Call / WhatsApp +255755949413

16‏/05‏/2011

UNAILINDA VIPI DISH YAKO NA MVUA..??

 Ni jambo la kawaida mtu kulinda chake ili kidumu milele,hapa tunaweza kuona jambo ambalo watu wengi ambao wanamiliki madish wanapenda kulifanya kwa kuzuia mvua.....!!
Je wewe unalindaje dish lako...??




Share:

7 Unasemaje..??:

غير معرف يقول...

Mbona kama vichekesho mkuu!!

Mustapha MaDish يقول...

Kwanini hali ya kuwa watu wanalinda vyao...!!

Noell يقول...

Kwani unaweza ukafunga chumbani na ukaona pichaa??

Mustapha MaDish يقول...

Kiukweli wadau Satellite dish imetengenezwa kuhimili hali zote mvua na jua...!!
Hivto ukiifunga ndani ama ukiifunika huwezi kuona chochote...!!
Zaidi ya yote ili uone kuna vya kufunikia vikaweza kupitisha signal.
Mf.makopo yale ya maji..!!

غير معرف يقول...

Kwa maana hata hiyo iliyo na mwamvuli haionyeshi kitu!!??

Mustapha MaDish يقول...

Hapo hakuna anachoona kutokana na lnb kuzibwa na mwamvuli na kusababisha kukata mawasiliano kati ya lnb na dish..!!

غير معرف يقول...

Dish yangu inamiezi 8 na toka kufunga sikuwahi kumuita fundi kuja,haijasumbua na wala sikuifunika kwa chochote ni vile vile ilivyofungwa.

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




يتم التشغيل بواسطة Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

الاسم

بريد إلكتروني *

رسالة *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita