Call / WhatsApp +255755949413

20‏/10‏/2013

OFFICE INSTALLATIONS

+255789476655/659161111
Hapa ilitakiwa lifungwe Dish moja isipokuwa liende kwenye tv zipatazo nne,na kila mmoja awe anachange channel kupitia Remote yake kwa channel aipendayo bila kumghasi mwengine!
Kuna njia mbili:
1.Kuchagua Channel muhimu tu kama tunavyofanya kwenye Hotel.
2.Kufunga kila mmoja na Receiver/Decoder yake na burudani kama kawa.
Hapa walipendelea kila tv iwe na Decoder yake na walichohitaji ni Dstv tu,hivyo haikuwa issue mi nikafuata nilichopaswa kufanya,nikapiga a/c mbili extra view decoder nne na dish 1 ikawa pouwah!!





Dish na lnb ya njia nne

Flat screen na Extra view

Flat screen na Extra view
Hivyo nikafunga na Flat screen pamoja na Projector mambo yakawa kama nilivyotumwa!
Kazi safi,nzuri na ya kupendeza!
Share:

3 Unasemaje..??:

غير معرف يقول...

Hii nzuri sana nami nitakutafuta mtaalamu uje na kwa office yangu!

غير معرف يقول...

Kaka unajua sana unachokifanya hongera sana!!

غير معرف يقول...

Nawezaje kupata chanel nyingi kwa kutumia dish moja ila tv zipatazo 8 msaada mtaalamu!

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




يتم التشغيل بواسطة Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

الاسم

بريد إلكتروني *

رسالة *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita