Ile kununua kwa Tsh 79,000/= bado inaendelea ingawaje kwa sasa hakuna ile kupata na kifurushi cha Compact badala yake kuanzia Tarehe 1/11/2016 Vifurushi vyote vya DStv vitapungua bei..
Ili kujua bei mpya Bofya Hapa
Vifaa ni Tsh 79,000/= Unapata Dish,Decoder HD,Lnb pamoja na Cable! Hii ni bila ya Ufundi!!
Ufundi ni Tsh 30,000/=
Baada ya hapo unachagua Kifurushi kati ya Vifurushi vifatavyo Bofya Hapa
Kwa Maelezo zaidi +255789476655