Call / WhatsApp +255755949413

29‏/08‏/2017

DSTV YASHUSHA BEI ZAIDI | VIFURUSHI 2018


Habari njema kwa wadau wa kabumbu na wateja wote wa DStv kiujumla! Hii ni bei ilianza tarehe 1 mwezi wa 9 mwaka 2017 bei ambayo ni kama ifatavyo kwa Vifurushi vyote vya DStv:-
1.Premium kutoka 184000 mpaka 169000/= tu!
2.Compact Plus kutoka 122500/= mpaka 109000/= tu!
3.Compact kutoka 82,500/= mpaka 69,000/= tu!
4. Family kutoka 42,900/= mpaka 39,000/= tu!
5.Bomba kutoka 19,975/= mpaka 19,000/= tu!
Kwa Maelezo zaidi +255789476655
Whatsapp +255784378129
Share:

38 Unasemaje..??:

Felix Ajuna يقول...

Kuna haja ya kupunguza tena bei za vifurushi Hali ngum mtaani
Vibanda umiza vimeanza kufungwa

Unknown يقول...

Hii iko vizuri,Ila ishuke iendane na kipato cha mtanzania was kawaida.

Unknown يقول...

Ukilipia kifurushi cha premium mwaka mmoja ni sawa nakujenga nyumba ya vyuumba vitatu standard kuweni makini pesa ya sasa ngumu tunapenda lakini kwa bei hizo wacha tukomae na zuku

غير معرف يقول...

namba za simu tunapiga mpaka tunakoma hampokei hata sijui kwa nini mimi nilitaka kuuliza kifurushi cha shilingi elfu kumi na tisa nitaona kombe la dunia

Unknown يقول...

Je kuangalia world cup inabidi ninunue dstv ya sh ngapi ? Ya chino kabis!

غير معرف يقول...

Waongeze maudhui kama ligi kuu ya Tanzania. Dstv itanoga sana na tutasahau ving'amuzi vingine kabisa

Unknown يقول...

bei ya dstv sh ngapi?

Unknown يقول...

bei ya dstv sh ngapi?

Unknown يقول...

bei ya ving'amuzi zinatofautiana
1. Kunaking'amuzi kinaitwa HD5 au zapa set nzima ni sh. 79000 kumjumlisha na ufundi wao wa kuhaminika ni sh 20000
2. King'amuzi kinachoitwa explorer set nzima ni sh 321000 pamoja na ufundi wetu ya kuhaminika ni sh 30000. Karibu kwa maswali zaidi

Unknown يقول...

Dstv ina ving'amuzi 2
1. HD5 au zapa ambayo bei yake ni sh. 79000 na ufundi wetu wa kuaminika ni sh 20000 tuu
2. Explorer ni king'amuzi kingine ambacho full set ni sh. 321000 ufundi ni sh 30000. Karibu

Unknown يقول...

Dstv ina ving'amuzi 2
1. HD5 au zapa ambayo bei yake ni sh. 79000 na ufundi wetu wa kuaminika ni sh 20000 tuu
2. Explorer ni king'amuzi kingine ambacho full set ni sh. 321000 ufundi ni sh 30000. Karibu

Unknown يقول...

Tunaomba muone namna ya kuonesha ligi kuu ya bongo, na klabu bingwa Afrika kuanzia mwanzo. Kuna hatua zile za mwanzo hatuzioni kwenye klabu bingwa Afrika.

Unknown يقول...

Tunaomba muone uwezekano wa kuonesha ligi ya bongo, pia klabu bingwa afrika muanze kutuones

Unknown يقول...

Hjgg

Unknown يقول...

Bei yenu iko juu sana punguzeni tunapenda mpira ila so kwa bei hiyo

Unknown يقول...

Chanel gani ina yo onyesha lig ya England nataka ikua hy chanel

Unknown يقول...

Jamani kitaaa sio,,Dstv tafadhali kifurushi cha 109000/= punguzeni jamani.

Unknown يقول...

Jamani kitaaa sio,,Dstv tafadhali kifurushi cha 109000/= punguzeni jamani.

Unknown يقول...

Mna huduma nzuri dstv

Unknown يقول...

Nimeipendasana data

Unknown يقول...

Tatizo n nn mbona kifurush nmenunua lakin all channel hazioneah bado

Unknown يقول...

Kifurushi cha 69000/= kina ssp ipi na ipi na je kitaonyesha
epl ?

Unknown يقول...

nawakubali sana dst mungu awatangulie

غير معرف يقول...

Kuna haja ya kuwa vifurushi vya muda mfupi, kama wiki moja hivi ili kukidhi mahitaji ya wateja kwa muda mfupi, kwa mfano, kama mteja anatarajia kusafiri kwa muda mrefu zaidicya mwezi mmoja lakini anahitaji huduma ya dstv kabla hajasafiri

Unknown يقول...

Tunaomba kujua local channel zinarudi lini maana tunalipia bila ya kupata hixo channel imekuwa kero kwetu

Unknown يقول...

Tunapenda huduma zenu ila mpo Juu sana kama ndege ya magu

Unknown يقول...

Naomba kufunguliwa account no nazani mmenifungia

Unknown يقول...

Naomba kujua tofauti ya ving'amuzi vyenu yaani HD5 na explorer

Unknown يقول...

Kujana usilete matatizo yako hapa... Hiyo sio ugonjwa kama huwezi kumiliki dstv waachie wenzio. #dstv

Unknown يقول...

😁😁😁

Unknown يقول...

Huduma nzur bt haiendan na uchumi wa mtanzania

غير معرف يقول...

Hey There. I found your blog the usage of msn. That is
an extremely neatly written article. I'll make sure to bookmark it
and return to learn extra of youjr helpful information. Thanks for the post.

I will certainly comeback.

Unknown يقول...

Mimi ni mteja mpya naomba unisaidie namna ya kufanya malipo, na kujua vifurushi vyenu..

Unknown يقول...

Napataje kadi ya dstv maana ya kwangu imepotea? Nijibu kuipitia mtalemwarichard@gmail.com

Unknown يقول...

Sasa mbona icho kifurushi cha 19000 akijashuka maana tulikuwa tunalipia bei iyo iyo

Unknown يقول...

Kifurushi cha 19000 akijashuka toka zamani tunalipia iyo iyo alafu mnasema mmeshusha

Sirjune vitus simfukwe يقول...

DStv ni bomba Sawa lakini bei zake ni changamoto kwa watanzania wengi, kama wanataka kupata ukweli wajaribu kuangalia idadi ya walio na ving'amuzi halafu waangalie ni wangap wanalipia mara zote.
Kiufupi vifurushi vishuke bei tena.
Mambo magumu

Sirjune vitus simfukwe يقول...

Shusheni bei kidogo

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




يتم التشغيل بواسطة Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

الاسم

بريد إلكتروني *

رسالة *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita