Call / WhatsApp +255755949413

01‏/08‏/2014

BEI MPYA YA AZAM TV


Kutokana na sababu za kiuendeshaji imelazimika yatokee mabadiliko katika kuuza king'amuzi cha Azam tv.
Bei mpya ya Azam tv toka leo Tarehe 1/08/2014 ni Tsh 165000/=
Inajumuisha vifaa na Ufundi.
Malipo ya mwezi ni ile ile Tsh 12500/=
Ukilipa Tsh 177500/= unapata kufungiwa kila ktu na mwezi mmoja bure,hivyo utapata miezi miwili. 



Kwa maelezo zaidi Piga : Mobile +255789476655/714973797/659161111 Mustapha MaDish
Office: +255789 476655

Jivunie kuhudumiwa nasi!
Share:

5 Unasemaje..??:

غير معرف يقول...

Haya tena mi nilikuwa nangoja ishuke mara ohoo ndo mnapandiisha ah!

غير معرف يقول...

mnapanda mdogo mdogo

غير معرف يقول...

Great weblog right here! Additionally your web site lokts up fast!
What web host are you the use of? Can I get your associate link on your host?
I desire myy site loaded up as faset as yours lol

Feel free to visit my blog ... appliance repair las vegas

غير معرف يقول...

Kaka Madish hii blog yako iko poa sana imekuwa msaada kwa sisi watanzania maana wewe huna jumapili wala nini ila hawa azam wenyewe ukipga simu kupokea ni shida

غير معرف يقول...

I think the admin of this website is really working hard in favor of his web page, because here every information is quality based material.

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




يتم التشغيل بواسطة Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

الاسم

بريد إلكتروني *

رسالة *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita