Call / WhatsApp +255755949413

14‏/09‏/2010

Abudhab TV


Hii ni ya waarabu na ili upate lazima ununue Arabuni,bei inategemea na jinsi utakavyopata namaanisha zile njia za kuagiza!!
Hii inakuwa ni Decoder inakuwa na air time ya miezi 12!!
Itakapoisha itakulazimu kulipia tena kwa mwaka kwa utaratibu utakaopewa!
Sisi ambacho tunafanya ukishakuwa na Decoder tutakusaidia kupata Dish.lnb,Cable pamoja na Installations.
 KUHAMISHA Tsh 50,000/=

KUFANYA REPAIRING Tsh 30,000/=

KUFANYA INSTALLATIONS Tsh 50,000/=

Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




يتم التشغيل بواسطة Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

الاسم

بريد إلكتروني *

رسالة *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita