Call / WhatsApp +255673378129

Sep 7, 2017

PENDA UNACHOFANYA..


ILI UFANIKIWE...  NIMEJIFUNZA KUZINGATIA MOJA KATI YA VITU MUHIMU.. NI KUPENDA UNACHOFANYA..
..... Hapa siangalii sana napata bei gani ingawaje pesa ndio ambayo hasa tunaitafuta.. Nna mengi ya kuzungumza hapa ila leo somo liwe moja tu kwa Vijana wenzangu na wote ambao mnataka kupata mafanikio katika kile mkifanyacho... Mpende mnachokifanya.. Ukipenda unachokifanya utakifanya kwa juhudi zako zote na wala hautaangalia wanaokukwamisha wanazidi kila kukicha.. Nilipoanza ilikuwa kama utani isipokuwa kwakuwa nilikuwa na mapenzi ya dhati na kazi yangu hivyo wala sikukata tamaa.. nilisimamia ninachokiamini na kujifunza zaidi.. mpaka leo hii idadi ya wanafunzi nilionao wala hakuna ulazima wa mimi kwenda site tena kufunga hata kadishi kamoja.. ningewatuma na bado kupitia wao ningeingiza pesa... Lakini katika vitu nisivyovipenda ni kukaa ofisini... mimi napenda muda wote kuwa site na ndo sababu mpaka leo hii utakapopata wasaa wa kutembelea office yetu ni mara chache sana kunikuta kwa Office nimekaa!
Share:

Sep 3, 2017

BEI & VIFURUSHI VIPYA AZAM TV

 

AZAM LITE
Tsh 10,000/=
Channels 55+
Kujua Channel zilizopo Bofya Hapa

AZAM PURE
Tsh 18,000/=
Channels 60+
Kujua channel zilizopo Bofya Hapa

AZAM PLUS
Tsh 23,000/=
Channels 90+
Kujua channel zilizopo Bofya Hapa

AZAM PLAY
Tsh 28,000
Channels 105+
Kujua channels zilizopo Bofya Hapa

Kwa Maelezo zaidi
Insta @mustaphamadish
+255789476655
Whatsapp +255784378129
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita