Kila kisimbuzi kina CODE yake katika kurahisisha mteja kuweza kujihudumia mwenyewe pasipo kuwasiliana na huduma kwa wateja, kutokana na ukweli kwamba kuna huduma nyengine sio lazima upige simu, hivyo tumia CODE hizi kwa kubofya kwenye simu yako kisha itakuletea muongozo ambao utaufata ila sharti la kwanza lazima uwe na account namba ama smartcard namba na pindi unapoona haijawa msaada kwako ndipo upige huduma kwa wateja kwa msaada zaidi..
CODE ya Azamtv *150*50*5#
CODE ya DStv *150*53#
CODE ya Startimes *150*63#
Kwa msaada zaidi
+255658046655 Call/WhatsApp