Call / WhatsApp +255673378129

Nov 27, 2017

ZIJUE OFFER ZA VING'AMUZI 2017 KUELEKEA 2018

Tunaelekea katika kumaliza mwaka 2017 na tunategemea kuingia mwaka 2018, yapo mengi ambayo kupitia blog hii umefaidika kwa hali yeyote ile kama ndivyo tunashukuru kwakuwa ndio lengo letu, lakini pia nadhani yapo yaliyokukera kupitia blog hii kama ndivyo tunasikitika na kukuomba radhi pia maana sio lengo letu na ukizingatia hata kama itatokea unafanya jambo zuri vipi sio wote watakaopendezwa nalo kwa kuzingatia wapo ambao lengo lao ni kuharibu tu ama kutengeneza njia ya kufanya vibaya.. Zaidi ya yote shukrani kwa wale wote walio pamoja nasi kwa mwaka mzima na hata hapo miaka ya nyuma maana bila ninyi wala mimi na team yangu tusingefika hapa na isingezaliwa MADISH TECHNOLOGY.
Leo nawaletea orodha ya ving'amuzi vyenye offer katika msimu huu wa kumaliza mwaka 2017:-
 Bofya king'amuzi ambacho unataka kujua offer yake na utapata maelezo ya kina kuhusu offer hizo!
+255789476655 
Whatsapp+255784378129
Insta @mustaphamadish 
Share:

Nov 23, 2017

DISH 3 | DECODER & RECEIVER 18 | CHANNELS 18 | KWA KILA TV


Hotel - Tv system installation:- 
Hii ni hotel ina flow zipatazo tano ina zaidi ya room 50, ina ukumbi wa mikutano,sherehe, ina restaurant, ina bar na kuna sehemu ya Disco pia. Hapa tulichofanya ni kufunga tv ambazo ni zaidi ya 60 tv ambazo kila moja inapokea channels 18 na kila tv inajitegemea,nikiwa na maana mtumiaji anaweza akabadili channel bila kumuingilia mwengine ( tv nyengine ).




Mfumo uliotumika
  Baadhi ya Vifaa vilivyotumika:-
  • Dish ya FTA
  • Receiver kwa channel za Free
  • Dish ya DStv
  • Decoder za DStv
  • Dish ya Azam tv
  • Decoder za Azam tv
  • Signal Ampl.
  • Splitters
  • Multiswitch
  • Cable 
  • Connectors


Dish zimefungwa tatu, mbili zikiwa ni za kulipia na moja ikiwa ni ya channel za bure,Signal inayotoka kwenye Dish inaingia moja kwa moja kwenye chumba maalum, ambapo tunaita control room, sehemu ambayo decoder na receiver zote 18 zinafungwa hapo na sehemu kubwa ya mfumo mzima unafungwa hapo, kisha zinatoka cable ambazo zinakuwa zimebeba channel 18 na zote zinaishia kwenye tv ambazo zipo vyumbani na kwengineko kwenye jengo la hotel.

Hii ni Control Room sehemu ambayo ile connection muhimu yote tumeimaliza hapa

Kwa maelezo zaidi +255789476655
Whatsapp+255784378129
Face Book


Share:

Nov 11, 2017

TUNATENGENEZA UTOFAUTI NA WENGINE

Mwaka unaishia yapo yaliyoenda sawa na yapo ambayo yamezidi kwenda kombo, hapa nazungumzia ulimwengu mzima wa Digital tv, ulimwengu ambao umekuja na fursa kwa namba kubwa kwetu sisi vijana lakini pia kuna changamoto ambhata ambazo zinawakabili wote wanaohusika na mulimwengu huu wa Digital tv... zipo zilizopata utatuzi na zipo ambazo zinaonekana zinaenda kutatuliwa na hapo hapo zipo ambazo hata dalili kama zitakuja kutatuliwa hakuna... Mimi na team yangu kila kukicha tunajitahidi kuwa tofauti na wengine, yaweza kuwa walitutangulia ama wametukuta.. tumelifanya hili kwa uchache ingawaje pongezi tunazozipata inaonyesha walionufaika ni wengi sana kupitia uwanja huu..
Panapo majaaliwa mwakani tutafanya makubwa zaidi na kuwafikia hata ambao hawana uwezo wa kufika humu sisi tutawafikia.!!


 #MustaphaMaDish na zao lake #FundiMakini
Hivi kweli Fundi unafanyaje kazi chafu kama hii!!?? kuna baadhi ya mafundi wengine wamepata ajira kabisa makampuni makubwa yenye kuendesha huduma hizi za Digital tv lakini wanafanya kazi chafu na wanafikia hatua ya kupiga picha na kuzipost kwenye mitandao... mimi ama sisi huwa tunawaita kina #FundiKalipua mbioni kuja na Signal Quality tv
 








Aliyefunga hapa ni #FundiKalipua sio #FundiMakini Toka #MaDishTechnology
Whatsapp +255784378129
Share:

WAKATI MWENGINE TUNAZUNGUMZIA KAZI KWA SURA NYENGINE

 Eneo ni Hotel ya Sea Cliff ndani ya mgahawa wa Karambezi, robo 3 ya wateja wa mgahawa huu ni ngozi nyeupe na lugha itumikayo kwa wengi wa wateja wa hapa ni kiingereza na hivyo hata mazingira huwa kama sio Tanzania hivi...
Kwa mwezi wa 10 imekuwa ni sehemu ambayo nimetembelea zaidi ya mara 12 kwa nyakati tofauti ingawaje ilikuwa tunakula na kunywa lakini kikubwa ilikuwa ni kwa mazungumzo maalumu ya kikazi zaidi isipokuwa kwa sura nyengine na siku ya 12 mtu wa mwisho kufanya nae mazungumzo alikuwa ni Gabo na Deo.
Naweza kusema kila jambo ama hatua upigayo shukuru Mungu kwakuwa yeye ndiye anayekuwezesha!
Alhamdullah!



mustaphamadish@gmail.com

Share:

Nov 5, 2017

OFFER YA STARTIMES 2017 KUELEKEA 2018


MFALME WA BURUDANI ZA FAMILIA
Offer hii inakupa unafuu kama ifatavyo:-
  • Kwa Tsh 78,000 StarTimes ya Dish - Unapata vifaa pamoja na kifurushi cha mwezi mmoja.
  • Kwa Tsh 34,000 Decoder ya Antenna.
  • Ufundi Tsh 30,000 Startimes ya Dish.
  • Ufundi Tsh 20,000 Startimes ya Antenna.
  • Vifurushi vya Startimes Bofya Hapa
King'amuzi cha Startimes kinafanya vizuri sana kwa Offer mara kwa mara hutoa offer na zawadi kem kem hii ni katika kufanya wateja na wanaotaka king'amuzi hiki kupata ahueni!
Kwa Maelezo zaidi +255789476655 
Whatsapp+255784378129
Share:

Nov 1, 2017

OFFER YA ZUKU TV


Katika kumbukumbu yangu ilikuwa ili umiliki king'amuzi cha Zuku tv ni lazima ilikuwa uwe na Tsh150,000/= Bei ikashuka ikawa Tsh 105,000/=! Ikashuka tena kwa Tsh 95,000/=
Kwa sasa OFFER iliyopo ni tsh 88,000/= unapata Dish,Decoder,Kufungiwa na miezi mitatu bure!
Bei hii inakuwa ni bila ya ufundi, ufundi ni Tsh 20,000/=
Whatsapp+255784378129
mustaphamadish@gmail.com
NB:Usikubali kulipa zaidi!

Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita