Call / WhatsApp +255755949413

02‏/05‏/2023

MAKOSA KATIKA UFUNGWAJI WA DISH


Wingi wa makampuni ya visimbuzi imekuwa fursa kwa vijana wengi kuwa mafundi, ni jambo zuri ila nawasihi mzingatie kujifunza ili kufanya kazi kwa ustadi..
Haya ni baadhi ya makosa ambayo yanafanywa na mafundi wengi wakati wa kufunga kisimbuzi cha dish..
 

Share:

23‏/01‏/2023

MAFUNDI WA DSTV TANZANIA

 Kumekuwa na wingi wa mafundi wa kufunga madishi, ni vizuri kutokana na fursa iliyopo, wingi wa visimbuzi na watumiaji pia! Tatizo ni kupata mafundi wazuri, mafundi ambao wataweza kukufungia ama kufanya repair dish yako na ukafurahia huduma!

Mafundi wa kufunga visimbuzi vya DStv kwa Tanzania nzima:-

  • Umenunua mpya unahitaji kufungiwa
  • Umehama jengo unataka kufungiwa
  • Inasumbua unataka kufanyiwa repair 
  • Unataka kufungiwa kwenye Office katika mfumo wa office
  • Unataka kufungiwa kwenye Sports bar kwenye mfumo wa HD
  • Unataka kufungiwa kwenye Hotel, Lodge n.k kwenye mfumo ambao kila room atajibadilishia channels mwenyewe akiwa room.
  • Unataka kufungiwa kwenye Apartment ambapo kila mpangaji atakuwa anaingia na kisimbuzi chake tu

 Tuna uzoefu wa zaidi ya miaka 10, tunakusikiliza kisha tunakuhudumia kutokana na mfuko wako kwa kuzingatia ubora!

Tanzania nzima tunafika kutegemea na kazi utakayotupatia!

WhatsApp +255755949413


Tanesco HQ - Ubungo D'salaam.


Opp. Ocean road hospital - D'salaam


Opp. Ocean road hospital  - D'salaam 




Dar city view hotel - D'salaam 





Tanesco HQ - D'salaam 


Lodge - Dodoma


Settings zikiendelea kwenye Hotel ili kufanya rooms zote ziweze kuwa na channels zilizo clear!


Settings kwenye Apartment ( hapa tunasambaza Cable kwenye jengo lenye point ( tvs ) zaidi ya 100


Tunahakiki baada ya kufunga dish n kuweka signal!


Control room ambayo ni ya kawaida tuu lakini nzuri na safi!


Tunafanya kwenye ubora zaidi!


Satellite dish aina ya C band nazo tunafunga!



Settings zikiendelea kukamilisha control room


Signal imeshafika, kinachofata hapa ni kufunga tv tu!




Share:

01‏/01‏/2023

MAFUNDI WA AZAM TV TANZANIA

  Kumekuwa na wingi wa mafundi wa kufunga madishi, ni vizuri kutokana na fursa iliyopo, wingi wa visimbuzi na watumiaji pia! Tatizo ni kupata mafundi wazuri, mafundi ambao wataweza kukufungia ama kufanya repair dish yako na ukafurahia huduma!

Mafundi wa kufunga visimbuzi vya DStv kwa Tanzania nzima:-

  • Umenunua mpya unahitaji kufungiwa
  • Umehama jengo unataka kufungiwa
  • Inasumbua unataka kufanyiwa repair 
  • Unataka kufungiwa kwenye Office katika mfumo wa office
  • Unataka kufungiwa kwenye Sports bar kwenye mfumo wa HD
  • Unataka kufungiwa kwenye Hotel, Lodge n.k kwenye mfumo ambao kila room atajibadilishia channels mwenyewe akiwa room.
  • Unataka kufungiwa kwenye Apartment ambapo kila mpangaji atakuwa anaingia na kisimbuzi chake tu

 Tuna uzoefu wa zaidi ya miaka 10, tunakusikiliza kisha tunakuhudumia kutokana na mfuko wako kwa kuzingatia ubora!

Tanzania nzima tunafika kutegemea na kazi utakayotupatia!

WhatsApp +255755949413

Tukifunga huwa tunafunga hivi!

Somewhere in Msasani - D'salaam 

Somewhere in Msasani - D'salaam

Tanesco HQ - D'salaam

Salaam Hotel - D'salaam

Channels searching ( Transit Motel ) - D'salaam 

Channels searching ( Lodge ) - Dodoma 

Cable installations ( Dar city view ) - D'salaam 

Control room ( King D hotel ) - D'salaam 

Dish installation 

RG 11 Coaxial cable 

Control room

Instagram @mustaphamadish 


Share:

10‏/10‏/2022

CODE ZA VISIMBUZI TANZANIA

Kila kisimbuzi kina CODE yake katika kurahisisha mteja kuweza kujihudumia mwenyewe pasipo kuwasiliana na huduma kwa wateja, kutokana na ukweli kwamba kuna huduma nyengine sio lazima upige simu, hivyo tumia CODE hizi  kwa kubofya kwenye simu yako kisha itakuletea muongozo ambao utaufata ila sharti la kwanza lazima uwe na account namba ama smartcard namba na pindi unapoona haijawa msaada kwako ndipo upige huduma kwa wateja kwa msaada zaidi..

CODE ya Azamtv *150*50*5#

CODE ya DStv *150*53#

CODE ya Startimes *150*63#

Kwa msaada zaidi 

+255755949413 Call/WhatsApp 

Share:

06‏/10‏/2022

CHANNEL GANI UNAITAKA KWENYE TV YAKO!?


 TV inaweza ikakufanya uizunguke dunia.. popote utakapotaka kujua yanayojiri unaweza ukayajua ukiwa na remote yako tuu.. maamuzi ni yako..

Tuambie channels gani ama channels za nchi gani unataka kuangalia!?

Tutakwambia inapatikanaje na tutaifungaje!?

Check nasi WhatsApp +255755949413


Share:

02‏/11‏/2020

SIGNAL QUALITY TZ

 

Signal quality tz  ni kipindi cha tv chenye kuzungumzia visimbuzi na digital tv kiujumla, chenye segment 3 ambapo kimeanza mtandaoni ( Instagram ) kwenye page ya mustaphamadish kuonekana kwa segment 1 tu isiyozi dakika 5 kila wiki! Baadae itahamia kwenye tv.

Mmiliki ni Mustapha Hanya anajulikana kama mustaphamadish, ambaye ni mbobezi wa mambo ya visimbuzi na digital tv kiujumla, kwa mtandaoni ameanza akiwa anafanya kila kitu mwenyewe, nikimaanisha kuandaa, kushoot na kuedit pia na ndio maana ukiangalia epsode01 ni tofauti na epsode15, kwanini alikuwa anaenda kwa kukua tofauti na alivyoanza!

Lengo la kipindi cha signal quality tz ni kuwafanya wadau na watumiaji wote wa visimbuzi kuujua ulimwengu wa visimbuzi na kufurahia pia!

Unapata fursa ya kuuliza chochote unachotaka kujua, kinachokutatiza, ama kupata msaada wa moja kwa moja na kutoa maoni pia!

Signal quality tz inaruka kila wiki kupitia ( Instagram ) mustaphamadish 

Siku za usoni signal Quality tz itaruka kwenye tv na itakuwa na segment 3, itakuwa na dakika 30 hii ndio itakuwa package kamili na itasaidia jamii kwa kiasi kikubwa mno!

Chochote unaweza wasiliana na mustaphamadish 

WhatsApp +255755949413 | Email: mustaphamadish@gmail.com 

Share:

28‏/02‏/2020

Je LNB ikitoboka ndio imekufa!?


Moja kati ya maswali ambayo nimekuwa nikiulizwa mara kwa mara, kila mtu ana namna yake ya kuuliza ila nikiliweka katika mfumo rasmi nimeulizwa Je LNB ikitoboka ndio imekufa!? Nitakuja niwajuze zaidi...
Share:

02‏/12‏/2018

HUNA HAJA YA KUTUFATA DAR TUNAPATIKANA MOROGORO PIA, MAFUNDI WABOBEZI

Unajenga Hotel, Lodge, Apartment Morogoro!!??

Unatafuta Mafundi Morogoro!?

Tukabidhi jengo lako tukufanyie ufundi huu:-

Security systems - mfumo wa ulinzi

TV systems  - mfumo wa tv ( madish )

Domestic electrical  - Umeme wa majumbani 

IT solutions  - suluhisho kwenye mambo ya IT 

MUSTAPHA MADISH INSTALLERS - MOROGORO 

Tupo Morogoro Mjini tupigie +255777139413

email: mustaphamadish@gmail.com 

Whatsapp +255777139413

Wewe ni mmojawapo kati ya wale wanaosumbuliwa na mafundi ama unataka fundi na hujui pa kuwapata mafundi wazuri, wale mafundi kweli!!??

MAFUNDI WA KUFUNGA MIFUMO YA TV MOROGORO. 

Inajumuisha Dish aina zote, kufunga tv na kuuza vifaa vyote vinahusika kwenye kufunga mifumo ya tv. Tumebobea zaidi kufunga mifumo ya tv kwenye Hotel/Lodge, Apartment, Ofisini na hata majumbani kisasa na kwa ustadi wa hali ya juu!

Upo Morogoro unatafuta fundi wa Azamtv, upo morogoro unatafuta fundi wa dstv, upo morogoro unatafuta fundi wa startimes au upo morogoro unatafuta fundi visimbuzi/fundi madish kutana na team ya Mustapha Madish Installers sio tu utapata mafundi, kwanza utasikilizwa, utashauriwa na utapata mafundi kweli wenye uzoefu wa zaidi ya miaka 10. Pia utapata visimbuzi vyote, ukitaka kununua visimbuzi vyote, morogoro azamtv, morogoro dstv, morogoro startimes, morogoro mafundi madish.

MAFUNDI WA KUFUNGA MIFUMO YA ULINZI MOROGORO. 

Tunahusika na mifumo karibu yote ya kitaalam ya kulinda mali zako na kujilinda binafsi na kwa morogoro tumefungua ofisi ili msisumbuke kutufata dar es salaam. Msimamo wetu ni ule ule kazi bora, bei nafuu! Tunauza na kufunga:- CCTV Cameras - faida ya cctv camera unafatilia matukio, unaweka kumbukumbu, inafukuza wezi n.k. Electric fence - wezi ama kiumbe chochote ambacho hutataka kivuke kuingia ndani hakitaingia hata umeme ukiwa umekatika. Alarm system - hii inatoa tafadhali kama ni moto ama chochote cha hatari. Access control - mfumo wa kisasa wa kuendesha watu wako hususani kwa maofisini. Intercom doorbell - kengele ya kishua, anayegonga sio tu utazungumza nae bali pia utamuona. Motor gate - unaamua ufungue ama ufunge geti lako kupitia remote ama kupitia simu yako! Technology hii morogoro imewafikia. Tunapatikana morogoro mjini tupigie/WhatsApp +255777139413

MAFUNDI UMEME WA MAJUMBANI MOROGORO.

Unajenga nyumba yako ama jengo lako huna haja tena ya kutufata dar es salaam, tumekusogezea huduma wakazi wa morogoro tupigie/WhatsApp +255777139413 huduma zetu tunauza vifaa na kufanya WIRING - una nyumba/jengo unajenga tunachora mchoro  na kufanya wiring. AC - tunafunga hususani kwenye majengo. SUBMETER - tunafunga mbadala wa wale wasumbufu wa kununua umeme kwenye nyumba za kupanga.

SULUHISHO LA MAMBO YA IT MOROGORO. 

Tunafanya networking, Telephone na mambo mengine.

Share:

09‏/06‏/2018

MKOA GANI UNAIKOSA OFFER YA DSTV!!??

#DStvnimoto #Kamasiodstvpotezea
Niambie upo mkoa gani na je unaikosa offer mpya ya DStv!!??
Imekuwa kawaida kwa baadhi ya mikoa kuuza visimbuzi kwa bei juu na huku sababu zikiwa nyingi, hii hapa ni nafasi ya pekee kwakon niambie upo mkoa gani na unauziwa bei gani dstv.
Offer ya DStv ni kama ifatavyo:-
Tsh 79,000 vifaa
Tsh 20,000 ufundi BURE!
Popote dar unaletewa
Unapata na kifurushi cha mwezi
Kuunganishwa
Whatsapp+255755949413
Share:

18‏/05‏/2018

ANGALIA KOMBE LA DUNIA KWA TSH 19,000 TU!

 
Hapa nazungumzia michuano ya kombe la dunia 2018 itakalofanyika urusi zaidi ya timu 30 kushiriki michuano hii..
Michuano hii inahusisha dunia hivyo wapenzi wa mpira duniani imeelekeza macho na masikikio kwenye michuano hii... Hapa kwa Tanzania kuna habari njema kutoka kwa wakongwe wa Digital, hapa nazungumzia Multichoice kupitia product yake ya DStv inakuletea michuano hii moja kwa moja toka urusi kwa kifurushi cha chini kabisa ambapo utalipia tsh 19,000 tu! licha ya kuangalia michuano ya kombe la dunia pia utaona channels nyengine zaidi ya 80 zikiwemo wa burudani, movie, watoto, michezo, makala, habari n.k
Umerahisishiwa ili uweze kupata unachostahili:-
Piga simu +255789476655 au Whatsapp+255784378129
DStv vifaa Tsh 79,000
Kufungiwa Tsh 20,000
Kama upo dar unaletewa popote ulipo bila kulipia zaidi!
Yote yanayohusu DStv namba za kupiga ni hizo hapo juu!!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




يتم التشغيل بواسطة Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

الاسم

بريد إلكتروني *

رسالة *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita