Call / WhatsApp +255755949413

18‏/05‏/2018

ANGALIA KOMBE LA DUNIA KWA TSH 19,000 TU!

 
Hapa nazungumzia michuano ya kombe la dunia 2018 itakalofanyika urusi zaidi ya timu 30 kushiriki michuano hii..
Michuano hii inahusisha dunia hivyo wapenzi wa mpira duniani imeelekeza macho na masikikio kwenye michuano hii... Hapa kwa Tanzania kuna habari njema kutoka kwa wakongwe wa Digital, hapa nazungumzia Multichoice kupitia product yake ya DStv inakuletea michuano hii moja kwa moja toka urusi kwa kifurushi cha chini kabisa ambapo utalipia tsh 19,000 tu! licha ya kuangalia michuano ya kombe la dunia pia utaona channels nyengine zaidi ya 80 zikiwemo wa burudani, movie, watoto, michezo, makala, habari n.k
Umerahisishiwa ili uweze kupata unachostahili:-
Piga simu +255789476655 au Whatsapp+255784378129
DStv vifaa Tsh 79,000
Kufungiwa Tsh 20,000
Kama upo dar unaletewa popote ulipo bila kulipia zaidi!
Yote yanayohusu DStv namba za kupiga ni hizo hapo juu!!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




يتم التشغيل بواسطة Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

الاسم

بريد إلكتروني *

رسالة *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita