum,mara nyingi hutumia smart card na ikiwa havina smart card vina software maalum inayopelekea channel kuwa na ulinzi maalum kwa kutomruhusu mtu kutumia bila malipo vinginevyo upite uchakachuaji!
Mfano wa Ving'amuzi vya kulipia
> Azam tv
> DStv
> Continental
> StarTimes
> Zuku tv

2 - King'amuzi cha bure ni vile  ambavyo unaweza ukaona channel bila kufanya malipo ya mwezi ( FTA )!
King'amuzi hiki kinapokea zile channel za bure tu kwakuwa kwa upande wa Satellite kuna channel za bure nyingi sana ni namna utakavyopata size ya dish na Satellite husika!

Facebook@MustaphaMaDish
Instagram@MustaphaMaDish
Cell:+255789476655

Share:

Nov 18, 2016

MGAHAWA WA CITY SQUARE | POSTA | #FundiMakini

Javio Felix moja kati ya Ile team Mustapha MaDish vile vichwa vichache ninavyoviaminia...
hofu ilinitoka baada ya kumpa safari moja ya kikazi Zanzibar na kurejea akiwa na mrejesho mzuri tu huku akiwa anacheka cheka mpaka jino la mwisho sijui alikaribishwa na urojoo!!
Ingawaje kwa hii ilikuwa changamoto kwake ingawaje mwisho ulikuwa mzuri na alichoondoka nacho hakitampa changamoto tena maana yake kaiva,katika mambo ya mabei bei!!
Kila leo na team yangu tunapiga hatua 1 mbele kutokana na ukweli kwamba huwezi kunyooka ama kumnyoosha mtu kwa siku moja hivyo kinachotokea kila siku mimi na team yangu tunakuwa wabora zaidi!
Tunachoenda kukifanya si kupata wateja wengi zaidi tu la hata wadau na mafundi kwa ujumla wajifunze kupitia sisi nini tunafanya ili nao wafanye kwa wengine!
Tupo ulimwengu wa Digital kwanini tutoe huduma kianalogue!!??
Tunataka uelewe kwanza kabla hujanunua king'amuzi ama hujapata huduma zetu
Hivyo tuulize ili tukueleweshe!
Javio MaDish

#FundiMakini

#Mikonosalama










#Baba Fetty












Share:

Oct 30, 2016

FLAT SCREEN INSTALLATION #FundiMakini








 

















Baadhi ya ile team #FundiMakini mikono salama ya Mustapha MaDish na TeamKazi ikiwa inafanya Installation ya Flat Screen sehemu tofauti tofauti!
Si kila mtu anaweza kufanya tunachofanya!
Je unahitaji hii team ukuhudumie zaidi ya hivi?
Piga +255789476655



Share:

MAANDALIZI YA SIGNAL QUALITY #FundiMakini





Kitu kizuri kwenye ulimwengu wa Digital Tv hususani kwa Tanzania kinakuja.. Lengo ni kusaidia watanzania wote kwa ukaribu zaidi kuhusu ulimwengu wa Ving'amuzi.. Kuna udhaifu mkubwa katika kutoa habari,msaada,ushauri nk. kwa jamii kuhusu ulimwengu wa Digital Tv.. Hii imepelekea kuwe na taarifa zisizo rasmi na kuendelea kuongopeana kila kukicha ama taarifa zinatoka kibiashara,unashawishiwa ili ununue king'amuzi fulani.. Mustapha MaDish na Team yangu lengo letu kuu ni kuhakikisha unaujua na unaufurahia ulimwengu wa Digital Tv...
Nini kipya kinakuja endelea kufatana nami/nasi....
Tunakukaribisha uungane nasi iwe una Maoni au Ushauri
+255789476655
Share:

Oct 28, 2016

OFFER YA X MASS | ZUKU TV 2016

Kuelekea kumaliza mwaka Zuku inakuja na Offer hii kwenye msimu huu wa sikukuu ya x mass na mwaka mpya !!
Tsh 88,000/= Kununua Badala ya Tsh 95,000/=
Hii unapata Vifaa vyote ( Dish,Decoder,Lnb na Cable )
Ndani yake unapata kifurshi cha Smart Pack kwa miezi mitatu buree!!
Hii ni bila ya Ufundi!
Ufundi ni Tsh 30,000/=
Jumla inakuwa ni Tsh 118,000/=

Ukiachilia OFFER hii kwa wateja wapya pia kuna punguzo la bei kwa Vifurushi karibu vyote ili kuendana na mfuko wako na ili kujua Vifurushi vilivyopo na bei mpya!
Bofya Hapa

Kupata Mafundi wa Zuku/Msaada Kiufundi Bofya Hapa
 Kununua Kinga'amuzi cha Zuku Bofya Hapa

Kwa Maelezo zaidi +255789476655 Muda 08;30 - 18:00 Kila siku.
Share:

Oct 25, 2016

MAFUNDI WA VING'AMUZI TANZANIA


Mafundi wa uhakika wa king'amuzi chako unachotumia limekuwa tatizo kubwa hasa kwa baadhi ya maeneo,hii imepelekea baadhi ya wateja kuona yakwamba king'amuzi anachotumia ni tatizo kwakuwa hakupata Fundi makini ambaye angeweza kumfungia ama kumrekebishia ipasavyo.. Matokeo yake picha kuganda ganda ama kupotea ni jambo la kawaida sana..
Fundi Makini anapaswa kuwa na vifaa vilivyo kamilika ukiachilia spana zote muhimu pia anapaswa kuwa na Drill machine kwa ajili ya kutombolea na kingine anapaswa kuwa na kifaa cha kutafutia Signal ambacho kinaitwa Signal Finder!!
Fundi Makini akikufungia ama kukurekebishia atakupa uhakika wa miezi mitatu,maana yake ndani ya miezi mitatu baada ya kukitibu king'amuzi chako kikisumbua atakuja na kukurekebishia bure pasipo malizo yeyote!
Fundi Makini ni mwepesi kuja pale unapomuhitaji,tofauti na akina Fundi Kalipua ambao huwa ni ngumu sana kurudi ambapo ameshafanya kazi chafu!
Unatumia King'amuzi gani!!??
Kutana na Fundi wako hapo chini:-
Msaada zaidi wasiliana nasi:- Call  0784378129
                                                  Whatsapp / Call 0658046655
Share:

Oct 24, 2016

MAFUNDI WA AZAM TV

 Azam tv iliyofungwa na fundi kalipua ndo hiyo ya kwanza hapo na Azam tv inafungwa na Fundi makini ndo hiyo hapo inamaliziwa na mikono salama ya Chidy kuelekea Signal Quality Tv!
Kupata Moja ya Mafundi Makini wa Azam Tv Piga +255789476655
Achana na akina Fundi kalipua sehemu ya kudril wao wanapiga misumari,matokeo yake Signal inakuwa haina uhai ukija upepo picha inakatakata!
Ukifungiwa na sisi utapata miezi mitatu bure baada ya kufungiwa kama itasumbua utarekebishiwa pasipo kutoa gharama yeyote!

Mapicha Picha Imo!!

MusTapha MaDish
Share:

Oct 9, 2016

MAFUNDI WA STARTIMES

Wewe ni mteja wa Zuku tv!?
Una tatizo la kiufundi ama unahitaji Ushauri wa kiufundi?
Kupata mawasiliano ya Mafundi wa uhakika..
 Je unataka kujiunga na Zuku Tv?
Unataka kupata Mafundi wa uhakika na wazoefu?
Piga +255789476655
Ukifungiwa nasi:-

  • Unapata miezi mitatu bure baada ya kufungiwa kama itasumbua
  • Unapata ushauri wa kiufundi kabla hujahudumiwa
  • Unapata Fundi Makini na mwenye vifaa vyote muhimu
   Ziada kutoka kwetu:-
Share:

Oct 6, 2016

JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI ZUKU TV

Wateja wengi wa Zuku tv wanakumbwa na kadhia hii,kutokujua utaratibu kwa kutaka kuhama kutoka kifurushi kimoja kwenda kingine hivyo kwa post hii utaelewa vema jinsi ya kuhama kifurushi!
Kwanza vijue Vifurushi vya Zuku tv kwa Kubofya Hapa
Ikitokea umelipia kifurushi cha Zuku Smart Pack Tsh 8,999 na mwezi umeshaisha unataka kulipia kifurushi cha Zuku Classic Tsh 18,000 unaweza kufanya hivyo kwa kufata utaratibi huu:-
 Lipia kwanza Tsh 18,000 kisha chukua simu yako piga namba +255768984200 atakayepokea mwambie umelipia Tsh 18,000 kwa lengo la kutaka kuhama kifurushi hivyo akuhamishe.
Zoezi hili uhakikishe king'amuzi chako umekiwasha kisha ndipo unafanya zoezi hili na inachukua dk 5 mpaka 30 kubadilik!
Kwa uchache huu nadhani nimekusaidia kitu!
+255789476655
Share:

Oct 1, 2016

MSIMU WA OFFER 2016 | VING'AMUZI TANZANIA

 

Tunaelekea kumaliza mwaka 2016 na kutokana na ushindani uliopo katika ukanda wa Digital tv,makampuni ya Ving'amuzi yanajitahidi kutafuta namna ya kushawishi wateja wapya na kujiunga na ving'amuzi vyao huku wakiwafanya wateja walionao kutowapoteza kwa kuboresha huduma zao na kutoa OFFER!!
Vijue Ving'amuzi vilivyo na OFFER na Offer zao kwasasa:-
  1. Azam Tv
  2. DStv
  3. StarTimes
  4. Zuku Tv
Kwa msaada kiufundi na maelezo zaidi kuhusu King'amuzi chako piga:-
+255789476655 Kuanzia saa 08:30 - 18:00 Kila siku.
Share:

Sep 28, 2016

DSTV YASHUSHA BEI ZA VIFURUSHI 1 Nov 2016!!


Hii itakuwa ni habari nzuri kwa wateja wa DStv wapya na wale wa zamani Kwa kampuni ya Multichoice Tanzania kulifanya hili lililokuwa linawaumiza wengi kama sio kuwakimbiza!
Kuanzia terhe 1/11/2016 bei ya Vifurushi vya DStv itashuka na kuwa kama ifatavyo:-
DStv Premium Package Ni Tsh 219,000
Bei mpya itakuwa ni Tsh 184,000
Bofya Hapa Kujua channel zilizopo na bei mpya 2017

DStv Compact Plus Package Ni Tsh 147,000
Bei mpya itakuwa ni Tsh 122,500 
Bofya Hapa Kujua channel zilizopo na bei mpya 2017

DStv Compact Package Ni Tsh 84,500
Bei mpya itakuwa ni Tsh 82,250
Bofya Hapa Kujua channel zilizopo na bei mpya 2017

DStv Family Package Ni Tsh 51,000
Bei mpya itakuwa ni Tsh 42,900
Bofya Hapa Kujua channel zilizopo na bei mpya 2017

DStv Bomba Package Ni Tsh 23,500
Bei mpya itakuwa ni Tsh 19,950
Bofya Hapa Kujua channel zilizopo na bei mpya 2017

Kupata msaada kiufundi na Mafundi wa DStv Bofya Hapa
Kujua OFFER ya DStv Bofya Hapa
Kununua DStv Bofya Hapa
Jinsi ya kuhama Kifurushi Bofya Hapa
Kwa Maelezo zaidi
+255789476655
 
Share:

Sep 25, 2016

OFFER YA AZAM TV 2016

Lipia kifurushi cha Azam Play Tsh 28,000/= kwa miezi 12 ( Mwaka mmoja ) ambapo ni Tsh , utapata Vifaa na Kufungiwa bureee!!!
Hii itakufanya uokoe Tsh 165,000/=
Offer hii iawahusu wateja wapya tu!
Kujua vifurushi na channels zilizopo kwenye Azam Tv Bofya Hapa
Kupata mafundi wa Azam TV Bofya Hapa 
Kununua King'amuzi cha Azam Tv Bofya Hapa
Kwa maelezo zaidi +255789476655
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita