Call / WhatsApp +255755949413

15‏/03‏/2014

ZILIANZA CHANNELS 52...


Naizungumzia Azam tv "Burudani kwa wote"
Awali zilianza channels 52 huku ahadi ikiwa zitakuwa zinaongezeka kila baada ya muda,wapo ambao waliamini na wapo waliodhani ni katika kutaka kuuza tu!
Kuanzia tarehe 28 mwezi wa pili utekelezaji ulianza kwa zile channels ambazo zilikuwa zinauliziwa sana ITV na EATV baada ya siku kadhaa FX na FOX INT nazo zimeongezwa!
Huu si mwisho bali ni muendelezo wa huduma bora kwa kile mnachokihitaji!
Channels nyengine zinakuja unaweza ukatoa maoni yako je unapendelea channels gani ziongezwe!!??
Share:

8 Unasemaje..??:

غير معرف يقول...

WEKA STAR TV

Prodius Rutaihwa يقول...

Top movies na Star TV

غير معرف يقول...

Angalieni uwezekano wa kutuwekea Hope tv, Emanuel tv, ATn na Star tv.

غير معرف يقول...

Bro tukiachana na tv channels naomba kuuliza swali na swali langu linaenda hivi:hivi namba za model ya receiver ya azamtv ni zipi?

غير معرف يقول...

Azam tv inasumbua sana wakati wa mawingu na mvua lishughulikieni tatizo hili

غير معرف يقول...

Azam tv inasumbua sana wakati wa mvua na mawingu lishughulikieni hili tatizo

غير معرف يقول...

weka channel za kihindi zaidi km B4u movies na Sony

Unknown يقول...

ongeza na weka
star plus,
zee tv
sony tv kihindi
b4u movies
life ok kihindi
michezo
za cricket

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




يتم التشغيل بواسطة Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

الاسم

بريد إلكتروني *

رسالة *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita