Call / WhatsApp +255755949413

29‏/11‏/2013

KUHUSU AZAM TV

Azam tv ni kampuni mpya katika ukanda huu wa Digital,tunaanza rasmi kuuza tarehe 6/12/2013.
Inajumuisha Dish ndogo,lnb,Cable mt20,Decoder na air time mwezi mmoja!
Kumefanyika mabadiliko kidogo ya bei awali ilikuwa 85000/= full installations,kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo imelazimika kubadilisha bei ambapo sasa inauzwa 135000/= ikiwa vifaa na ufundi.
Na unalipia malipo ya mwezi hakuna mabadiliko ni ile ile 12500/= kwa mwezi.

Decoder ya Azamtv

Dish ya Azam tv.
Kwa Mawasiliano zaidi tupo:
 Morogoro rd,Magomeni Mapipa
Office:+255789476655
Personal:+255659161111/714973797
Email:mustaphamadish@gmail.com.
TUNAUZA | TUNAFUNGA | DISH AINA ZOTE.
Share:

11 Unasemaje..??:

غير معرف يقول...

Mi nataka hii ntakuja hapo Magomeni!

Mustapha MaDish يقول...

Karibu sana!

غير معرف يقول...

Azam Tv ina channel ngampi kiujumla? Na je Star Tv inapatikana?

Mustapha MaDish يقول...

Ina jumla channels 52 ila zitaendelea kuongezeka na star tv hakuna ila inatarajiwa kuwepo!

غير معرف يقول...

Azam tv ina package ngapi kwa channel zake( au hiyo 12500 ni kwa channel zote?).
Thanks.

Mustapha MaDish يقول...

AZAM TV ina Package moja tu,ambayo ukilipa 12500 tu unapata channels zote!

Unknown يقول...

Je, Emannuel tv inapatikana katika kung'amuzi cha Azam?

Unknown يقول...

Emanuel TV inapatikana katika King'amuzi cha Azam?

Unknown يقول...

Je, Emannuel tv inapatikana katika kung'amuzi cha Azam?

Mustapha MaDish يقول...

Hapana Emanuel tv haipo kwenye Azam tv

غير معرف يقول...

Nahitaji hii huduma yako ila tatizo mi nipo mlandizi nitaweza fanikiwa?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




يتم التشغيل بواسطة Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

الاسم

بريد إلكتروني *

رسالة *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita