28/02/2020
Je LNB ikitoboka ndio imekufa!?
02/12/2018
HUNA HAJA YA KUTUFATA DAR TUNAPATIKANA MOROGORO PIA, MAFUNDI WABOBEZI
Unajenga Hotel, Lodge, Apartment Morogoro!!??
Unatafuta Mafundi Morogoro!?
Tukabidhi jengo lako tukufanyie ufundi huu:-
Security systems - mfumo wa ulinzi
TV systems - mfumo wa tv ( madish )
Domestic electrical - Umeme wa majumbani
IT solutions - suluhisho kwenye mambo ya IT
MUSTAPHA MADISH INSTALLERS - MOROGORO
Tupo Morogoro Mjini tupigie +255777139413
email: mustaphamadish@gmail.com
Whatsapp +255777139413
Wewe ni mmojawapo kati ya wale wanaosumbuliwa na mafundi ama unataka fundi na hujui pa kuwapata mafundi wazuri, wale mafundi kweli!!??
MAFUNDI WA KUFUNGA MIFUMO YA TV MOROGORO.
Inajumuisha Dish aina zote, kufunga tv na kuuza vifaa vyote vinahusika kwenye kufunga mifumo ya tv. Tumebobea zaidi kufunga mifumo ya tv kwenye Hotel/Lodge, Apartment, Ofisini na hata majumbani kisasa na kwa ustadi wa hali ya juu!
Upo Morogoro unatafuta fundi wa Azamtv, upo morogoro unatafuta fundi wa dstv, upo morogoro unatafuta fundi wa startimes au upo morogoro unatafuta fundi visimbuzi/fundi madish kutana na team ya Mustapha Madish Installers sio tu utapata mafundi, kwanza utasikilizwa, utashauriwa na utapata mafundi kweli wenye uzoefu wa zaidi ya miaka 10. Pia utapata visimbuzi vyote, ukitaka kununua visimbuzi vyote, morogoro azamtv, morogoro dstv, morogoro startimes, morogoro mafundi madish.
MAFUNDI WA KUFUNGA MIFUMO YA ULINZI MOROGORO.
Tunahusika na mifumo karibu yote ya kitaalam ya kulinda mali zako na kujilinda binafsi na kwa morogoro tumefungua ofisi ili msisumbuke kutufata dar es salaam. Msimamo wetu ni ule ule kazi bora, bei nafuu! Tunauza na kufunga:- CCTV Cameras - faida ya cctv camera unafatilia matukio, unaweka kumbukumbu, inafukuza wezi n.k. Electric fence - wezi ama kiumbe chochote ambacho hutataka kivuke kuingia ndani hakitaingia hata umeme ukiwa umekatika. Alarm system - hii inatoa tafadhali kama ni moto ama chochote cha hatari. Access control - mfumo wa kisasa wa kuendesha watu wako hususani kwa maofisini. Intercom doorbell - kengele ya kishua, anayegonga sio tu utazungumza nae bali pia utamuona. Motor gate - unaamua ufungue ama ufunge geti lako kupitia remote ama kupitia simu yako! Technology hii morogoro imewafikia. Tunapatikana morogoro mjini tupigie/WhatsApp +255777139413
MAFUNDI UMEME WA MAJUMBANI MOROGORO.
Unajenga nyumba yako ama jengo lako huna haja tena ya kutufata dar es salaam, tumekusogezea huduma wakazi wa morogoro tupigie/WhatsApp +255777139413 huduma zetu tunauza vifaa na kufanya WIRING - una nyumba/jengo unajenga tunachora mchoro na kufanya wiring. AC - tunafunga hususani kwenye majengo. SUBMETER - tunafunga mbadala wa wale wasumbufu wa kununua umeme kwenye nyumba za kupanga.
SULUHISHO LA MAMBO YA IT MOROGORO.
Tunafanya networking, Telephone na mambo mengine.
09/06/2018
MKOA GANI UNAIKOSA OFFER YA DSTV!!??
Imekuwa kawaida kwa baadhi ya mikoa kuuza visimbuzi kwa bei juu na huku sababu zikiwa nyingi, hii hapa ni nafasi ya pekee kwakon niambie upo mkoa gani na unauziwa bei gani dstv.
Offer ya DStv ni kama ifatavyo:-
Tsh 79,000 vifaa
Popote dar unaletewa
Unapata na kifurushi cha mwezi
18/05/2018
ANGALIA KOMBE LA DUNIA KWA TSH 19,000 TU!

Hapa nazungumzia michuano ya kombe la dunia 2018 itakalofanyika urusi zaidi ya timu 30 kushiriki michuano hii..
17/04/2018
MAFUNDI WA DSTV
- Satellite Finder ( kwa ajili ya kutafuta signal )
- Drill Machine ( kwa ajili ya kutobolea )
- Spana zote muhimu ( kwa ajili ya kufunga )
- Nyundo
- Unataka mafundi wa kukuhamisha kwenye nyumba mpya unayohamia
- Unataka mafundi huoni picha hata namba 100
- Unahitaji mafundi kwa ajili ya Extra view
- Mafundi kwa ajili ya Explora
- Unahitaji mafundi kwa ajili ya kufunga kwenye
- > Hotel
- > Lodge
- > Bar
- > Office
- > Apartment
05/04/2018
DSTV Tsh 79,000/= | KIFURUSHI BURE | TUNAKULETEA BURE
Baada ya ile Offer kubwa iliyodumu kwa muda mrefu kumalizika..!! Bado Multichoice Tanzania imeona kuna kila sababu ya kuangalia namna ya kuwatafutia punguzo lengine ili muweze kufurahia huduma za DStv na sasa ni hii hapa kwa Tsh 79,000 tu unapata vifaa vyote pamoja na kufungiwa Tsh 20,000.. hii imerahisishwa zaidi kwa maana kuna maeneo ambayo mteja unafatwa mpaka ulipo ni wewe tu kupiga simu +255789476655 au Whatsapp+255784378129
Bei ya Tsh 79,000/= Vifaa vyote!
Kufungiwa Tsh 20,000/= na ili uweze kuona unachagua kifurushi na kulipia bofya link hapo chini:-
Kwa maelezo zaidi kama upo Instagram natumia @Mustaphamadish
30/03/2018
YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM
Iwe mtumiaji yeyote wa Azamtv, Continental, DStv, Digitek, Startimes, Ting na Zuku.
28/03/2018
STARTIMES CHANNEL 5 BURE HATA USIPOLIPIA
Kwa maelezo zaidi kama upo Instagram natumia
12/03/2018
OFFER MPYA YA DSTV INAKUFATA ULIPO!
Popote ulipo kwa Dar es salaam ikiwa unahitaji kisimbuzi ( Decoder ) ya dstv unachopaswa kufanya ni kupiga tu simu namba 0789476655 kisha kwa Tsh 79,000 tu unaletewa mpaka ulipo na kufungiwa!
- Utapata vifaa vyote kama:-
Dish
LNB
Decoder HD
HDMI cable
AV cable
Adapter
Remote + betri
Coaxial cable
- Fundi akikufungia ikiharibika ndani ya miezi mitatu anakuja kufanya repair BURE!
- Unapata kifurushi cha Compact kwa mwezi mmoja ( Tsh 44,000 )
- Unaletewa mpaka ulipo BURE!
22/02/2018
CHANNEL ZA TANZANIA NI BURE KWENYE VING'AMUZI
Ni kwamba channels zinazotakiwa kubaki hata kama kifurushi chako kimeisha ni sita ambazo ni:-
- TBC 1
- ITV
- Start tv
- Clouds tv
- Channel 10
- EATV
- Continental
- Digitek
- Startimes
- Ting
+255789476655