Call / WhatsApp +255755949413

Showing posts with label azam tv decoder. Show all posts
Showing posts with label azam tv decoder. Show all posts

Apr 15, 2016

AV CABLE NI NINI!?

A inasimama badala ya Audio - Sauti V inasimama badala ya Video - Picha Zinakuwa nyaya tatu zenye rangi tatu tofauti:- Nyekundu - Sauti Kulia Nyeupe - Sauti Kushoto Nyano - Picha Hivyo tafsiri nyepesi ni kwamba AV CABLE ni waya unaosafirisha Sauti na Picha kutoka kwenye...
Share:

Mar 27, 2015

VIFURUSHI VYA AZAM TV | AZAM TV PACKAGES

Awali hakukuwa na mfumo huu wa vifurushi ila kutokana na uendeshaji na kutafuta maboresho imepelekea kuanza mfumo huu wa vifurushi,katika kumbukumbu za wengi ndicho king'amuzi kilichokuwa quality,channels nyingi ila malipo ya mwezi ni madogo! Hivi ndivyo vifurushi vya...
Share:

Mar 1, 2015

BEI MPYA YA AZAM TV TSH 135,000/=

Hii ni kwa wateja wapya ambao wanataka kujiunga na azam tv,bei ya vifaa ni tsh 135,000/= hii namaanisha bila ufundi wala kifurushi! Ili kufurahia huduma za azam tv inakupasa kufata utaratibu huu:- VIFAA tsh 135,000/= Inajumuisha Dish ikiwa na LNB,,Decoder ikiwa na smart...
Share:

Jan 9, 2015

KIFURUSHI CHA AZAM PLAY | AZAM PLAY PACKAGE | TSH 28,000

Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha azam play:- Kuna zaidi ya channel105 Sony Max UK Sony Channel UK Universal TV BBS TV Clouds Plus Royal TV Rwanda BET MSNBC National Geographic Wild Baby TV Fox News Clouds TV Rwanda Salam TV Magic One Channel...
Share:

Jan 4, 2015

KIFURUSHI CHA AZAM PLUS | AZAM PLUS PACKAGE | TSH 23,000

Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha azam plus:- Kuna zaidi ya channel 54 Universal TV BBS TV Royal TV Rwanda BET National Geographic Wild Baby TV Clouds TV Rwanda Salam TV Magic One Channel 44 ASTV (Africa Swahili TV) Boing Africa News Spark TV...
Share:

Nov 14, 2014

AZAM TV | UBUNGO FLAT

Hapa bada niwe tu mkweli,awali nilikuja kufunga Continental ya Dish ila mteja wangu huyu alinunua mwenyewe Decoder ambapo dish alikuwa nayo nilichofanya ni kufanya yangu ili Channel za Continental ziweze kumwagika bila chenga! Yap nikafanya ya kufanya zikajaa ambapo idadi...
Share:

Oct 26, 2014

UNATAKA AZAM TV? | TUNAKUFATA | UNALIPIA | UNAFUNGIWA PAPO HAPO!

Hapa tunazungumzia malipo ya mwezi ni Tsh 12500/= Unapata jumla ya channel 60. Ukitaka kuzijua bofya hapa Huduma hii inaweza kukufata popote ulipo ndani ya dar es salaam na malipo ukafanyia nyumbani ama mahali ulipo kabla ya kufungiwa king'amuzi chako. Hii itakurahisishia...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413