Call / WhatsApp +255755949413

06‏/09‏/2015

KIFURUSHI CHA NYOTA TSH 9,000 | TSH 11,000

Kifurushi hichi kinapatikana kwenye kisimbuzi cha Dish na Anntena, ambapo kwenye Dish ni Tsh 11,000 na kwenye Antenna ni Tsh 9,000
Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha Nyota:-
Kuna zaidi ya channel 30!

Channels za Dish:-
Filamu na Tamthilia
ST Zone
AMC Movies

Burudani
ST Kung fu
Startimes Real Time
E. Tv

Burudani za Kiafrika
St Dadin Kowa
TBC2
NTV Uga.
NBS
Silverbird
E Stars
ST Swahili

Michezo
ST Sports Focus

Habari
CGTN
TVC News
CNC World
NTA News 24
CGTN F
CCTV 4
Telesur Africa

Makala
 Safari tv
CGTN Doc.

Watoto
Smile of a child
Da Vinci
Mindset Learn

Chaneli za Nyumbani
 TBC
Clouds Tv
EATv
ITV
CHANNEL 10
STAR TV
TV E

Dini
St Gospel
Madani Channel
Tumaini Tv
Dove Tv
Iqraa
Upendo Tv

Muziki
Clouds Tv
Wasafi Tv

Chaneli za kwenye Kisimbuzi cha Antenna:-
Filamu na Tamthilia
ST Zone
ST Sino Drama

Burudani
ST Kung fu
Startimes Real Time
Wasafi tv

Burudani za Kiafrika
Citizen tv
E Stars
ST Swahili

Michezo
ST Sports Focus

Habari
CGTN

Makala
 Safari tv

Watoto
Smile of a child

Habari na Burudani
 TBC
Tv 1
Clouds Tv
EATv
TBC2
ITV
CHANNEL 10
STAR TV
TV E
Kwanza Tv

Dini
Arise and Shine
WRM
ATN
Tumaini Tv
Living Water
Upendo Tv
IBN Tv Africa
Iqraa
TBN

Chaneli za Tanzania
ST Guide
TBC 1
Tv 1
Channel 10
Star tv tz
ITV tz
EATV
Clouds Tv
Tv E
ATN
Safari Tv
Upendo Tv
Sibuka Maisha
Dar es salaam Only
Dira Tv
Arise and Shine
WRM
Tumaini Tv
Living Water
IBN Tv Afrika
Mlimani Tv
Tv Imaan
Kwanza Tv
Mwanza only
Barmedas Tv
Morogoro Only
Top Tv
Abood Tv
Iringa Only
Iringa Tv
Tanga Only
Tanga Tv
Arusha Only
ABC Tv

KUNUNUA | MAFUNDI | USHAURI NA MSAADA ZAIDI KUHUSU STARTIMES
MUDA  08:00 - 20:00
Piga | Whatsapp  +255789476655
Share:

56 Unasemaje..??:

Unknown يقول...

unajiungaje,mfana kwa tigo pes

Unknown يقول...

Habari wahudumu, TV Imaan kwenye orodha ya Channel za Startimes mbona sioni au ndo Imeandikwa Deen TV

ELIA يقول...

Nimelipia 8000 sijapata channel zinasoma not subscribed, card yangu ni 02035749581

غير معرف يقول...

Please urgently assist no access not subscribed msg displayed dispite of having paid card no. 02035749581

ELIA يقول...

Nimelipia 8000 sijapata channel zinasoma not subscribed, card yangu ni 02035749581

mpenda watu يقول...

nimelipia 6000 sijapata channel zinasoma not subscribe card yangu 02035569205

being يقول...

Kuna chanel gan znaonesha movie za kibongo?

Unknown يقول...

Card yangu ni 02035575314 sijalipia lakini napata TBC 1 tu Chanel zingine za free sizipati. Shida nini? Maana kwa mujibu Wa sheria Chanel za free natakuwa zipata hata kama sijalipia kifurushi chochote.

غير معرف يقول...

Waulize Kupitia Hizo No Zao Za Simu Walizoweka

Unknown يقول...

Nmelipa 60000, kadi yangu ni 02035333502 cjapata channels naambiwa kurecharge nifanyeje!?

Unknown يقول...

Niko Tanzania vip mbona vifurushi vyevu viko juu ukilinganisha na Azam kwani mwanzoni mnajitangaza vifurushi nilikuwa vya kawaida? Kuna mpango upi wa kuhakikisha tunaangalia Moira wa mpira ligi kuu vodacom ( Tanzania premiers league?) Bila kufanya hivyo nahama. Naomba mlifanyie kazi.

غير معرف يقول...

Nimelipia elfu 9 ila napata chanel 12 pekee je nyengine nazipataje?

Unknown يقول...

Mimi nimelipia 10000 namba ya kadi 02035860788 lakini channels hazionyeshi hasa Tanzania mfano clouds hazipo kabisa katika list za channel

Unknown يقول...

Naitwa omary iddy nimelipia 10000 lakin sipati Chanel yoyote tatzo mini

Unknown يقول...

Na je vipi kuhusu TV tumaini mbona haipo kwenye orodha

Unknown يقول...

Nalipia 6000 lakini akifiki mwezi Namba zangu 02035715967

Unknown يقول...

I would like to join you soon, I have been using zuku all this time,
What a loss!!!

Unknown يقول...

Nimelipia Tshs. 10,000/= kwa ajili ya kulipia KIFURUSHI cha shs 9,000/=
Naona bado king'amuzi bado kinaonyesha smart card error.
Naomba msaada.
Asante.

Mafikiri Mushi

Unknown يقول...

Nkilipia 8000/= napata Chanel 7 tu

Unknown يقول...

Mm nahitaji dish napataje?

Unknown يقول...

Samahan naomb mnielez kifurush cha mwez unalipaj katik kingamuz cha antena

Unknown يقول...

Nimelipa 9000 namba yangu ni 02139160381 lakini st swahili na star TV hakuna.shida Nini?

غير معرف يقول...

Hey! Do you use Twitter? I'd like to follow you if that would be ok.
I'm undoubtedly enjoying your blog and look forward to new updates.

Unknown يقول...

Nina king'amuzi cha antenna ya nje cha star times na nnahitaji kuunga kifurushi cha nyota, cha mwezi, nitaungaje? Na ni shillingi ngapi kwa mwezi kifurushi hicho?

Unknown يقول...

Naomba msaada namna ya kulipia

Unknown يقول...

Naomba msaada jinsi ya kujiunga kifurushi cha 9000

Unknown يقول...

Naomba msaada jinsi ya kulipia icho cha 9000

Unknown يقول...

Chanel nyingi hazipo. Uhuni mtupu

Unknown يقول...

So.many.people are complaining of having paid but not subscribed including myself what is your problem are we being conned?

Unknown يقول...

Mbn clouds TV kweny decorder ya antenna haipo???

Unknown يقول...

Nimelipia sh 21000 lakini channel hazifunguki hasa za michezo

Unknown يقول...

Acheni kudanganya hizi channels hazipatikani zote kama tangazo lilivyo

dm يقول...

Mbona startimes hawajibu Maswali ya watu hapa? Nlihitaji KUNUNUA Kwenu ila bora niende DSTV

Unknown يقول...

Mtaalam eti nmelipa 9000 vp hpo na msg imekuja eti 3000 kwa sku sa mbna wanachanya mi nkajua cha mwezi

Unknown يقول...

Nataka kifurushi cha mambo 12,000 kwa mwezi, kila nikilipia 12,000 naunganishwa cha 6,000 wiki mbili na balance inabaki why?

Unknown يقول...

Nataka kifurushi cha mambo 12,000 kwa mwezi, kila nikilipia 12,000 naunganishwa cha 6,000 wiki mbili na balance inabaki why?

Unknown يقول...

Nataka kifurushi cha mambo 12,000 kwa mwezi, kila nikilipia 12,000 naunganishwa cha 6,000 wiki mbili na balance inabaki why?

Unknown يقول...

Bei ya Dish + installation cost ni sh ngapi kwa sasa?

Unknown يقول...

Bei ya Dish + installation cost ni sh ngapi kwa sasa?

Unknown يقول...

nimelipia kingamuzi pia nimebadilisha kadi lakini chanel azionesh baadhi kama novela kwanini

غير معرف يقول...

Nilikuwa Uhuru nataka niingie kifurushi cha nyota cha kingamuzi cha antenna, hakionekani kwenye option zenu, nifanyeje?

Unknown يقول...

Kimya hamjibu..maswali

Unknown يقول...

Namba yangu ya card 01819360796 nikilipa kifurushi cha 10000 kinaonyesha siku 18 kwanini naomba msaada

mgallason يقول...

Habari, kingamuzi changu ni cha awali kabisa cha antena ya kawaida kwa maana miba ya samaki kilikuwa hakina hitilafu yoyote awali lakini sasa hivi naona kina stuck sana. can you help me please.

Unknown يقول...

Acheni uhuni nimelipia 19000 kimetumika siku kumi na tatu tu bora kukunua bando la simu huo ni wizi kabisa

Unknown يقول...

Hivi kwa sasa kifurushi cha nyota napata Chanel ngapi na in zipi?

غير معرف يقول...

Siwasomi start times

Unknown يقول...

Ili nipate novela ile yenye series za kifilipino nijiunge kifurushi kipi?

Unknown يقول...

Nimenunua kifurushi sijapata huduma. Nimebadili kifurushi changu kutoka uhuru kwenda mambo. Nililipia 9000 kwa ajili ya kifurushi Cha nyota lakini kwenye list ya kubadili kifurushi haipo ndo maana nikachagua kifurushi cha mambo! Naomba msaada nifanyaje?

Unknown يقول...

Card yangu ni namba 02155904908

Unknown يقول...

Card yangu ni namba 02155904908

Unknown يقول...

Nimenunua kifurushi sijapata huduma. Nimebadili kifurushi changu kutoka uhuru kwenda mambo. Nililipia 9000 kwa ajili ya kifurushi Cha nyota lakini kwenye list ya kubadili kifurushi haipo ndo maana nikachagua kifurushi cha mambo! Naomba msaada nifanyaje?

Unknown يقول...

How can I recharge my package?

غير معرف يقول...

Is this guy even alive. Haiwezekani tangu 2015 kila kitu ni kile kile,no any updates!! Hapa hakuna hata haja ya kuuliza kitu.

Unknown يقول...

Jaman me cioni izo channel

kasinje يقول...

Jamani mnasema nyota kwa mwez ni 8000 mbona me nikinunua napata wiki 2 tuu kwan cha mwez shingap jaman?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




يتم التشغيل بواسطة Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

الاسم

بريد إلكتروني *

رسالة *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita