Call / WhatsApp +255673378129

Oct 10, 2022

CODE ZA VISIMBUZI TANZANIA

Kila kisimbuzi kina CODE yake katika kurahisisha mteja kuweza kujihudumia mwenyewe pasipo kuwasiliana na huduma kwa wateja, kutokana na ukweli kwamba kuna huduma nyengine sio lazima upige simu, hivyo tumia CODE hizi  kwa kubofya kwenye simu yako kisha itakuletea muongozo ambao utaufata ila sharti la kwanza lazima uwe na account namba ama smartcard namba na pindi unapoona haijawa msaada kwako ndipo upige huduma kwa wateja kwa msaada zaidi..

CODE ya Azamtv *150*50*5#

CODE ya DStv *150*53#

CODE ya Startimes *150*63#

Kwa msaada zaidi 

+255658046655 Call/WhatsApp 

Share:

Oct 6, 2022

CHANNEL GANI UNAITAKA KWENYE TV YAKO!?


 TV inaweza ikakufanya uizunguke dunia.. popote utakapotaka kujua yanayojiri unaweza ukayajua ukiwa na remote yako tuu.. maamuzi ni yako..

Tuambie channels gani ama channels za nchi gani unataka kuangalia!?

Tutakwambia inapatikanaje na tutaifungaje!?

Check nasi WhatsApp +255658046655


Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita