Call / WhatsApp +255755949413

31‏/08‏/2014

LINAPOKUJA SWALA LA MVUA!


Pichani ni dish ya Azam tv huku mvua ikiwa inachapa vilivyo...
maana yake ni kwamba ndani hapo picha imepotea...
Kinachotokea kwa Azam tv hata DSTV kinatokea..
Linapokuja swala la mvua Dish ndogo huwa zinaelemewa...
Hivyo kinachotakiwa ni uvumilivu wa muda mchache na mara mvua inapokata picha zinarudi kama kawaida..
Na ikitokea mvua imeisha na picha haijarudi ujue kuna namna..
Hapo ndipo utajua fundi wako alifanya kazi kwa kiwango gani...!!??
Tatizo lolote la kiufundi..
Msaada kuhusu chochote kinachohusu maDish..
Piga +255789476655 Mustapha MaDish
Share:

1 Unasemaje..??:

غير معرف يقول...

Ila azam inasumbua kwkweli je hakuna namna yeyote ya kiufundi kuliepuka hili..?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




يتم التشغيل بواسطة Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

الاسم

بريد إلكتروني *

رسالة *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita