Call / WhatsApp +255755949413

14‏/11‏/2014

UNAIJUA CABLE TV !?


Maswali yamekuwa meengi mkitaka kujua cable tv inafanyaje kazi na huku wengine mkitaka kujua namna ya kuanzisha cable tv zenu huku mkitoa ushuhuda jinsi zilivyo na wapenzi hasa mikoani kwakuwa ni rahisi sana tofauti na huduma nyengine za ving'amuzi...!!
Je kweli ni rahisi!?
Je unaweza ukaanzisha cable tv yako??
Unajua cable tv ni nini?
Nipo hapa kukujuza yote yanayohusu mambo ya tv channels,hivyo ni jukumu lako kuuliza na hata kutoa maoni yako...
Nitazungumzia CABLE TV kinagaubaga lakini naomba iwe ahadi isiwe leo,ambacho unapaswa kufanya ni kufatana nami ili usipitwe na kapost hicho hiyo siku ikifika!
JIFUNZE KUHUSU VING'AMUZI | PATA HABARI | PATA HUDUMA BORA

Share:

5 Unasemaje..??:

غير معرف يقول...

Kaka tujuze nangoja kwa hamu hii mada

غير معرف يقول...

Fanya hivyo mkuu sisi hatupo mbali ni hapa tu TA waja leo waondoka leo

غير معرف يقول...

Lini mada hii?

غير معرف يقول...

Fanya hivyo mkuu!
Na naomba uzungumzie tofauti ya madish makubwa na madogo la nyavu na la bati

غير معرف يقول...

Hii mada ilishawasilishwa!?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




يتم التشغيل بواسطة Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

الاسم

بريد إلكتروني *

رسالة *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita