Call / WhatsApp +255673378129

Feb 22, 2018

CHANNEL ZA TANZANIA NI BURE KWENYE VING'AMUZI

Imekuwa kuna kuulizwa kila siku na watumiaji wa ving'amuzi ni kwanini local channel hazibaki kwenye ving'amuzi baada ya kifurushi alicholipia kuisha, wakati huo huo ving'amuzi vyengine channels za local zinabaki!
Ni kwamba channels zinazotakiwa kubaki hata kama kifurushi chako kimeisha ni sita ambazo ni:-
  1. TBC 1
  2. ITV
  3. Start tv
  4. Clouds tv
  5. Channel 10
  6. EATV
Kwa ving'amuzi vinne tu ambavyo ni:-
  • Continental
  • Digitek
  • Startimes
  • Ting 
Ikiwa kuna tofauti yeyote unayoipata inayopingana na taarifa hii unapaswa kutoa taarifa kwa mamlaka husika kwa kufata utaratibu huu:-
 Kama una swali lolote piga
+255789476655
Kuanzia saa 2:00 asubuhi - saa 2:00 usiku
Share:

Feb 15, 2018

Follow page yetu Instagram @mustaphamadish


Follow @mustaphamadish
Kwa habari zote za ving'amuzi ( Visimbuzi ) vya Tanzania kama:-
  • Azamtv 
  • Continental 
  • DStv 
  • Digitek 
  • Startimes 
  • Zukutv 
  • Ting n.k vya bure na kulipia..
Kujua:-
  • Bei
  • Offer zilizopo
  • Vifurushi
  • Msaada kiufundi
  • Kununua
  • Ushauri na mengineyo yote
  • Kama upo Instagram page ni moja tu @mustaphamadish 
 Kwa maelezo zaidi Call/Text/Whatsapp +255789476655
Share:

KING'AMUZI KITAKACHOONYESHA AFCON 2019 MECHI ZOTE


Ikiwa tunaelekea kwenye mashindano ya mataifa ya Africa AFCON kuna jambo la muhimu ambalo unapaswa kulijua ni king'amuzi gani kitaonyesha mechi zote live kutoka Egypt...!!??
King'amuzi kilicho na idhini ya kuonyesha mechi zote ni kimoja tu DStv!
Kama tayari unacho ni kulipia tu kuanzia kifurushi cha Tsh 19,000/= ama kama hauna ni kupiga simu namba 0637985436 na unaletewa mpaka ulipo!!
 Bei ilekezi ni kama ifatavyo:-
Vifaa Tsh 99,000
Ndani yake unapata kifurushi cha Tsh 69,000 COMPACT!
Kufungiwa ni Tsh 20,000 tu!
Ukiwa na 119,000/= Unapiga tu simu fundi anakuja na kila kitu!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita