
Hili ni mojawapo kati ya maboresho ya kampuni ya Azam Media kupitia king'amuzi chake cha Azam tv..
Awali kulikuwa na vifurushi kama vitano hivi ambapo ni:-
AZAM PURE PACKAGE tsh 12,000/=
AZAM PLUS PACKAGE tsh 20,000/=
AZAM PLAY PACKAGE tsh 25,000/=
AZAM SPORTS HD PACKAGE...