02/05/2023
MAKOSA KATIKA UFUNGWAJI WA DISH
23/01/2023
MAFUNDI WA DSTV TANZANIA
Kumekuwa na wingi wa mafundi wa kufunga madishi, ni vizuri kutokana na fursa iliyopo, wingi wa visimbuzi na watumiaji pia! Tatizo ni kupata mafundi wazuri, mafundi ambao wataweza kukufungia ama kufanya repair dish yako na ukafurahia huduma!
Mafundi wa kufunga visimbuzi vya DStv kwa Tanzania nzima:-
- Umenunua mpya unahitaji kufungiwa
- Umehama jengo unataka kufungiwa
- Inasumbua unataka kufanyiwa repair
- Unataka kufungiwa kwenye Office katika mfumo wa office
- Unataka kufungiwa kwenye Sports bar kwenye mfumo wa HD
- Unataka kufungiwa kwenye Hotel, Lodge n.k kwenye mfumo ambao kila room atajibadilishia channels mwenyewe akiwa room.
- Unataka kufungiwa kwenye Apartment ambapo kila mpangaji atakuwa anaingia na kisimbuzi chake tu
Tuna uzoefu wa zaidi ya miaka 10, tunakusikiliza kisha tunakuhudumia kutokana na mfuko wako kwa kuzingatia ubora!
Tanzania nzima tunafika kutegemea na kazi utakayotupatia!
WhatsApp +255755949413
01/01/2023
MAFUNDI WA AZAM TV TANZANIA
Kumekuwa na wingi wa mafundi wa kufunga madishi, ni vizuri kutokana na fursa iliyopo, wingi wa visimbuzi na watumiaji pia! Tatizo ni kupata mafundi wazuri, mafundi ambao wataweza kukufungia ama kufanya repair dish yako na ukafurahia huduma!
Mafundi wa kufunga visimbuzi vya DStv kwa Tanzania nzima:-
- Umenunua mpya unahitaji kufungiwa
- Umehama jengo unataka kufungiwa
- Inasumbua unataka kufanyiwa repair
- Unataka kufungiwa kwenye Office katika mfumo wa office
- Unataka kufungiwa kwenye Sports bar kwenye mfumo wa HD
- Unataka kufungiwa kwenye Hotel, Lodge n.k kwenye mfumo ambao kila room atajibadilishia channels mwenyewe akiwa room.
- Unataka kufungiwa kwenye Apartment ambapo kila mpangaji atakuwa anaingia na kisimbuzi chake tu
Tuna uzoefu wa zaidi ya miaka 10, tunakusikiliza kisha tunakuhudumia kutokana na mfuko wako kwa kuzingatia ubora!
Tanzania nzima tunafika kutegemea na kazi utakayotupatia!
WhatsApp +255755949413
10/10/2022
CODE ZA VISIMBUZI TANZANIA
Kila kisimbuzi kina CODE yake katika kurahisisha mteja kuweza kujihudumia mwenyewe pasipo kuwasiliana na huduma kwa wateja, kutokana na ukweli kwamba kuna huduma nyengine sio lazima upige simu, hivyo tumia CODE hizi kwa kubofya kwenye simu yako kisha itakuletea muongozo ambao utaufata ila sharti la kwanza lazima uwe na account namba ama smartcard namba na pindi unapoona haijawa msaada kwako ndipo upige huduma kwa wateja kwa msaada zaidi..
CODE ya Azamtv *150*50*5#
CODE ya DStv *150*53#
CODE ya Startimes *150*63#
Kwa msaada zaidi
+255755949413 Call/WhatsApp
06/10/2022
CHANNEL GANI UNAITAKA KWENYE TV YAKO!?
TV inaweza ikakufanya uizunguke dunia.. popote utakapotaka kujua yanayojiri unaweza ukayajua ukiwa na remote yako tuu.. maamuzi ni yako..
Tuambie channels gani ama channels za nchi gani unataka kuangalia!?
Tutakwambia inapatikanaje na tutaifungaje!?
Check nasi WhatsApp +255755949413
02/11/2020
SIGNAL QUALITY TZ
Signal quality tz ni kipindi cha tv chenye kuzungumzia visimbuzi na digital tv kiujumla, chenye segment 3 ambapo kimeanza mtandaoni ( Instagram ) kwenye page ya mustaphamadish kuonekana kwa segment 1 tu isiyozi dakika 5 kila wiki! Baadae itahamia kwenye tv.
Mmiliki ni Mustapha Hanya anajulikana kama mustaphamadish, ambaye ni mbobezi wa mambo ya visimbuzi na digital tv kiujumla, kwa mtandaoni ameanza akiwa anafanya kila kitu mwenyewe, nikimaanisha kuandaa, kushoot na kuedit pia na ndio maana ukiangalia epsode01 ni tofauti na epsode15, kwanini alikuwa anaenda kwa kukua tofauti na alivyoanza!
Lengo la kipindi cha signal quality tz ni kuwafanya wadau na watumiaji wote wa visimbuzi kuujua ulimwengu wa visimbuzi na kufurahia pia!
Unapata fursa ya kuuliza chochote unachotaka kujua, kinachokutatiza, ama kupata msaada wa moja kwa moja na kutoa maoni pia!
Signal quality tz inaruka kila wiki kupitia ( Instagram ) mustaphamadish
Siku za usoni signal Quality tz itaruka kwenye tv na itakuwa na segment 3, itakuwa na dakika 30 hii ndio itakuwa package kamili na itasaidia jamii kwa kiasi kikubwa mno!
Chochote unaweza wasiliana na mustaphamadish
WhatsApp +255755949413 | Email: mustaphamadish@gmail.com
28/02/2020
Je LNB ikitoboka ndio imekufa!?
09/06/2018
MKOA GANI UNAIKOSA OFFER YA DSTV!!??
Imekuwa kawaida kwa baadhi ya mikoa kuuza visimbuzi kwa bei juu na huku sababu zikiwa nyingi, hii hapa ni nafasi ya pekee kwakon niambie upo mkoa gani na unauziwa bei gani dstv.
Offer ya DStv ni kama ifatavyo:-
Tsh 79,000 vifaa
Popote dar unaletewa
Unapata na kifurushi cha mwezi
18/05/2018
ANGALIA KOMBE LA DUNIA KWA TSH 19,000 TU!

Hapa nazungumzia michuano ya kombe la dunia 2018 itakalofanyika urusi zaidi ya timu 30 kushiriki michuano hii..
17/04/2018
MAFUNDI WA DSTV
- Satellite Finder ( kwa ajili ya kutafuta signal )
- Drill Machine ( kwa ajili ya kutobolea )
- Spana zote muhimu ( kwa ajili ya kufunga )
- Nyundo
- Unataka mafundi wa kukuhamisha kwenye nyumba mpya unayohamia
- Unataka mafundi huoni picha hata namba 100
- Unahitaji mafundi kwa ajili ya Extra view
- Mafundi kwa ajili ya Explora
- Unahitaji mafundi kwa ajili ya kufunga kwenye
- > Hotel
- > Lodge
- > Bar
- > Office
- > Apartment