Call / WhatsApp +255673378129

Mar 30, 2018

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM



Habari mdau wa Digital tv kiujumla!
Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati naomba tusameheane kwa kuwa majukumu nayo yamekuwa meengi na sio muda wote napitia hii blog, hivyo naomba niwape njia nyepesi ambayo nitakuwa naona maoni yenu kwa wakati na kuyajibu kwa yanayotakiwa majibu.
Iwe mtumiaji yeyote wa Azamtv, Continental, DStv, Digitek, Startimes, Ting na Zuku.
Kwa walio INSTAGRAM natumia @Mustaphamadish nifollow kisha uliza chochote kuhusu king'amuzi chochote na utajibiwa kwa wakati!

Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita