Call / WhatsApp +255755949413

01‏/07‏/2017

ELECTRIC FENCE

Electric Fence kiwandani.

 Electric Fence kwenye Makazi.
Ni katika kuhakikisha sehemu yako na mali zako kiujumla zinabaki salama kwa kuweka ulinzi na mfumo wa ulinzi mmojawapo ni huu wa uzio wa umeme!
Electric fence unaweza ukafunga kwa kutumia aina tatu ya vyanzo vya umeme:-
  • Kwa kutumia Solar
  • Kwa kutumia Betry
  • Kwa kutumia umeme wa kawaida
Siku za usoni nitawafafanulia kwa kila njia na njia ipi ni nzuri zaidi ili uweze kujilinda na kulinda mali zako kiujumla!

Kwa Mahitaji ya kufungiwa Electric Fence, CCTV Cameras na TV System popote ulipo wewe kwa mkoa wowote Tanzania!
Kwa maelezo zaidi +255789476655
Share:

3 Unasemaje..??:

غير معرف يقول...

Kwa Dodoma nawapata wapi mkuu?

غير معرف يقول...

Kaka umeadvance sana hongera..

Unknown يقول...

Maelezo jinsi ya kufunga fence hatua kwa hatua

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




يتم التشغيل بواسطة Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

الاسم

بريد إلكتروني *

رسالة *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita