Call / WhatsApp +255755949413

03‏/01‏/2018

UNAZIJUA BEI NA OFFER ZA VING'AMUZI 2018!?


Biashara ushindani hivyo kuna maboresho kila kukicha kwenye swala la kukidhi haja za wateja na leo nakuletea list ya bei za ving'amuzi kwa mwaka 2017 na jinsi ya kununua kwa bei hii:-
  • Azam tv inauzwa Tsh 135,000/= Hii bila kifurushi wala Ufundi! Ila ina Offer katika malipo! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa
  • Digitek inauzwa Tsh .......
  • DStv inauzwa Tsh 79,000/=  Hii bila Ufundi ila ina Offer ya vifurushi vya miezi miwili! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa
  • Continental inauzwa Tsh .... ya Dish na Tsh 40,000/= ya Antenna. Hii bila ufundi ina Offer ya kifurushi cha miezi..! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa
  • StarTimes inauzwa ya Dish Tsh 78,000/= na ya Antenna Tsh 34,000/= Hii bila ya Ufundi ina Offer ya kifurushi cha miezi...! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa
  • Ting HD inauzwa ya Dish Tsh 100,000/= na ya Antenna Tsh 35,000 ina Offer ya kifurushi cha miezi..! Hii bila Ufundi Bofya Hapa
  • Zuku tv   inauzwa Tsh 88,000/= Hii bila Ufundi ila ina Offer ya kifurushi cha miezi...! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa 
  • NB: Bei zote zina mabadiliko kujua bei mpya check Whatsapp+255784378129
Zijue bei za vifurushi kwenye ving'amuzi kwa mwaka 2018 
Jinsi ya kuhama kifurushi
Kuepuka Dish lako kupata kutu
Kupata Mafundi Professional
Share:

34 Unasemaje..??:

Unknown يقول...

Mbonanhujaweka bei za king'amuzi cha Ting na Digitek?

Mketo يقول...

Kipi kizuri hapo

غير معرف يقول...

Nina king'amuzi cha Star times nilikua nikitumia antena,kwa sasa nahitaji nitumie ungo wa startimes je gharama ya ufundi na kununua ungo ni sh. Ngapi? Maana decorder ipo tayari ile ya zamani

غير معرف يقول...

Nina king'amuzi cha Star times nilikua ninantumia antena ila kwa sasa nahitaji nitumie ungo je bei ya ungo ni sh. Ngapi

غير معرف يقول...

Nahitaji kupata king'amuzi cha Easy hivi bado vinafanya kazi msaada pls

Unknown يقول...

King'amuzi cha Azam Bila Dish Inakuwa bei gani

Unknown يقول...

King'amuzi cha Azam Bila Dish, Inakuwa kiasi gani

Mustapha MaDish يقول...

Tsh 105,000/=

Mustapha MaDish يقول...

Easy tv hawapo kihuduma.

Mustapha MaDish يقول...

Itakulazimu ununue complete dish+decoder kwakuwa decoder tofauti.

Unknown يقول...

Mm Nina kingamuzi cha zuku kina miaka miwili sijakitumia ni kimpya alafu akina dish je naweza kununua dishi
na kikafanya kazi

Unknown يقول...

Boss nahitaji azam tv decoder plus dish price ni hiyohiyo au kuna changes???

Unknown يقول...

King'amuzi cha startimes cha antena, je unaweza kukifungia dish la star times kikaonyesha?

warren_g يقول...

mimi nahitaji kadibyavstartimes bei gani?

Unknown يقول...

Nauliza tatizo nini nimelipia tangu tarehe 9 mwezi wa 7 ila bado sipati chanel

Unknown يقول...

778226 account namba

Salimu يقول...

Nina decoder ya wiztech mpg4 kina uwezo wa kuonesha chanel za mpira maana bado kipya sijakifunga

Baraka يقول...

Startimes bei gani

Unknown يقول...

Mkuu kingamuzi cha digitek plus kinauzwa bei gani ?

GalsportTzbet tips يقول...

Ting bado wanaonesh lig ya wingeleza

Unknown يقول...

Poa vp offer ya dekoda ya startimes

McKenje يقول...

et bei ya dikod ya startimes shingap

Unknown يقول...

Ninaomba kujua decoder ya startimes bila dishi

غير معرف يقول...

Nimependa sana maoni yawatanzania maana nimazuri yanachangamsha vema

Unknown يقول...

Kama kuna MTU anauza kingamuzi cha ting cha dish tuwasiliane

Unknown يقول...

Bei ya kingamuz cha startimes kwa sasa ni shingapi nakiitaji

Unknown يقول...

Nahitaji remote ndogo ya continental. Naweza pata? Ofisi zenu zipo wapi?

Unknown يقول...

Ting mia moja,,,yan100,000

Unknown يقول...

EPL,,,chukua dstv

Unknown يقول...

Njoo nikupatie

Unknown يقول...

Habari naomba kujua bei ya star time kwa mwaka 2019 ni shingap pamoja na dish lake yan full

غير معرف يقول...

Bila dish kwan king'amuz kinaweza kuonesha????????
Na je kingamuz ambacho hakitumii dish chenye antena ndogo kama startimes vip??????

Unknown يقول...

Naomba kujua Bei za king'amuzi Cha startimes

Unknown يقول...

Habari, naomba kujua Bei za king'amuzi Cha startimes

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




يتم التشغيل بواسطة Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

الاسم

بريد إلكتروني *

رسالة *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita