Call / WhatsApp +255755949413

16‏/10‏/2014

NAWALETEA CONTINENTAL YA DISH


Hatimae marejeo yamekuwa mazuri,ambapo sasa macho ya watanzania na wadau wa ving'amuzi kwa ujumla yameelekezwa kwa Digitek kuona yakuwa nao watatoa dish baada ya Continental kutoa Dish!
Hii inamaanisha leo ukihitaji king'amuzi cha Continental nitakachokuuliza cha kwanza..
unataka Continental ya Antenna ama ya Dish..
kisha mengine yanafata..

Share:

8 Unasemaje..??:

غير معرف يقول...

Hii inakuwa bei gani!?

غير معرف يقول...

Mkuu tumekupata ilaa hii inakuwa bei gani na je channel ndo zile zile!?

غير معرف يقول...

Hii nayo haina malipo ya mwezi!?
Bei gani kwani?

غير معرف يقول...

Hawa ndo hakuna kitu kabisa nafuu hata ya star times

غير معرف يقول...

Hakuna kitu hapo

غير معرف يقول...

Mnaongeza hizo chanell mpya lini

غير معرف يقول...

CHANELY ZA MPIRA, HAPO KUNANI???

Unknown يقول...

Mmmh

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




يتم التشغيل بواسطة Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

الاسم

بريد إلكتروني *

رسالة *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita