Call / WhatsApp +255755949413

Showing posts with label Hotel Installation. Show all posts
Showing posts with label Hotel Installation. Show all posts

Nov 23, 2017

DISH 3 | DECODER & RECEIVER 18 | CHANNELS 18 | KWA KILA TV

Hotel - Tv system installation:-  Hii ni hotel ina flow zipatazo tano ina zaidi ya room 50, ina ukumbi wa mikutano,sherehe, ina restaurant, ina bar na kuna sehemu ya Disco pia. Hapa tulichofanya ni kufunga tv ambazo ni zaidi ya 60 tv ambazo kila moja inapokea channels...
Share:

Aug 9, 2017

KUPATA CHANNELS ZA BURE KWENYE HOTEL/LODGE

 Ili uweze kupata channels za Local ( Tanzania ) kwa kupata habari na vipindi vya nyumbani bila kufanya malipo ya mwezi,hapo hapo kila tv ikijitegemea yenyewe bila kuingiliana na nyengine kwa kila chumba,huku idadi ikiwa kuanzia channel sita ( 6 ) na kuendelea,unapaswa...
Share:

Jul 22, 2015

HOTEL TV SYSTEM INSTALLATION

TV INSTALLATION Mapendekezo ni ya mteja kwa maana mmiliki wa hotel/sehemu yeyote husika  kwamba tv zikae ukutani ama mezani,kazi yetu ni kutoa ushauri kwa jinsi mazingira yalivyo,je muonekano mzuri ni upi tv kukaa mezani ama ukutani? ingawaje mara nyingi tv kukaa ukutani...
Share:

Jun 29, 2013

TRANSIT MOTEL TENA!

TRANSIT MOTEL AIRPORT  Nilianzia pale uwanja wa ndege na kisha nikaenda fanya ya kupendeza palee njiapanda ya sitakishari! Kazi niifanyayo ndo inapelekea mwengine akosolewe maana huwa lazima mteja awe nae kama fundi penye tatizo namsomesha mpaka anaelewa n...
Share:

Jun 6, 2011

Transit Motel Airport

 Baada ya kusababisha Transit Motel ya ukonga kazi ikahamia Transi Motel ya air port na kazi ikawa ni moja tu kufanya TV zionyeshe kwa uzuri ili mteja aweze kidhi haja yake kwa kile anachotaka kukiona..!! Nikaanza ingia...
Share:

May 31, 2011

TRANSIT MOTEL Ukonga kama kawa kama dawa...!!

 Ilinichukua siku mbili kufanya nilichofanya na kuacha TV za vyumba vyote zikiwa clear kabisa..!! Inaitwa TRANSIT MOTEL hii ipo ukonga pale njia panda ya kwenda segerea..!!  Hiki ni chumba kimojawapo kati ya vyote nilivyopita pita na kuacha TV za vyumba vyote...
Share:

May 28, 2011

BAHARI LODGE nimesababisha..!!

Ilikuwa Alihamisi na Ijumaa nilikuwa pale maeneo ya Bahari beach,wenyewe wanapaita njia panda ya kwenda bahari beach hotel dar es salaam,hapa kuna lodge moja ya kisasa safi sana inaitwa BAHARI LODGE..!! Issue ilikuwa Local hazionyeshi kwa TV zote nami nilihitajika...
Share:

Nov 21, 2010

C Band Single Solution Cable!!

 Hii ni kwa wale wanaokaa sehemu zenye shida kupatikana Signal,kama mabondeni,karibu na minara ama wamezungukwa na mitambo mitambo!! C band hii hutumika kwenye Dish ya C band tu ijapokuwa kuna KU ambazo zinahimili interference pia kama ilivyo hii isipokuwa mara nyingi...
Share:

Oct 10, 2010

GERAFFE VIEW HOTEL - DAR

Kwenye ukumbi ambao upo baharini wanapaita JET 1,kilichotakiwa hapa ni kufunga Flat Screen na Dstv,nami bila hiyana kama kawaida ile mikono salama ukafanya yake! * Geraffe View Hotel (DSTV)  Katika ukumbi huu wa JET 0ne As usually.  Nafunga...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413