Call / WhatsApp +255673378129

Jan 21, 2018

STARTIMES KUWEKA CHANNEL ZA DSTV NA AZAM TV


Niliwahi kupata swali kama hili na nilishawahi kuona matangazo sehemu kadhaa mitandaoni ya kuwa kama unatumia king'amuzi cha Startimes tunaingiza channel za Azam tv na DStv na tangazo lengine kama unatumia king'amuzi cha azam tv unaingiziwa channel za DStv na Startimes pia....
Matangazo ni ya wengine lakini huwa nafatwa mimi ili kuthibitisha hili kwakuwa najua uthibitisho wangu ni msaada wa watanzania na wasio watanzania wengi sana..
Licha ya kuwa matangazo wanatoa wengine na namba zao ni nyengine tofauti na namba zangu, wanaotaka kuwahudumia wakiwabana zaidi kwa maswali ama ikitokea tofauti yeyote wanawaelekeza wapitie blog hii kwakuwa ndiye muhusika huyo huyo..
Huko nyuma niliwahi kulalamikiwa hili kwa wahusika kunihusisha na jambo hili ila kuna issue ilikuwa imenibana sana hivyo nikakosa muda wa kuandaa post na mwishowe nikawa kama nimekaa kimya ila nashukuru hivi karibuni kuna jamaa mmoja ambaye ni Fundi MaDish yeye anapatikana kawe, mambo ya ufundi kuzidiana ni jambo la kawaida sana na yeye alijua amezidiwa hivyo akataka kupata kitu ambacho yeye hakifahamu lakini katika kumbana bana ndipo jamaa akamuelekeza apitia kwenye blog hii ili apate ufafanuzi zaidi kwakuwa ndiye yeye maana yake ndiye mimi...
Kwa bahati baada ya kupitia humu akaona kuna utofauti mmoja wapo ni namba ya simu ndipo alipoona bora kunipigia kuendeleza yale maongezi lakini ikawa kama tunaanza upya hivi... ndipo akanieleza yoote..
UKWELI NI:-  Sihusiki na chochote kuhusu huduma hii ya kuingiza channel za Azam tv na DStv kwenye king'amuzi cha Startimes wala kuingiza channel za king'amuzi DStv kwenye Azam tv..
Hakuna huduma hii kama ambavyo wanatoa matangazo wahusika, asilimia 100 unaibiwa, ukituma pesa UMEIBIWA.
Wizi - Ikitokea imegundulika na DStv, Azam tv ama StarTimes unakamatwa wewe uliyewekewa ama unataka kuwekewa na yule muwekaji wa hizo channel. Wahusika wanaojitangaza wanatoa huduma hizi wanajua na ndo maana hawasemi wanapatikana wapi badala yake wanajifanya kumaliza kila kitu kwenye simu..



+255789476655
Insta @mustaphamadish
Share:

Jan 7, 2018

CHEAP CCTV CAMERAS INSTALLATION

Dunia imebadilika siku hizi ukiachilia umuhimu wa cctv cameras ni kupata ulinzi pia inakujuza kwa urahisi kinachoendelea muda ambapo wewe haupo na zuri zaidi unaweza ukapata kuona kinachoendea hata ukiwa nje ya nchi..
Tupo dar es salaam isipokuwa popote ulipo tanzania tunafanyakazi..
bei zetu ni nafuu sana..
wasiliana nasi kwa  Whatsapp+255784378129 / Call +255789476655
Insta @mustaphamadish


Share:

Jan 3, 2018

UNAZIJUA BEI NA OFFER ZA VING'AMUZI 2018!?


Biashara ushindani hivyo kuna maboresho kila kukicha kwenye swala la kukidhi haja za wateja na leo nakuletea list ya bei za ving'amuzi kwa mwaka 2017 na jinsi ya kununua kwa bei hii:-
  • Azam tv inauzwa Tsh 135,000/= Hii bila kifurushi wala Ufundi! Ila ina Offer katika malipo! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa
  • Digitek inauzwa Tsh .......
  • DStv inauzwa Tsh 79,000/=  Hii bila Ufundi ila ina Offer ya vifurushi vya miezi miwili! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa
  • Continental inauzwa Tsh .... ya Dish na Tsh 40,000/= ya Antenna. Hii bila ufundi ina Offer ya kifurushi cha miezi..! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa
  • StarTimes inauzwa ya Dish Tsh 78,000/= na ya Antenna Tsh 34,000/= Hii bila ya Ufundi ina Offer ya kifurushi cha miezi...! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa
  • Ting HD inauzwa ya Dish Tsh 100,000/= na ya Antenna Tsh 35,000 ina Offer ya kifurushi cha miezi..! Hii bila Ufundi Bofya Hapa
  • Zuku tv   inauzwa Tsh 88,000/= Hii bila Ufundi ila ina Offer ya kifurushi cha miezi...! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa 
  • NB: Bei zote zina mabadiliko kujua bei mpya check Whatsapp+255784378129
Zijue bei za vifurushi kwenye ving'amuzi kwa mwaka 2018 
Jinsi ya kuhama kifurushi
Kuepuka Dish lako kupata kutu
Kupata Mafundi Professional
Share:

Jan 2, 2018

BEI ZA VIFURUSHI KWENYE VING'AMUZI


Leo nakuletea bei ya orodha ya ving'amuzi ( Visimbuzi ) vyote Tanzania, pia utapata kujua idadi ya channels kwa kila kifurushi, naamini hii itakusaidia kujua kifurushi kipi ili ufanye malipo, ambacho naweza kukwambia liwe kama angalizo wakati unafanya malipo washa kwanza kisimbuzi chako, kisha ndipo ufanye malipo.
Chagua king'amuzi chako kwenye orodha kisha bofya itakupeleka mojakwamoja:-
Instagram natumia @mustaphamadish

Tumaini langu ni kwamba kwa uchache huu nimekurahisishia kitu, katika kutaka kujua bei na idadi ya channels.. Kama una Swali, Maoni, Ushauri ama chochote niandikie kwenye ukurasa wa Comment, nifollow instagram @mustaphamadish kama unahitaji private niandikie kwenye Email: mustaphamadish@gmail.com
Call/Text +255789476655
 
Share:

Jan 1, 2018

JE KOPO LINASAIDIA KIPINDI CHA MVUA!?

"Kwenye Kisimbuzi ( King'amuzi ) kinachotumia Dish kufunika lnb kwa KOPO hakusaidii chochote katika kufanya Kisimbuzi chako kisisumbue wakati wa MVUA..."
Tukirejea nyuma kidogo hata waliotengeneza SET ya dish waliangalia kama maisha ya dish ni ya kukutana na mvua na jua,hivyo wakatengeneza katika kuhimili hali zote mbili bila kushauri ama kuengeneza makopo ili yaweze kufunika lnb..
Binafsi lawama zangu kwa mafundi, kwa kuacha kutumia plastic cover ya lnb ambayo inasaidia kufunika coaxial cable inapofungwa kwenye lnb ili maji yasiweze kuingia kwenye lnb/cable na kusababisha short n.k. 

Kupata ushauri na mambo yote yanayohusu Visimbuzi tukutane Insta
@mustaphamadish Kupata MAFUNDI WA KUFUNGA VISIMBUZI/MADISH aina zote kwenye GUEST, LODGE, HOTEL, APARTMENT, OFFICE na MAJUMBANI kwa usafi na ubunifu wa hali ya juu, wasiliana nasi!
BAADHI YA SEHEMU TULIZOFUNGA NI:-

  • KING D HOTEL
  • TRANSIT MOTEL
  • JB BELMONT HOTEL
  • BONDENI HOTEL
  • TUCTA HQ
  • PSPF HQ
  • IKULU - OFFICE YA WAZIRI MKUU
  • JAMII FORUM OFFICE - Ilipokuwa sinza
  • CRDB BANK - mlimani city, Lumumba, Mikocheni n.k
  • DTB BANK - HQ n Magomeni branch
Uzoefu wa kazi ni zaidi ya miaka 10, tukisimamia kazi safi, 
bei nafuu na ubora ni zaidi ya wengine.
 
MAWASILIANO:-
Call/ Text 0789476655
Whatsapp +255784378129
Instagram @mustaphamadish
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita