Call / WhatsApp +255755949413

23‏/10‏/2013

AZAM TV

Mustapha MaDish  nikiwa Azam tv HQ
Niseme tu ukweli katika ujio wa ving'amuzi vyote Tanzania huu ni ujio tofauti sana,kwa maana kabla ya kuanza kuuza wadau wamekuwa na shauku ya kutaka kununua bila kujua nini kilichopo ila tu wanaamini itakuwa king'amuzi bora kuliko ving'amuzi vyote vilivyopo Tanzania ukiweka mbali wakongwe Dstv,sababu kubwa ikiwa ni mmiliki wa hii kampuni kwa kuwa muda mrefu katika biashara si ya ving'amuzi ila biashara nyengine na sifa yake kuu bidhaa bora kwa bei nafuu,hivyo imani ya watanzania ni kwamba unafuu unakuja!!
Swali je Azam tv ni bei rahisi kweli ama magumashi!!??
VIFAA NI TSH 135000/= BILA UFUNDI
Kujua vifurushi Bofya Hapa
Mustapha MaDish kwa site!

Hapa milele

 Mkataba

 Burudani kwa wote

 Sehemu sahihi ya wewe kuhudumiwa

 Mwendo ule ule

 Mustapha MaDish ameshafanya yake
Niseme tu ukweli katika ujio wa ving'amuzi vyote Tanzania huu ni ujio tofauti sana,kwa maana hawajaanza kuuza isipokuwa wadau wamekuwa na shauku ya kutaka kununua bila kujua nini kilichopo ila tu wanaamini itakuwa king'amuzi bora kuliko ving'amuzi vyote vilivyopo Tanzania ukiweka mbali wakongwe Dstv,sababu kubwa ikiwa ni mmiliki wa hii kampuni kwa kuwa muda mrefu katika biashara si ya ving'amuzi ila biashara nyengine na sifa yake kuu bidhaa bora kwa bei nafuu!!
Swali je Azam tv ni bei rahisi kweli ama magumashi!!??
Bei ni Tsh.135000/= Unapata Dish,Decoder.lnb,Cable 
hii inakuwa haina kufungiwa na kufungiwa ni tsh 30,000/=
Baada ya hapo unachagua vifurushi ili upate vifurushi Bofya Hapa

  Haya kazi ni kwako je ni rahisi ama ghari!!??
Ila mi nilichopenda kutumia Dish tofauti na baadhi ya ving'amuzi vyengine wanaotumia Antenna hii inamaanisha watakuwepo nchi nzima na baadhi ya nchi! 
Jibu la maswali yako yoote wasiliana nasi:-
Magomeni Mapipa 
 +255789476655/659161111/714973797.
Email:mustaphamadish@gmail.com

 linapotokea la kuchekesha
Share:

34 Unasemaje..??:

غير معرف يقول...

Hivi hawa jamaa wanaanza lini kuruka hewani!?
Mbona za mengi hakuna na star tv ama watakuja kuweka!?

غير معرف يقول...

Mpira vipi si nilisikia watanunua toka kwa waarabu!!??

غير معرف يقول...

Kama watakuwa Tanzania nzima itakuwa mzuka sana!

غير معرف يقول...

Tunataka mpira biya mpira wa nje kabugi

غير معرف يقول...

Nitanunua ving'amuzi vingapi ah

غير معرف يقول...

Wakiweka mpira itakuwa imetubamba hasa lakini kwa machannel hayo hapati mtu hapo.

غير معرف يقول...

si nilisikia wanaanza mwezi huu imekuwaje tena ama hawana uhakika!!?

غير معرف يقول...

Namuaminia huyu mwarabu ataleta mabadiliko kwa uchafu wa ving'amuzi vilivyopo Tanzania

غير معرف يقول...

hata yeye hana jipya

Unknown يقول...

ITV,EATV,Capital tv,Star tv Sibuka tv hakuna sasa ndo nini,huu mfumo wa biashara huria utatuua watu wa hali ya chini

غير معرف يقول...

All local chanels (itv,eatv,capital,startv ...) should be there, if not =0

غير معرف يقول...

Ntakupataje nataka kufika hapo muda gani umakuwa kwa office

Unknown يقول...

Ving'amuzi vinapatikana wapi? mawakala wenu wapo wapi?

Unknown يقول...

Mawakala na hivyo ving'amuzi vinapatikana wapi?

غير معرف يقول...

je hivyo ving'amuz havina njia mbili?

Mustapha MaDish يقول...

Ving'amuzi ni Single view havina njia mbili!

غير معرف يقول...

Soka la majuu will it be there in Azam satelite?

غير معرف يقول...

JE ARUSHA HAVIPATIKANI?

ALIBHAI HABIB يقول...


HAMNA KITU AZAM KWASABABU SINEMA ZETU KILA MARA ZINARUDIWA RUDIWA NA WATEJA WANA LALA MIKA SANA SI BURA ZUKUMOVI
BY MDAU WA AZAM AKA ALIBHAI PIA HATAN CHANEL ZA DINI HAKUNA BORA MUWEKE HAPO NDIO TUTA WAKAMATA WATEJA WENGI

Unknown يقول...

BORA KUSEMA TU UKWELI KAMA VP FANYENI MKATABA NA BENSPORT HAPO TUTA WAPATA DSTV YANI WOTE WATAA MIA AZAM BILA YA HIVYO HAMNA KITU

Unknown يقول...

inabidi tuweke chanel za dini na sports mf bensport3 tuta pata wateja wenging sana

غير معرف يقول...

Mbona sasa imekuwa magumashi kupata king'amuzi cha azam maana nna kama week natafuta sijapata naambiwa hata makao makuu hakuna vipi hukooo!!??

غير معرف يقول...

Mwarabu mbona hatumuelewi!?

غير معرف يقول...

Hii ndiye pingamizi kwa dstv na solution kwetu watanzania walala hoi,ila bado maboresho yanahitajika tena kwa haraka zaidi

ras mkongwe يقول...

Haya bwana

غير معرف يقول...

Burudani kwa wote sawa ila mbona kwangu ssipati stat tv na kwengine inapatikana!?

Denis Kimolo يقول...

Mtajiunga lini na Star TV?

غير معرف يقول...

vip kuhusu ligi ya England na UEFA Champion! na hiyo mlimani tv mtwara haipatikani na Dtv nayo imeyeyukia wapi?

غير معرف يقول...

nataka kufahamu kwanini baadhi ya chanel za tz hazipo mfano startv,mliman tv sibuka,chanel o,tbc 2 na vipi kuhusu ligikuu ya wingereza

غير معرف يقول...

hii taabu unaweka pesa lakini haibadiliki sasa hii nini mbona sielewi

غير معرف يقول...

hii taabu unaweka pesa lakini haibadiliki sasa hii nini mbona sielewi by kitale ukerewe

غير معرف يقول...

Nimenunua kufurushi cha 20,000 lkn bado napata channels za bure sasa channels zingine zitarudi lini?sijawahi kuchelewa kununua kufurushi Mara nyingi ikibaki siku moja au mbili nanunua kifurushi so sikuwahi kukatiwa channels pliz tel hazichelewi I need to watch movies

gabbymaster يقول...

GOOD

Unknown يقول...

NINASIKIA MTAKUWA MNAONYESHA MECHI TOKA KATIKA LIGI YA SPAIN KISHA YA ENGLAND, JE HII HABARI NI YA KWELI???

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




يتم التشغيل بواسطة Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

الاسم

بريد إلكتروني *

رسالة *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita