Call / WhatsApp +255755949413

29‏/09‏/2013

HATIMAE CLOUDS TV KWENYE DISH!!


Swali la wengi leo limepata jibu maana walikuwa wanauliza Clouds tv mbona haipo kwenye Dish,ukweli ni kwamba hili lilikuwa ni swala lililo ndani ya uwezo wa Clouds Media Group na sio mimi Mustapha Madish!!
wamefanya walichopaswa kufanya,ambapo kwangu imekuwa fulsa ndo hivi naitumia kuwaunganisha watu kuangalia clouds tv kupitia Dish,uzuri wake ni kwenye Dish ndogo pale pale zinapopatika zile za Local!!!
Hii inafanya idadi ya channel za Tanzania zinazopatikana kwenye Dish ndogo kuongezeka!!
Zaidi ya yote unapaswa utumie Receiver ya MPEG4 na si MPEG2!
Share:

6 Unasemaje..??:

غير معرف يقول...

Hapo watakuwa wapo kidigital hasa tenzetu!!!!!

غير معرف يقول...

Hivi hawa jamaa office zao zipo wapi?

غير معرف يقول...

Mustapha Madish please tell me about AZsky is it good n where i can buy it in Tanzania!?

غير معرف يقول...

Kaka vp kuhusu Azam tv nasikia itakuwa rahisi sana na channels za kumwaga!

Mustapha MaDish يقول...

Clouds Media Group wapo Mikocheni pale!

غير معرف يقول...

My brother suggested I would possibly like this website.

He used to be totally right. This publish truly made my day.
You cann't believe simply how a lot time I had spent for this info!

Thanks!

My web-site bookkeeping practice (bookkeepingprofessionals.co.za)

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




يتم التشغيل بواسطة Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

الاسم

بريد إلكتروني *

رسالة *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita