Call / WhatsApp +255755949413

11‏/05‏/2011

Mwanaume anasifiwa kazi...!!

Matembezi kwetu ni kama kawaida,hapa tumerejea tena kwa mdada mmoja hivi yupo maeneo ya Mbezi sala sala n mambo yakawa mswano,kana kwamba tunabomoa kumbe ndivyo twatengeneza...!!

Hii ni twin KU lnb kwa ajili ya channel za Gospel.


 Hii ni twin KU na twin C BAND,maana yake utapata channel za Local na Gospel na hiyo dish ndogo ni kwa ajili ya DSTV.

Share:

3 Unasemaje..??:

غير معرف يقول...

Habari!!
kwangu TBC siipati kabisa je ni kwanini?

غير معرف يقول...

Alafu nasikia ving'amuzi vya TBC kuna frq ukiweka mpaka za mengi zinaonekana!!

Mustapha MaDish يقول...

TBC1 inasumbua kwenye futi 6 na kama unatumia receiver ambayo sio mpg4.
Kuhusu ving'amuzi kuingia channel za mengi ni kweli ila kwa sasa hakuna kitu hicho.

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




يتم التشغيل بواسطة Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

الاسم

بريد إلكتروني *

رسالة *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita