Call / WhatsApp +255673378129

Showing posts with label Flat screen. Show all posts
Showing posts with label Flat screen. Show all posts

Oct 14, 2017

TUNAKUFANYIA KILICHO BORA KWA KIPATO ULICHONACHO!

Niliwahi kusikia na watu wengi huamini hivyo ya kuwa ili upate kilicho bora ni lazima uwe na salio la kutosha imani ambayo sisi #MaDishTechnology tunapingana nayo na tunakuhakikishia wewe mdau wetu ya kuwa hata kwa kipato chako kidogo unaweza kupata kitu kilicho bora!

 Ubunifu wa Technical Director - Mustapha MaDish

Tunazingati usafi, Ubora, Tunathamini kile ulichonacho nasi kazi yetu kukipandisha thamani!
Hapa kuna mapungufu ya vifaa ambavyo vilihitajika lakini kutokana na kipato cha mteja wetu tumefanya kilichowezekana.. Najua unajua kwa muonekano huu hata ingelikuwa wewe ungependa tu pasi hivyo vilivyokosekana kuwepo!!
Msamila - 1 kati ya walionufaika na Mustapha MaDish

Tutafute sasa unufaike na huduma zetu zilizo bora
Kama unahitaji tukubadilishie mandhari ya eneo lako iwe:-
  • > Nyumbani
  • > Apartment
  • > Lodge
  • > Hotel
  • > Club / Bar
  • > Office 
Na popote pale ambapo wewe ungependa sisi tukupendezeshee!
Mustapha MaDish : +255789476655 | Whatsapp+255784378129

Share:

Apr 15, 2016

AV CABLE NI NINI!?


A inasimama badala ya Audio - Sauti
V inasimama badala ya Video - Picha
Zinakuwa nyaya tatu zenye rangi tatu tofauti:-


Nyekundu - Sauti Kulia
Nyeupe - Sauti Kushoto
Nyano - Picha


Hivyo tafsiri nyepesi ni kwamba AV CABLE ni waya unaosafirisha Sauti na Picha kutoka kwenye kifaa chochote kinachoweza kutoa picha na sauti na kuingiza kwenye TV, kifaa hicho kinaweza kuwa DVD, King'amuzi, game n.k.
Mfumo wa picha unaoonekana kwa kutumia AV cable hujulikana kama SD - Standard Definition 
 

Cable hii hutumika kwenye TV yenye AV Port yaani ile sehemu ya kuchomekea AV ambapo napo unachomeka kwa kufata rangi kama uvyoona hapo chini!


Zipo tv ambazo hazina AV port ama hicho kifaa ambacho unataka kutumia AV cable hakina AV Port ufanye nini ili uweze kuendelea kutumia AV cable ama Cable nyengine?
Unapaswa uangalie TV/DVD/King'amuzi kina Port gani badala ya AV Port?
Ufanye nini ikiwa TV yako ina AV port moja ama mbili nawe una vifaa zaidi ya viwili unataka kutumia pasipo kuchomoa chomoa AV cable?
Unapaswa kutumia kifaa kinachoitwa AV SELECTOR
mustaphamadish@gmail.com
+255789476655
Share:

Nov 1, 2014

HDMI CABLE


Imenipelekea kuandika post hii kutokana na simu niliyoipokea hivi karibuni kutoka Dodoma,lakini kabla ya simu hiyo kuwaelewesha wadau wangu kuhusu HDMI CABLE ni kawaida tu ila kwenye hii blog yetu leo wacha nitoe kile kidogo nilichonacho kwa wadau wangu!
Unapozungumzi HD
lazima ushirikishe cable inayoitwa HDMI CABLE,kwasababu ili uone picha katika mfumo wa HD ( Ubora wa picha wa hali ya juu ) ni lazima utumie HDMI CABLE,cable ambayo inatoa picha kutoka kwenye inaweza kuwa DVD/Receiver/King'amuzi ama chochote chenye uwezo wa kutoa HD na kupeleka kwenye tv ambayo nayo ikiwa ina uwezo wa kupokea HD.



Hii cable inachomekwa kwenye tundu lililoandikwa HDMI.
Ili kujua kama tv/DVD ama king'amuzi chako ni HD unapaswa kuangalia kwa umakini je kuna tundu lililoandikwa HDMI,kama lipo hilo jua kifaa chako hicho ni HD.
Je unavijua ving'amuzi vilivyo kwenye mfumo wa HD hapa Tanzania..??

  Una swali  piga +255789476655
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita