Call / WhatsApp +255755949413

19‏/05‏/2011

MWENDO NI ULE ULE...!!

 Wa nyumba hadi nyumba jengo hadi jengo ilihali dunia tunaileta nyumbani kwako ukiwa TV yako hata kama black n white utaifurahia...!!


Hapa ni maeneo ya sinza hapa nimeacha channel za gospel zikiendelea kama kawa ila usitishike na hiyo lebo ya DSTV ni dish tu,kutokana na ukweli kwamba dish zinaingiliana..!!

Share:

7 Unasemaje..??:

غير معرف يقول...

Mimi nipo na decoder ya GTV je naifanyaje????

غير معرف يقول...

Mimi nina dishi langu nimehama nayo toka sumbawanga mtanicharg kiasi gani kufunga,ni ile ndogo ya dstv kwa sasa nipo mpakani next week ntakuwepo huko ni mlandizi hapo.

غير معرف يقول...

Channels gani napata kwenye decoder ya GTV?

Mustapha MaDish يقول...

Channels ambazo zinapatikana kwenye decoder ya GTV ni za free zipatazo 11 zikiwemo channel za MBC..!!

Mustapha MaDish يقول...

Mwenye dish uliyetoka nayo sumbawanga je hujasahau kitu,maana swala la mwenye kuhama wengi wenye madish wanasema kila kitu kipo matokeo yake unapofika eneo la tukio,unakuta kuna mapungufu vifaa vyengine vinakosekana baada ya kuachwa lilipofunguliwa dish...!!
Bei nipigie utakapokuwa tayari..!!

غير معرف يقول...

What broad daylight isn't today?

غير معرف يقول...

What light of day isn't today?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




يتم التشغيل بواسطة Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

الاسم

بريد إلكتروني *

رسالة *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita