Call / WhatsApp +255755949413

Showing posts with label Antenna ya StarTimes. Show all posts
Showing posts with label Antenna ya StarTimes. Show all posts

Jun 30, 2016

KUFUNGA DISH NDOGO ( KU DISH INSTALLATION )

Kwakuwa karibu Ving'amuzi vyote Tanzania vinatumia Dish ndogo leo niwape kasomo haka alau mwenye kujaribu na ajaribu atakapopata wasaa!! Fanya haya ili uweze kufunga Dish ndogo:- 1.Dish Antenna Assembly: - Unganisha kifaa kimoja kimoja kama karatasi ya maelekezi inavyoonyesha...
Share:

Apr 15, 2016

AV CABLE NI NINI!?

A inasimama badala ya Audio - Sauti V inasimama badala ya Video - Picha Zinakuwa nyaya tatu zenye rangi tatu tofauti:- Nyekundu - Sauti Kulia Nyeupe - Sauti Kushoto Nyano - Picha Hivyo tafsiri nyepesi ni kwamba AV CABLE ni waya unaosafirisha Sauti na Picha kutoka kwenye...
Share:

Nov 23, 2014

OFFER YA STARTIMES TSH 59000/=

Tarehe 24/11/2014 rasmi offer inaanza kwa wateja wote wapya! Hii inakuwa inajumuisha na malipo ya mwezi mmoja! Swai ambalo ungetamani kuniuliza ni je Startimes hiyo ni ya Dish ama Antenna! Jibu ni kwamba hii ni offer kwa Startimes ya Antenna! Wakati ni wako kuchangamkia...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413